Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Ayatullah Kashani: Marekani, Saudia na Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi

    Ayatullah Kashani: Marekani, Saudia na Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi

    Jul 15, 2016 11:37

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa Marekani, Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi duniani.

  • ZDF yaikosoa Israel kwa kuwafunza watoto jinsi ya kuwaua Wapalestina

    ZDF yaikosoa Israel kwa kuwafunza watoto jinsi ya kuwaua Wapalestina

    Jul 11, 2016 23:16

    Televisheni ya Ujerumani ya ZDF imeonesha filamu inayoukosoa utawala haramu wa Isarel kwa kuwafundisha watoto mashuleni chuki na jinsi ya kuwadhalilisha na kuwaua Wapalestina.

  • Wasomi wa Misri wazionya nchi za Afrika kuhusu njama za Israel

    Wasomi wa Misri wazionya nchi za Afrika kuhusu njama za Israel

    Jul 09, 2016 08:40

    Wataalamu wa masuala ya kisiasa nchini Misri wamezionya nchi zilizoko katika Ukanda wa Mto Nile juu ya njama chafu za utawala haramu wa Israel katika eneo hilo.

  • Hamas: Idi ya kweli ya Wapalestina ni kukombolewa Quds tukufu

    Hamas: Idi ya kweli ya Wapalestina ni kukombolewa Quds tukufu

    Jul 06, 2016 03:19

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa harakati hiyo itadumisha mapambano yake dhidi ya utawala ghasibu wa Israel hadi Palestina itakapokombolewa.

  • Wanamapambano Palestina: Tumejiandaa kukabiliana na hujuma tarajiwa za Israel

    Wanamapambano Palestina: Tumejiandaa kukabiliana na hujuma tarajiwa za Israel

    Jul 04, 2016 23:20

    Wanamapambano wa Kipalestina wametangaza azma yao kamili kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi tarajiwa ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza.

  • Sauti ya ukombozi wa Quds kusikika leo katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Sauti ya ukombozi wa Quds kusikika leo katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jun 30, 2016 22:14

    Taifa la Iran na mataifa mengine ya Waislamu leo Ijumaa sambamba na maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds, yatapaza tena sauti ya kupigania ukombozi wa Quds tukufu na kutangaza hasira zao dhidi ya utawala ghasibu wa Israel kwa kushiriki kwa wingi katika maandamano ya siku hii.

  • UN: Israel inafanya ukatili dhidi ya watoto wa Palestina

    UN: Israel inafanya ukatili dhidi ya watoto wa Palestina

    Jun 25, 2016 08:22

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watoto wa Kipalestina.

  • Wazayuni wazidi kuwateka nyara wanawake na wasichana wa Kipalestina

    Wazayuni wazidi kuwateka nyara wanawake na wasichana wa Kipalestina

    Jun 13, 2016 10:22

    Tangu ilipoanza Intifadha ya Quds mwanzoni mwa mwezi Oktoba 2015 hadi hivi sasa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshawateka nyara makumi ya wanawake na washichana wa Kipalestina.

  • HAMAS: Shambulio dhidi ya Wazayuni ni jibu kwa kushtadi jinai za Israel

    HAMAS: Shambulio dhidi ya Wazayuni ni jibu kwa kushtadi jinai za Israel

    Jun 08, 2016 23:50

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema operesheni ya shambulio lililotekelezwa dhidi ya Wazayuni ni matokeo ya jinai zilizoshtadi za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Wazayuni wamevamia zaidi ya mara 100 katika mwezi mmoja maeneo matakatifu ya Palestina

    Wazayuni wamevamia zaidi ya mara 100 katika mwezi mmoja maeneo matakatifu ya Palestina

    Jun 05, 2016 10:56

    Waziri wa masuala ya kidini na waqfu wa Palestina amesema, Wazayuni wameuvamia mara chungu nzima msikiti mtukufu wa al-Aqsa na Haram ya Nabii Ibrahim (as) huko Alkhalil katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS