-
Mahakama ya utawala wa Bahrain yaidhinisha kifungo cha maisha jela kwa Sheikh Ali Salman
Jan 28, 2019 10:34Mahakama Kuu ya utawala wa Aal Khalifa imemhukumu kifungo cha maisha jela Sheikh Ali Salman Katibu Mkuu wa Jumuiya ya al Wifaq ya nchi hiyo. Jumuiya hiyo inatambulika kama chama kikuu kinachoupinga utawala wa Manama.
-
Mwaka 2019, mwaka mbaya zaidi kwa haki za binaadamu nchini Bahrain
Jan 20, 2019 22:02Kamati ya watu waliotiwa mbaroni katika Ukanda wa Pwani nchini Bahrain imetangaza kwamba, katika jela ya Jau nchini Bahrain, maafisa usalama wa utawala wa Aal-Khalifa na katika kulipiza kisasi dhidi ya wafungwa wa kesi za uhuru wa kujieleza, wanatekeleza siasa za kuwatesa kwa njaa wafungwa hao.
-
Kongamano la kulaani jinai za serikali ya Bahrain lafanyika Beirut
Jan 17, 2019 04:14Washiriki wa Kongamano la Kimataifa la kulaani jinai za utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain wamekosoa kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya ukandamizaji wa serikali ya Manama kwa raia wake.
-
Ripoti: Wafungwa wa kisiasa Bahrain wana hali mbaya
Jan 10, 2019 03:44Kituo cha Haki za Binadamu na Demokrasia nchini Bahrain kimetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wanaharakati wa kutetea haki za binadamu waliofungwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa nchini humo.
-
Serikali mpya ya Bahrain; dhihirisho la nembo kubwa zaidi ya Udikteta
Dec 08, 2018 04:27Baada ya kufanyika uchaguzi wa kimaonyesho wa bunge nchini Bahrain, Mfalme Hamad bin Isa Aal Khalifa amemkabidhi tena jukumu la kuunda serikali mpya, mtu yule yule ambaye anajulikana kuwa waziri mkuu pekee katika historia ya nchi hiyo.
-
Utawala wa Aal Khalifa Bahrain washindwa kuhalalisha mamlaka yake
Dec 06, 2018 04:30Mkuu wa Jumuiya ya Haki za Binadamu na Demokrasia ya Bahrain amesema kuwa, jitihada za utawala wa Aal Khalifa za kuuhalalisha utawala huo kupitia ushiriki wa wananchi kwenye uchaguzi zimegonga mwamba.
-
Al Wifaq: Duru ya pili ya uchaguzi imeonyesha ukubwa wa mgogoro wa kisiasa ulioikumba Bahrain
Dec 02, 2018 11:21Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya Bahrain ya al Wifaq amesisitiza kuwa kufanyika duru ya pili ya uchaguzi wa bunge nchini humo si tu kuwa kumeonyesha kiwango cha matatizo ya kisiasa yaliyoisibu nchi hiyo lakini pia umedhihirisha namna uchaguzi huo ulivyokuwa wa kichekesho na kimaonyesho.
-
Kushadidi ukandamizaji nchini Bahrain wakati wa kukaribia uchaguzi wa kimaigizo wa Aal-Khalifa
Nov 21, 2018 10:20Matukio yanayoripotiwa kutoka nchini Bahrain yanabainisha kushadidi anga ya ukandamizaji nchini humo wakati huu wa kukaribia uchaguzi wa kiagizo wa Bunge katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Kushtadi malalamiko ya wananchi wa Bahrain wakipinga uchaguzi wa bunge wa kimaonyesho
Nov 18, 2018 10:35Wananchi wa Bahrain kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano wakilalamikia siasa za ukandamizaji za utawala wa Aal Khalifa na uchaguzi wa bunge wa kimaonyesho.
-
Al-Wifaq ya Bahrain yalaani hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya Sheikh Ali Salman
Nov 04, 2018 12:17Harakati ya Al-Wifaq nchini Bahrain imelaani hukumu ya kifungo cha maisha jela iliyotolewa dhidi ya Katibu Mkuu wake Sheikh Ali Salman.