-
Njama za Israel za kueneza ushawishi wake barani Afrika
Apr 01, 2016 12:27Gazeti la Kiingereza la Financial Times limetangaza habari kuhusu hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel za kujipenyeza na kupata waungaji mkono wapya barani Afrika, ili kuimarisha nafasi yake kimataifa.
-
Kukandamizwa Waislamu Marekani kunafanywa kwa uratibu wa serikali na Wazayuni
Mar 30, 2016 11:30Imam wa Msikiti wa al-Islam mjini Washington, Marekani amesema serikali ya nchi hiyo na Wazayuni wana muelekeo wa pamoja na wanashrikiana katika kuwakandamiza Waislamu wa nchi hiyo.
-
Hamas yatunisha misuli yake Ukanda wa Gaza
Mar 23, 2016 21:42Wapiganaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas wamefanya mazoezi ya kijeshi katika eneo la Ukanda wa Gaza kwa shabaha ya kuzidisha utayarifu wao kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi ya aina yoyote ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Idadi ya wanajeshi wa Israel wenye matatizo ya kisaikolojia yaongezeka
Mar 23, 2016 21:29Duru za Kizayuni zimeripoti kuwa maradhi ya kisaikolojia yanazidi kuenea miongoni mwa wanajeshi wa utawala huo.
-
Hamas yalaani ukatili unaofanywa na Wazayuni
Mar 20, 2016 22:48Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali hatua ya Wazayuni wa Israel ya kuchoma moto nyumba ya shahidi pekee wa jinai ya kuchomwa moto nyumba na familia ya al Sa'ad Dawabsheh na kuteketezwa watu wa familia hiyo wakiwa hai.
-
Hamas: Tel Aviv inataka kupotosha watu kuhusu mapambano ya Intifadha
Mar 14, 2016 04:03Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamasi imetangaza kuwa lengo la mashambulizi yaliyofanywa hivi karibuni na utawala wa Kizayuni wa Israel huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza ni kuwafanya walimwengu wasitilie maanani na kuzingatia mapambano ya Intifadha ya Quds Tukufu.
-
Madaesh wasiopungua elfu mbili wamepatiwa matibabu na utawala wa Kizayuni wa Israel
Mar 13, 2016 00:00Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limekiri kuwa magaidi wasiopungua elfu mbili wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (IS) wa nchini Syria walipelekwa Israel kwa ajili ya kutibiwa.
-
Utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine wavunja makubaliano ya kusimamisha vita na Wapalestina
Mar 12, 2016 11:54Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wamevunja makubaliano ya kusimamisha vita kati yao na Wapalestina kwa kuwashambulia kwa risasi wavuvi wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Juhudi zisizo na matunda za Israel za kusambaratisha Intifadha ya Quds
Mar 12, 2016 04:52Baada ya juhudi za Israel za kusambaratisha Intifadha ya Quds kushindwa, Kamati ya Usalama ya utawala huo ghasibu sasa imechukua maamuzi mapya yanayolenga kuikandamiza Intifadha hiyo.
-
Mwanamasumbwi wa Iran akataa kuzipiga na mwenzake wa Israel, aungana na Wapalestina
Mar 10, 2016 22:44Mchezaji wa timu ya taifa ya ndondi ya Iran amekataa kupigana na nchezaji wa ndondi wa utawala haramu wa Israel katika mashindano ya kimataifa ya ndondi ya Njia ya Hariri yanayofanyika Baku nchini Azerbaijan akionyesha uungaji mkono wake kwa taifa linalodhulumiwa la Palestina