Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Utawala wa Kizayuni waendelea kuchimba mashimo kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa

    Utawala wa Kizayuni waendelea kuchimba mashimo kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa

    Aug 21, 2016 23:26

    Msemaji wa Taasisi ya Waqfu na Turathi za Kiutamaduni ya Al-Aqsa amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kuchimba mashimo kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa.

  • Hizbullah ya Lebanon: Ugaidi wa kitakfiri ni mpango mbadala wa kukabiliana na muqawama

    Hizbullah ya Lebanon: Ugaidi wa kitakfiri ni mpango mbadala wa kukabiliana na muqawama

    Aug 21, 2016 10:48

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, ugaidi wa kitakfiri ni mpango mbadala wa kuja kuchukua nafasi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika kukabiliana na muqawama na mapambano ya wananchi.

  • Hizbullah yatoa onyo kwa uchokozi mpya wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon

    Hizbullah yatoa onyo kwa uchokozi mpya wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon

    Aug 19, 2016 03:34

    Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imetoa taarifa ya kulaani uchokozi na chokochoko mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mamlaka ya kujitawala ya Lebanon katika mashamba ya Shab'a.

  • Mwanajudo wa Misri akataa kumpa mkono Mzayuni

    Mwanajudo wa Misri akataa kumpa mkono Mzayuni

    Aug 13, 2016 11:12

    Huwenda mwanamichezo wa judo raia wa Misri akaadhibiwa kwa kukataa kumpa mkono mpinzani wake raia wa utawala haramu wa Israel katika mashindano ya Olimpiki yanayoendelea huko Rio de Janeiro nchini Brazil.

  • Israel yamtia mbaroni mwakilishi wa UN Ukanda wa Ghaza

    Israel yamtia mbaroni mwakilishi wa UN Ukanda wa Ghaza

    Aug 09, 2016 23:13

    Utawala wa Kizayuni umemtia mbaroni mwakilishi wa Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Ghaza kwa tuhuma za kuwa na ushirikiano na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas.

  • Kushadidi njama za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Quds

    Kushadidi njama za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Quds

    Aug 04, 2016 23:57

    Ripoti mbalimbali zinaonesha juu ya kuanza duru mpya ya njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kuwa na satua katika mji wa Quds.

  • Wazayuni watuhumiwa kuiba viungo vya miili ya Wapalestina

    Wazayuni watuhumiwa kuiba viungo vya miili ya Wapalestina

    Jul 25, 2016 23:54

    Jeshi la Israel limetajwa kuwa linaiba viungo vya Wapalestina na kufanya mauaji ya kizazi.

  • McKinney: Israel inahusika na mashambulizi ya kigaidi Ulaya

    McKinney: Israel inahusika na mashambulizi ya kigaidi Ulaya

    Jul 25, 2016 12:36

    Mbunge wa zamani katika Kongresi ya Marekani amefichua nafasi ya utawala wa kizayuni wa Israel katika mashambulizi ya kigaidi yanayofanyika barani Ulaya.

  • Walowezi wa Kizayuni wauvamia tena Msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wauvamia tena Msikiti wa al-Aqswa

    Jul 18, 2016 23:11

    Walowezi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameuvamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa huko Quds Tukufu Palestina.

  • Hamas: Facebook inahudumia malengo ya Wazayuni

    Hamas: Facebook inahudumia malengo ya Wazayuni

    Jul 16, 2016 02:16

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa mtandao wa kijamii wa Facebook unafuata siasa na sera za kiadui za utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS