Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Kufungwa UNRWA; takwa jipya la Marekani dhidi ya Palestina

    Kufungwa UNRWA; takwa jipya la Marekani dhidi ya Palestina

    May 24, 2019 00:11

    Rais Donald Trump wa Marekani alipoingia katika ikulu ya nchi hiyo White House, alichukua msimamo wa kuiunga mkono Israel bila ya masharti yoyote na wakati huo huo kudhihirisha uhasama wa waziwazi dhidi ya Wapalestina.

  • HAMAS: Uamuzi wa Iran kuhusu JCPOA ni wa kishujaa

    HAMAS: Uamuzi wa Iran kuhusu JCPOA ni wa kishujaa

    May 10, 2019 21:48

    Mwakilishi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina (HAMAS) nchini Lebanon amesema kuwa, hatua ya Iran ya kusitisha kwa muda utekelezaji wa ahadi zake katika baadhi ya vipengee vya mapatano ya nyuklia ya JCPOA, inaonyesha kuwa ni maamuzi ya kishujaa.

  • Utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita kati yake na Palestina

    Utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita kati yake na Palestina

    May 06, 2019 09:02

    Duru za habari za Palestina zimetangaza kuwa utawala wa Kizayuni hatimaye umekubali kusimamisha vita ulivyovianzisha huko Ukanda wa Ghaza kutokana na mashinikizo ya fikra za walimwengu kutoka nchi mbalimbali duniani.

  • Kuwait yataka Israel itimuliwe katika Jumuiya ya Mabunge

    Kuwait yataka Israel itimuliwe katika Jumuiya ya Mabunge

    May 04, 2019 10:31

    Spika wa Bunge la Kuwait amesisitiza juu ya kuendelezwa juhudi za kutimuliwa utawala haramu wa Israel kutoka katika Jumuiya ya Mabunge kutokana na jinai zake unazozitenda.

  • Jenerali Mzayuni akiri nguvu za makombora za HAMAS huko Palestina

    Jenerali Mzayuni akiri nguvu za makombora za HAMAS huko Palestina

    Apr 29, 2019 23:42

    Jenerali mmoja Mzayuni amekiri kuwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ina nguvu kubwa za makombora ambazo zinaweza kusambaratisha maisha ya wakazi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kiongozi Muadhamu: Baadhi ya viongozi wa nchi za Kiislamu ni vibaraka wa Marekani na Wazayuni

    Kiongozi Muadhamu: Baadhi ya viongozi wa nchi za Kiislamu ni vibaraka wa Marekani na Wazayuni

    Apr 15, 2019 10:13

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, baadhi ya viongozi wa nchi za Kiislamu hawafanyii kazi maamrisho ya Qur'ani na ni vibaraka wa Marekani na Wazayuni.

  • Mashinikizo ya wananchi yawalazimisha Wazayuni kuvunja safari ya kwenda Bahrain

    Mashinikizo ya wananchi yawalazimisha Wazayuni kuvunja safari ya kwenda Bahrain

    Apr 14, 2019 12:22

    Ujumbe wa kibiashara na kisiasa wa utawala wa Kizayuni uliokuwa umepanga kwenda mjini Manama, Bahrain kushiriki katika mkutano wa kimataifa wa kiuchumi umelazimika kuvunja safari hiyo kutokana na upinzani mkali wa wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Hizbullah: Muqawama ni tishio kubwa kwa adui Mzayuni

    Hizbullah: Muqawama ni tishio kubwa kwa adui Mzayuni

    Apr 05, 2019 01:57

    Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, nguvu na uwezo wa muqawama ni tishio kubwa kwa adui Mzayuni.

  • Sisitizo la Mogherini la kupinga EU umiliki wa Israel wa milima ya Golan ya Syria

    Sisitizo la Mogherini la kupinga EU umiliki wa Israel wa milima ya Golan ya Syria

    Mar 31, 2019 22:21

    Ikiwa ni katika kuendelea kujikomba kwa lobi za Kizayuni, rais wa Marekani Donald Trump, tarehe 25 Machi, 2019 alitambua rasmi kumilikiwa na Israel milima ya Golan ya Syria.

  • Jihadul Islami yawaonya Wazayuni wasithubutu kushambulia Ghaza

    Jihadul Islami yawaonya Wazayuni wasithubutu kushambulia Ghaza

    Mar 25, 2019 09:05

    Katibu Mkuu wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu kufanya shambulio lolote dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS