-
Ayatullah Kashani: Marekani, Saudia na Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi
Jul 15, 2016 11:37Hatibu wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa Marekani, Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi duniani.
-
ZDF yaikosoa Israel kwa kuwafunza watoto jinsi ya kuwaua Wapalestina
Jul 11, 2016 23:16Televisheni ya Ujerumani ya ZDF imeonesha filamu inayoukosoa utawala haramu wa Isarel kwa kuwafundisha watoto mashuleni chuki na jinsi ya kuwadhalilisha na kuwaua Wapalestina.
-
Wasomi wa Misri wazionya nchi za Afrika kuhusu njama za Israel
Jul 09, 2016 08:40Wataalamu wa masuala ya kisiasa nchini Misri wamezionya nchi zilizoko katika Ukanda wa Mto Nile juu ya njama chafu za utawala haramu wa Israel katika eneo hilo.
-
Hamas: Idi ya kweli ya Wapalestina ni kukombolewa Quds tukufu
Jul 06, 2016 03:19Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa harakati hiyo itadumisha mapambano yake dhidi ya utawala ghasibu wa Israel hadi Palestina itakapokombolewa.
-
Wanamapambano Palestina: Tumejiandaa kukabiliana na hujuma tarajiwa za Israel
Jul 04, 2016 23:20Wanamapambano wa Kipalestina wametangaza azma yao kamili kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi tarajiwa ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza.
-
Sauti ya ukombozi wa Quds kusikika leo katika Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 30, 2016 22:14Taifa la Iran na mataifa mengine ya Waislamu leo Ijumaa sambamba na maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds, yatapaza tena sauti ya kupigania ukombozi wa Quds tukufu na kutangaza hasira zao dhidi ya utawala ghasibu wa Israel kwa kushiriki kwa wingi katika maandamano ya siku hii.
-
UN: Israel inafanya ukatili dhidi ya watoto wa Palestina
Jun 25, 2016 08:22Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watoto wa Kipalestina.
-
Wazayuni wazidi kuwateka nyara wanawake na wasichana wa Kipalestina
Jun 13, 2016 10:22Tangu ilipoanza Intifadha ya Quds mwanzoni mwa mwezi Oktoba 2015 hadi hivi sasa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshawateka nyara makumi ya wanawake na washichana wa Kipalestina.
-
HAMAS: Shambulio dhidi ya Wazayuni ni jibu kwa kushtadi jinai za Israel
Jun 08, 2016 23:50Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema operesheni ya shambulio lililotekelezwa dhidi ya Wazayuni ni matokeo ya jinai zilizoshtadi za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina.
-
Wazayuni wamevamia zaidi ya mara 100 katika mwezi mmoja maeneo matakatifu ya Palestina
Jun 05, 2016 10:56Waziri wa masuala ya kidini na waqfu wa Palestina amesema, Wazayuni wameuvamia mara chungu nzima msikiti mtukufu wa al-Aqsa na Haram ya Nabii Ibrahim (as) huko Alkhalil katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.