Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Palestina yaiomba mahakama ya ICC kumkamata Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni

    Palestina yaiomba mahakama ya ICC kumkamata Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni

    Mar 21, 2023 03:01

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeiomba Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa hati ya kukamatwa Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na matamshi yake dhidi ya Palestina.

  • Netanyahu ataka waandamanaji wakandamizwe na jeshi linalokaidi amri zake lichukuliwe hatua

    Netanyahu ataka waandamanaji wakandamizwe na jeshi linalokaidi amri zake lichukuliwe hatua

    Mar 20, 2023 22:57

    Duru za lugha ya Kiibrania zimetangaza kuwa, Benjamini Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel ametoa wito wa kukandamizwa uasi wa jeshi la utawala huo haramu na kuchukuliwa hatua kali na thabiti zaidi dhidi ya waandamanaji wanaopinga serikali yake.

  • Ombi la OIC la kutaka Palestina ikubaliwe kuwa mwanachama kamili na rasmi wa Umoja wa Mataifa

    Ombi la OIC la kutaka Palestina ikubaliwe kuwa mwanachama kamili na rasmi wa Umoja wa Mataifa

    Mar 20, 2023 06:59

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imetaka yatolewe mashinikizo ili kuhakikisha Palestina inakubaliwa kuwa mwanachama rasmi wa Umoja wa Mataifa.

  • Vikosi maalumu vya Israel: Hatutahudumu katika jeshi kuanzia Jumapili

    Vikosi maalumu vya Israel: Hatutahudumu katika jeshi kuanzia Jumapili

    Mar 17, 2023 03:24

    Maafisa 100 wa Kikosi cha Akiba cha Oparesheni Maalumu cha utawala wa Kizayuni wa Israel wametangaza kuwa, hawatahudumu jeshini kuanzia Jumapili ijayo wakilalamikia uamuzi wa serikali ya utawala huo wa kubadili muundo wa sheria za mahakama.

  • Mauritania yakanusha kiuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni

    Mauritania yakanusha kiuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni

    Mar 15, 2023 07:36

    Serikali ya Mauritania imekanusha madai ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa inafanya nao mashauriano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida wa kidiplomasia.

  • Barghouthi: Hitilafu zinazoizonga Israel zinadhihirisha kiwango cha ufashisti na ubaguzi wa utawala huo

    Barghouthi: Hitilafu zinazoizonga Israel zinadhihirisha kiwango cha ufashisti na ubaguzi wa utawala huo

    Mar 13, 2023 22:38

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ubunifu wa Kitaifa ya Palestina amesisitiza namna hitilafu na migawanyiko inayoikabili Israel sasa inavyodhihirisha kwa walimwengu kiwango cha ufashisti na ubaguzi wa utawala huo ghasibu na kueleza kuwa muqawama wa Palestina unaweza kustafidi na fursa ya mfarakano huu unaoukabili utawala wa Kizayuni.

  • Rais wa Palestina: Walimwengu chukueni hatua za kuzuia ugaidi wa Israel

    Rais wa Palestina: Walimwengu chukueni hatua za kuzuia ugaidi wa Israel

    Mar 07, 2023 22:53

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameitaka jamii ya kimataifa kukomesha ugaidi wa Israel na kufanya juhudi za kuhitimisha uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na utawala huo wa Kizayuni.

  • Waziri mwenye itikadi kali wa Israel aamuru kubomolewa nyumba za Wapalestina mwezi wa Ramadhani

    Waziri mwenye itikadi kali wa Israel aamuru kubomolewa nyumba za Wapalestina mwezi wa Ramadhani

    Mar 06, 2023 23:04

    Waziri mwenye misimamo ya kupindukia mipaka wa usalama wa ndani wa utawala wa haramu wa Israel ametoa amri ya kuharibiwa nyumba za wananchi wa Palestina katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Walowezi wa Kizayuni waendeleza vitendo vya kuuvamia msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni waendeleza vitendo vya kuuvamia msikiti wa al-Aqswa

    Mar 06, 2023 04:04

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

  • Iran yauonya utawala wa Kizayuni kwa bwabwaja zake, yasema umekiuka sheria za kimataifa

    Iran yauonya utawala wa Kizayuni kwa bwabwaja zake, yasema umekiuka sheria za kimataifa

    Mar 03, 2023 23:26

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir Saeid Iravani, amesema bwabwaja za hivi karibuni za maafisa wa Israel ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS