-
Mbinu za Netanyahu za kutaka kupanua uhusiano wa Israel na nchi za Afrika
Nov 29, 2017 11:00Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amefanya safari yake ya tatu barani Afrika katika mkakati wake wa kutaka kupanua uhusiano wa utawala huo haramu na nchi za bara hilo kwa kuitembelea Kenya kwa kisingizio cha kuhudhuria sherehe za kuapishwa rais wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta.
-
Umoja wa Ulaya walalamikia jinai za Israel
Nov 27, 2017 12:03Umoja wa Ulaya umeutaka utawala ghasibu wa Kizayuni ukomeshe kuvunja nyumba za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Guterres atahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kuendelea kukiuka anga ya Lebanon
Nov 26, 2017 04:12Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu kuongezeka vitendo vya kukiuka anga ya Lebanon vinavyofanywa na ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mpango wa nyuklia wa utawala wa Israel ni hatari kwa usalama na amani duniani
Nov 25, 2017 04:12Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki, IAEA, amesema shughuli za nyuklia za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel ni chanzo kikuu cha wasiwasi wa mataifa ya eneo na jamii ya kimataifa.
-
Utawala wa Kizayuni wa Israel wakiri kuwa na uhusiano na Saudia
Nov 20, 2017 04:10Waziri wa Nishati wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema, Israel na Saudi Arabia zimekuwa zikiwasiliana kwa siri kuizungumzia Iran.
-
Wazayuni waunda kikosi kipya cha polisi ili kuwakandamiza zaidi Waislamu
Nov 02, 2017 00:41Waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa amri ya kuundwa kikosi kingine maalumu kitakachowakandamiza Wapalestina katika Msikiti wa al Aqsa.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Mapambano dhidi ya utawala haramu wa Israel yadumishwe
Nov 01, 2017 04:52Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe katika Mkutano wa Pili Muungano wa Kimataifa wa Maulama wa Muqawama unaofanyika huko Lebanon akiagiza kudumishwa mapambano ya aina mbalimbali dhidi ya utawala vamizi na wa Kizayuni wa Israel kwa wale wote wanaohisi kubeba dhima na wajibu huo mkubwa.
-
Mwakilishi wa UN ataka kususiwa Israel, Marekani yapinga
Oct 28, 2017 12:09Ofisi ya mwakilishi wa Mrekani katika Umoja wa Mataifa imekosoa msimamo wa Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Velayati: Mhimili wa muqawama unaendelea kuwa imara mbele ya njama za Uzayuni na Marekani
Oct 25, 2017 23:08Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesisitiza kuwa mhimili wa muqawama unaendelea kuwa imara mbele ya njama na Uzayuni na Marekani na kukabiliana na hatua za pande hizo za kuzigawa na kuzidhoofisha nchi za eneo hili.
-
Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa
Oct 22, 2017 11:02Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa na kuvunjia heshima eneo hilo takatifu la Kiislamu.