Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Kanani Chafi: Marekani, Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zinabeba dhima ya jinai za Israel

    Kanani Chafi: Marekani, Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zinabeba dhima ya jinai za Israel

    Dec 14, 2022 04:23

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa radiamali kuhusiana na jinai ya Wazayuni ya kumuua binti mdogo wa Kipalestina na kusema kuwa, tawala za Marekani, Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zinabeba dhima ya mauaji yanayofanywa na Israel kutokanan na himaya na uungaji mkono wao kkwa utawakla huo ghasibu.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Dec 14, 2022 04:20

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

  • Palestina: Jina la

    Palestina: Jina la "Israel" liwekwe kwenye orodha ya tawala wauaji wa watoto

    Dec 13, 2022 22:54

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameutaka Umoja wa Mataifa uliweke jina la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwenye orodha ya tawala wauaji wa watoto.

  • Kufutwa kazi mtangazaji wa TV Ujerumani kwa kuiunga mkono Palestina; utendaji wa kindumakuwili wa Magharibi

    Kufutwa kazi mtangazaji wa TV Ujerumani kwa kuiunga mkono Palestina; utendaji wa kindumakuwili wa Magharibi

    Dec 12, 2022 07:43

    Kanali ya televisheni ya KiKA ya Ujerumani imemfuta kazi Matondo Castlo mwendeshaji wa kipindi cha watoto baada ya kushiriki katika maandamano ya amani katika mji wa Bait Dajan huko mashariki mwa mji wa Nablus.

  • OIC yalaani jinai za utawala wa Kizayuni huko Jenin

    OIC yalaani jinai za utawala wa Kizayuni huko Jenin

    Dec 09, 2022 23:43

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mji na kambi ya wakimbizi ya Jenin, mauaji ya Wapalestina wanne na pia hujuma dhidi ya Msikiti wa Ibrahim na shule za Palestina.

  • HAMAS: Muqawama ndiyo njia pekee ya kupambana na magaidi Wazayuni

    HAMAS: Muqawama ndiyo njia pekee ya kupambana na magaidi Wazayuni

    Dec 09, 2022 06:59

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, muqawama ndiyo njia na chaguo poekee la taifa la Palestina katika kupambana na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mussa Abu Marzouq: Israel itasambaratika endapo Wamagharibi wataacha kuiunga mkono

    Mussa Abu Marzouq: Israel itasambaratika endapo Wamagharibi wataacha kuiunga mkono

    Dec 08, 2022 04:28

    Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, endapo madola ya Magharibi yatasitisha himaya na uungaji mkono wao kwa utawala haramu wa Israel basi siku itakayofuata utawala huo utasambaratika kikamilifu.

  • Kuongezeka operesheni za muqawama za Wapalestina Ukingo wa Magharibi na kukanganyikiwa Wazayuni

    Kuongezeka operesheni za muqawama za Wapalestina Ukingo wa Magharibi na kukanganyikiwa Wazayuni

    Dec 07, 2022 22:52

    Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umesema, umetiwa wasiwasi na kuongezeka operesheni za muqawama za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na hasa juu ya kudumu na kuendelea kwa operesheni hizo.

  • Kukiri Marekani na Israel kuhusu kutotetereshwa Iran na machafuko ya hivi karibuni

    Kukiri Marekani na Israel kuhusu kutotetereshwa Iran na machafuko ya hivi karibuni

    Dec 06, 2022 10:16

    Sambamba na himaya na uungaji mkono wa Marekani kwa wafanya fujo na machafuko nchini Iran, wachambuzi waandamizi wa masuala ya usalama wa Marekani na utawala haramu wa Israel wamekiri kwamba, Iran haijatetereshwa na machafuko hayo ya hivi karibuni.

  • Wabahrain waandamana kulaani safari ya Rais wa Israel nchini kwao

    Wabahrain waandamana kulaani safari ya Rais wa Israel nchini kwao

    Dec 05, 2022 22:47

    Maandamano makubwa ya kupinga safari ya Rais Isaac Herzog wa utawala haramu wa Israel yamefanyika katika mji mkuu wa Bahrain, Manama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS