Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Haaretz: Bahrain inataka kuanzisha uhusiano wa dhahiri na Israel

    Haaretz: Bahrain inataka kuanzisha uhusiano wa dhahiri na Israel

    Jul 02, 2018 09:55

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeashiria uhusiano wa siri kati ya utawala wa Aal Khalifa wa Bahrain na utawala ghasibu wa Israel na kufichua kwamba, viongozi wa Manama wanataka kuanzisha uhusiano wa dhahiri na Tel-Aviv.

  • Marekani, Israel, Saudia zinapanga njama za kuudhuri uchumi wa Iran

    Marekani, Israel, Saudia zinapanga njama za kuudhuri uchumi wa Iran

    Jul 01, 2018 09:18

    Marekani, Utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinapanga njama za kuzuia na kusitisha mkondo wa ustawi wa uchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lakini hazitafanikiwa.

  • Brigedia Jenerali Hatami: Israel ni tishio kwa usalama wa kimataifa

    Brigedia Jenerali Hatami: Israel ni tishio kwa usalama wa kimataifa

    Jun 29, 2018 23:39

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia shambulio la silaha za kemikali lililofanywa miaka kadhaa iliyopita na utawala wa Saddam Hussein dhidi ya mji wa Sardashti kaskazini magharibi mwa Iran na kusisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kwa usalama wa kimataifa kutokana na kumiliki kwake silaha zilizopigwa marufuku.

  • Radiamali ya makuhani wa Kiyahudi kufuatia hatua ya Israel kuwafukuza wasimamizi wa haki za binaadamu

    Radiamali ya makuhani wa Kiyahudi kufuatia hatua ya Israel kuwafukuza wasimamizi wa haki za binaadamu

    Jun 28, 2018 09:01

    Muungano wa Makuhani wa Kiyahudi umesema kuwa, kuna haja kubwa ya kuwepo wawakilishi wa haki za binaadamu katika maeneo ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa ajili ya kuripoti vitendo vya ukiukaji wa haki za binaadamu vinavyofanywa katika maeneo hayo.

  • Dakta Zarif: Marekani na Israel zinabeba dhima ya kuendelea kutumiwa silaha za kemikali

    Dakta Zarif: Marekani na Israel zinabeba dhima ya kuendelea kutumiwa silaha za kemikali

    Jun 28, 2018 08:47

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, tawala mbili vamizi na zenye historia mbaya za Marekani na Israel ndizo zinazobeba dhima ya kuendelea kutumiwa silaha za kemikali katika Mashariki ya Kati.

  • Wimbi jipya la hujuma za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa

    Wimbi jipya la hujuma za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa

    Jun 26, 2018 21:42

    Duru za habari zimeripoti kuhusu kushadidi hujuma za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa katika siku za hivi karibuni sambamba na harakati za Marekani za kutaka kutekeleza mpango wake wenye njama kubwa unaojuliakana kama "Muamala wa Karne".

  • Jeshi la Syria latungua makombora mawili ya Israel yaliyolenga uwanja wa ndege wa Damascus

    Jeshi la Syria latungua makombora mawili ya Israel yaliyolenga uwanja wa ndege wa Damascus

    Jun 26, 2018 03:02

    Televisheni ya Syria imetangaza leo kuwa ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimefanya hujuma ya kuushambuliwa kwa makombora Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Damascus.

  • Gazeti la Kizayuni lafichua kikao cha Mohammad Bin Salman na Netanyahu

    Gazeti la Kizayuni lafichua kikao cha Mohammad Bin Salman na Netanyahu

    Jun 23, 2018 09:37

    Gazeti la utawala haramu wa Kizayuni la Maariv limefichua kikao cha Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia na Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel nchini Jordan.

  • Utawala wa Kizayuni kubomoa nyumba 50 za Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Utawala wa Kizayuni kubomoa nyumba 50 za Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Jun 23, 2018 03:24

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umetishia kubomoa zaidi ya nyumba 50 za Wapalestina kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, ikiwa ni muendelezo wa sera kandamizi za Tel Aviv katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu kinyume cha sheria za kimataifa.

  • Zarif: Wakati wa kuzungumzia vichwa vya nyuklia vya utawala wa Kizayuni umewadia

    Zarif: Wakati wa kuzungumzia vichwa vya nyuklia vya utawala wa Kizayuni umewadia

    Jun 18, 2018 21:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuna vichwa visivyopungua 80 vya nyuklia katika Mashariki ya Kati na hakuna hata kimoja kati ya vichwa hivyo vya nyuklia kilichoko ndani ya ardhi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS