Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Watoto zaidi ya elfu mbili Kipalestina wauliwa shahidi na Wazayuni

    Watoto zaidi ya elfu mbili Kipalestina wauliwa shahidi na Wazayuni

    Jun 01, 2016 10:58

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewauwa shahidi kwa kuwapiga risasi watoto wa Kipalestina zaidi ya elfu mbili tangu kuanza Intifadha ya Masjidul Aqsa mwaka 2000.

  • Kuongezeka malalamiko ya kimataifa dhidi ya Israel

    Kuongezeka malalamiko ya kimataifa dhidi ya Israel

    May 31, 2016 22:41

    Taasisi 16 za kimataifa kote ulimwenguni zimeandika barua zikilaani kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kumpiga marufuku ya kusafiri, Omar Barghouthi, mwasisi wa Harakati ya Kimataifa ya Kuisusia Israel BDS.

  • Tanzania kuendelea kuwa rafiki wa Palestina

    Tanzania kuendelea kuwa rafiki wa Palestina

    May 10, 2016 23:47

    Gazeti moja la kila siku la nchini Tanzania limeandika makala changanuzi kuhusu historia ya uungaji mkono wa Tanzania kwa taifa madhlumu la Palestina.

  • Mwanamke atolewa akiwa hai katika vifusi baada ya kupita siku sita Nairobi

    Mwanamke atolewa akiwa hai katika vifusi baada ya kupita siku sita Nairobi

    May 05, 2016 10:00

    Mwanamke mmoja ametolewa akiwa hai leo baada ya kupita siku sita tangu jengo moja kuporomoka katika mtaa wa Huruma mjini Nairobi Kenya.

  • Wapalestina wakumbuka ukatili wa Israel huko Deir Yassin

    Wapalestina wakumbuka ukatili wa Israel huko Deir Yassin

    Apr 09, 2016 11:34

    Wapalestina leo wamekumbuka mwaka wa 68 wa mauaji ya raia 270 wa Kipalestina mikononi mwa kundi la kigaidi la Wazayuni kwenye mji wa Deir Yassin katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Juhudi za Israel za kuwahamishia Palestina inayokaliwa kwa mabavu mamia ya Mayahudi wa Ethiopia

    Juhudi za Israel za kuwahamishia Palestina inayokaliwa kwa mabavu mamia ya Mayahudi wa Ethiopia

    Apr 08, 2016 23:28

    Utawala wa Kizayuni wa Israel una mpango wa kuwahamishia huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu mamia ya Mayahudi wa Ethiopia.

  • Hizbullah yaikosoa Saudia kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Hizbullah yaikosoa Saudia kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Apr 07, 2016 22:41

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali hatua ya utawala wa Saudi Arabia ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.

  • Iran yakosoa nchi zenye silaha za nyuklia kwa kukiuka mpatano

    Iran yakosoa nchi zenye silaha za nyuklia kwa kukiuka mpatano

    Apr 06, 2016 03:10

    Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amebainisha wasiwasi wake kuhusu mchakato wa kuangamiza silaha za nyuklia duniani.

  • UN yapinga maonyesho ya kipropaganda ya Israel

    UN yapinga maonyesho ya kipropaganda ya Israel

    Apr 03, 2016 23:08

    Umoja wa Mataifa umepinga maonyesho ya picha za kipropaganda za utawala wa Kizayuni wa Israel katika makao makuu ya umoja huo mjini New York.

  • Wazayuni wazuia kusomwa adhana katika Haram ya Nabii Ibrahim AS

    Wazayuni wazuia kusomwa adhana katika Haram ya Nabii Ibrahim AS

    Apr 03, 2016 03:01

    Wizara ya Wakfu ya Palestina imetangaza kuwa, mwezi uliopita wa Machi, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni walizuia mara chungu nzima kusomwa adhana katika Haram ya Nabii Ibrahim AS mjini Alkhalil.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS