-
Israel yafanya njama za kuendeleza mzingiro wa kidhulma Ukanda wa Gaza
Oct 03, 2016 00:29Utawala wa Kizayuni wa Israel unajiandaa kuishambulia meli ya al Zaituna na vile vile kuwazua wanaharakati wa kimataifa kuwasili huko Ukanda wa Gaza.
-
Sisitizo la Wapalestina la kuendelea na muqawama
Sep 29, 2016 10:07Kwa mara nyingine tena, Wapalestina wametumia mnasaba mwingine uliojitokeza kutangaza uungaji mkono wao kwa muqawama hadi watakapofanikisha malengo yote ya taifa lao. Mara hii wapalestina hao wamesisitiza uungaji mkono wao huo wakati wa maadhimisho ya mwaka wa 16 wa kukumbuka Intifadha ya al Aqsa.
-
Ripoti: MOSSAD iliunda makundi ya wanamgambo yaliyotisha na kuwashawishi Mayahudi kwenda Palestina
Sep 29, 2016 01:07Ripoti zimefichua kuwa, Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni MOSSAD, limetoa mafunzo ya kijeshi kwa Mayahudi wa Morocco kwa ajili ya kutekeleza ajenda mbalimbali za kijeshi, ndani ya kipindi cha katikati mwa karne iliyopita.
-
Wazayuni 40 wameangamizwa na zaidi ya 400 wamejeruhiwa tangu kuanza Intifadha ya Quds
Sep 24, 2016 04:38Duru za Kizayuni zimetangaza kuwa tangu kuanza operesheni za muqawama wa Wapalestina sambamba na Intifadha ya Quds hadi sasa, wazayuni 40 wameuawa na wengine 458 wamejeruhiwa.
-
Wazayuni wakiri kwamba, uepo wa Israel katika ardhi za Palestina si halali
Sep 18, 2016 23:46Mwandishi mashuhuri wa Israel amekiri kuwa, utawala wa Kizayuni umepora ardhi za Palestina.
-
Waalgeria waandamana kulalamikia kuwekwa jina la Israel katika kitabu cha masomo
Sep 16, 2016 03:08Raia wa Algeria wamefanya maandmano kulalamikia hatua ya kuandikwa jina la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel mahala pa jina la Palestina katika kitabu cha kufundishia nchini humo.
-
Makundi ya Kizayuni yataka kuhitimishwa kukaliwa kwa mabavu Palestina
Sep 07, 2016 23:31Makundi kadhaa ya Wazayuni yametaka kukomeshwa kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Wapalestina wasisitiza kupandishwa kizimbani wazayuni waliotenda jinai
Aug 28, 2016 03:11Wapalestina wameendelea kutoa wito wa kutaka wazayuni waliotenda jinai katika vita vya siku 50 dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza wapandishwe kizimbani kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
Viongozi wa Palestina kufuatilia haki za Wapalestina waliowekwa kizuizini na utawala wa Kizayuni wa Israel
Aug 27, 2016 03:19Waziri anayehusika na masuala ya Wapalestina walioko kizuizini kwenye jela za utawala wa Kizayuni ametangaza kuwa suala la watu hao litafuatiliwa kwa uzito mkubwa kwenye jumuiya za kimataifa.
-
Onyo la Wapalestina kwa utawala ghasibu wa Israel
Aug 24, 2016 02:00Kushadidi uvamizi na hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Ukanda wa Gaza katika siku za hivi karibuni, kumekabiliwa na radiamali mbalimbali za Wapalestina.