Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Umoja wa Mataifa watoa onyo kali kuhusu kuongezeka majanga katika Ukanda wa Gaza

    Umoja wa Mataifa watoa onyo kali kuhusu kuongezeka majanga katika Ukanda wa Gaza

    Jun 20, 2024 22:44

    Francesca Albanese, Ripota wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina, amesema katika taarifa kwamba hali ya maafa huko Ukanda wa Gaza imezidi kuwa mbaya. Kwa kauli yake, utawala haramu wa Israel unalenga misafara ya misaada ya kibinadamu inayotumwa Gaza na kuzuia ufikaji wa misaada katika ukanda huo.

  • HAMAS yaitaka jamii ya kimataifa kuwasaidia watu wa Gaza

    HAMAS yaitaka jamii ya kimataifa kuwasaidia watu wa Gaza

    Jun 18, 2024 23:51

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa mwito wa kupitishwa maamuzi ya dharura na jamii ya kimataifa ya kusimamisha jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na kuwasaidia wananchi wa ukanda huo wanaokabiliwa na masaibu mengi.

  • Iran yaonya kuhusu chokochoko yoyote tarajiwa ya Israel katika mipaka ya Lebanon

    Iran yaonya kuhusu chokochoko yoyote tarajiwa ya Israel katika mipaka ya Lebanon

    Jun 14, 2024 04:03

    Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameuonya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya chokochoko yake yoyote tarajiwa katika mipaka ya Lebanon.

  • Yaliyoifanya Marekani ipendekeze katika Baraza la Usalama la UN azimio la kusitishwa vita Ghaza

    Yaliyoifanya Marekani ipendekeze katika Baraza la Usalama la UN azimio la kusitishwa vita Ghaza

    Jun 12, 2024 22:40

    Marekani ambayo huko nyuma ilionyesha waziwazi kuwa ndiye muungaji mkono mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuyapigia kura ya turufu mara kadhaa maazimio tofauti ya Umoja wa Mataifa ya kusitisha vita katika Ukanda wa Ghaza, hatimaye siku ya Jumatatu Juni 10 iliwasilisha azimio jipya la usitishaji vita ambalo lilipitishwa na Baraza la Usalama kwa kura 14 kati ya 15 zilizounga mkono, ukiondoa Russia tu iliyoamua kutopiga kura.

  • HAMAS yatoa pigo jingine angamizi dhidi ya wanajeshi wa Israel

    HAMAS yatoa pigo jingine angamizi dhidi ya wanajeshi wa Israel

    Jun 11, 2024 03:55

    Brigedi za Shahid Izzuddin al Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetoa pigo jingine kubwa kwa wanajeshi vamizi wa Israel katika mji wa Rafah wa kusini mwa Ukanda wa Ghaza.

  • Mufti wa Oman awataka Waislamu kujitokeza kwa wingi kuwasaidia ndugu zao wa Ghaza

    Mufti wa Oman awataka Waislamu kujitokeza kwa wingi kuwasaidia ndugu zao wa Ghaza

    Jun 10, 2024 07:38

    Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed bin Hamad Al-Khalili amewataka Waislamu kote ulimwenguni kutumia sehemu ya fedha zao kuwapelekea msaada wa chakula na silaha Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza

  • HAMAS: Mateka watatu, akiwemo raia wa US, waliuawa katika shambulio la Israel Nuseirat

    HAMAS: Mateka watatu, akiwemo raia wa US, waliuawa katika shambulio la Israel Nuseirat

    Jun 10, 2024 04:36

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema mateka watatu waliuawa akiwemo raia wa Marekani katika shambulio la kinyama lililofanywa hivi karibuni na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye kambi ya wakimbizi wa Kipalestina ya Nuseirat huko Ghaza, lililoua pia zaidi ya raia 270 wa Kipalestina.

  • Gantz ajiuzulu na kujitoa kwenye baraza la mawaziri la vita la utawala wa Kizayuni

    Gantz ajiuzulu na kujitoa kwenye baraza la mawaziri la vita la utawala wa Kizayuni

    Jun 10, 2024 03:20

    Benny Gantz, mjumbe wa baraza la mawaziri la vita la Israel, ametangaza rasmi kujiuzulu na kujitoa kwenye baraza hilo na kutoa wito wa kuitishwa uchaguzi wa mapema.

  • Sababu za umuhimu wa kikao cha D-8 mjini Istanbul kuhusu vita vya Gaza

    Sababu za umuhimu wa kikao cha D-8 mjini Istanbul kuhusu vita vya Gaza

    Jun 09, 2024 23:54

    Kikao cha dharura cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa Kundi la Nchi za Kiislamu Zinazostawi Kiuchumi D-8 kilifanyika Jumamosi mjini Istanbul kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Uturuki, Malaysia, Indonesia, Misri, Nigeria, Pakistan na Bangladesh kwa lengo la kuchukua msimamo wa pamoja dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.

  • Colombia kusimamisha usafirishaji wa makaa ya mawe kwa utawala wa Kizayuni

    Colombia kusimamisha usafirishaji wa makaa ya mawe kwa utawala wa Kizayuni

    Jun 09, 2024 05:57

    Wizara ya Biashara ya Colombia imetangaza kuwa, katika kuwaunga mkono wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Gaza, inasimamisha usafirishaji wa makaa ya mawe kwa utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS