-
UN yakaribisha kuanza kutekelezwa mkataba unaopiga marufuku silaha za nyuklia
Jan 23, 2021 07:27Kuwepo maghala ya silaha za nyuklia duniani na kuongeza na kustawisha pakubwa silaha hizo na pia kujiunga serikali mpya na klabu ya nyuklia kumeibua matarajio yasiyofaa kwa amani na usalama wa kimataifa. Jambo hili limepelekea kutoepukika udharura wa kufikiwa mkataba mpya kwa jina la Mkataba wa Kupiga Marufuku Silaha za Nyuklia yaani The Treaty on the Prohibition of Nuclear Weapons (TPNW) ambao ulipasishwa mwezi Julai mwaka 2017.
-
UN yatoa wito wa kurejeshwa operesheni za uokozi baada ya wahajiri 43 kupoteza maisha
Jan 21, 2021 04:11Mashirika ya Umoja wa Mataifa ya uhamiaji IOM na lile la kuhudumia wakimbizi UNHCR yametoa wito kwa nchi kurejesha operesheni za kuwasaka na kuwaokoa watu kwenye bahari ya Mediterania baada ya wahajiri wengine 43 kupoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea siku ya Jumatatu katika pwani ya Libya.
-
Zarif: Mjumbe wa Iran UN hajazungumza na Marekani
Jan 21, 2021 00:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa hajafanya mazungumzo yoyote na Marekani kama lilivyodai gazeti moja la Ufaransa.
-
Mkuu wa UN ataka askari ajinabi waondoke Libya haraka iwezekavyo
Jan 19, 2021 08:27Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka wanajeshi na mamluki wote wa nchi ajinabi waondoke nchini Libya haraka iwezekanavyo.
-
Askari 2 wa UN wauawa CAR baada ya mahakama kuidhinisha ushindi wa Touadera
Jan 19, 2021 08:11Genge la waasi limeua wanajeshi wawili wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (MINUSCA), masaa machache baada ya Mahakama ya Katiba kuidhinisha matokeo ya uchaguzi wa rais wa Disemba mwa uliopita, yaliyompa ushindi Faustin Archange Touadera.
-
Askari mwingine wa UN raia wa Burundi auawa CAR, wawili wajeruhiwa
Jan 16, 2021 09:50Askari mwingine wa Umoja wa Mataifa kutoka Burundi ameuawa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR na wengine wawili wamejeruhiwa, kitendo ambacho kimelaaniwa vikali na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres.
-
Marekani yakataa ombi la Umoja wa Mataifa la kuitaka ifutilie mbali vikwazo dhidi ya Ansarullah
Jan 15, 2021 09:22Ikiwa ni katika juhudi zake za kuunga mkono muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen, Marekani imechukua hatua ya kuiwekea vikwazo harakati ya Ansarullah. Hatua hiyo ambayo imechukuliwa katika siku za mwisho za utawala wa Rais Trump huko White House imekabiliwa na radiamali kali ya Umoja wa Mataifa.
-
Marekani yakataa ombi la Umoja wa Mataifa la kufutilia mbali vikwazo dhidi ya Ansarullah
Jan 15, 2021 03:44Marekani imekataa ombi lililotolewa na Umoja wa Mataifa la kufutilia mbali uamuzi wake wa kuliweka jina la Ansarullah ya Yemen katika orodha ya makundi yanayotuhumiwa na Washington kuwa ni ya kigaidi.
-
Kukosoa ripota wa Umoja wa Mataifa hatua isiyo ya kisheria ya Marekani ya kumuua Qassim Suleimani
Jan 04, 2021 07:33Januari 3 mwaka uliomalizika hivi majuzi wa 2020, kwa amri ya Rais Donald Trump, utawala wa kigaidi wa Marekani ulifanya jinai ya kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassim Suleimani, Mkuu wa Kikosi cha Quds, cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na Abu Mahdi al Muhandis, Naibu wa Mkuu wa Harakati ya al Hashd al-Shaabi katika shambulio la anga lililofanywa jirani na uwanja wa ndege wa Baghdad nchini Iraq.
-
Ripota wa UN: Mauaji ya Kamanda Soleimani ni kinyume na sheria za kimataifa
Jan 04, 2021 04:20Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, mauaji ya kigaidi ya shahid Hajj Qassem Soleimani ni kinyume na sheria za kimataifa na kuongeza kuwa, mauaji hayo yaliyofanywa na Marekani ni uvunjaji wa haki ya kujitawala ardhi ya Iraq.