Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Maandamano makubwa ya wananchi wa Jordan na Uturuki kulaani jinai za Israel Gaza

    Maandamano makubwa ya wananchi wa Jordan na Uturuki kulaani jinai za Israel Gaza

    Oct 18, 2024 07:53

    Maelfu ya wananchi wa Jordan na Uturuki wameandamana na kulaani jinai za utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Mkuu wa mtandao wa fedha wa shirika la ujasusi la Israel Mossad atiwa mbaroni nchini Uturuki

    Mkuu wa mtandao wa fedha wa shirika la ujasusi la Israel Mossad atiwa mbaroni nchini Uturuki

    Sep 04, 2024 02:38

    Polisi wa Istanbul wamemtia mbaroni Liridon Rexhepi, ambaye Shirika la Taifa la Intelijensia la Uturuki (MIT) limemtambua kama Mkuu wa Mtandao wa Fedha wa shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel Mossad ndani ya nchi hiyo. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti zilizotolewa jana Jumanne na duru za usalama za Uturuki.

  • Wananchi wa Uturuki wafanya maandamano Istanbul kuunga mkono Gaza

    Wananchi wa Uturuki wafanya maandamano Istanbul kuunga mkono Gaza

    Aug 26, 2024 11:26

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Uturuki wamefanya maandamano ya kulalamikia siasa za kijeshi na mauaji yanayofanywa na utawala wa kibaguzi wa Israel dhidi ya wanawake na watoto wadogo katika eneo la Ukanda wa Gaza linalokaliwa kwa mabavu.

  • Uturuki yajiunga rasmi na kesi ya Afrika Kusini ICJ dhidi ya Israel

    Uturuki yajiunga rasmi na kesi ya Afrika Kusini ICJ dhidi ya Israel

    Aug 10, 2024 02:33

    Uturuki imetangaza kuwa, imewasilisha rasmi ombi la kujiunga na kesi ya Afrika Kusini iliyowasilishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ).

  • Kushadidi mvutano baina ya Uturuki na utawala ghasibu wa Israel

    Kushadidi mvutano baina ya Uturuki na utawala ghasibu wa Israel

    Jul 31, 2024 03:04

    Matamshi ya rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdoğan kuhusu uwezekano wa kuchukua hatua dhidi ya Israel sawa na hatua zilizochukuliwa Karabakh na Libya yameongeza mvutano wa maneno kati ya Ankara na Tel Aviv.

  • Ulaya yaendelea kushuhudia maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Ulaya yaendelea kushuhudia maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Jul 29, 2024 02:56

    Wananchi wa nchi mbalimbali za barani Ulaya kwa mara nyingine wamefanya maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Gaza, Palestina.

  • Erdogan: Nchi za Magharibi zimekuwa mateka wa mtu kichaa kama Netanyahu

    Erdogan: Nchi za Magharibi zimekuwa mateka wa mtu kichaa kama Netanyahu

    Jun 27, 2024 02:58

    Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan alisema jana Jumatano kwamba nchi yake inasimama bega kwa bega na Lebanon kutokana na mvutano unaozidi kuongezeka na utawala wa Kizayuni wa Israel, na amezitaka pande za kikanda kumuunga mkono katika msimamo huo.

  • Iran: Marekani na Israel lazima ziwajibishwe kwa mauaji ya kimbari ya Ghaza

    Iran: Marekani na Israel lazima ziwajibishwe kwa mauaji ya kimbari ya Ghaza

    Jun 10, 2024 08:07

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zimeshindwa katika vita vyao dhidi ya Ukanda wa Ghaza uliozingirwa na lazima ziwajibishwe kwa mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Palestina.

  • Bagheri Kani: Iran ni miongoni mwa 'wapaza sauti wakubwa zaidi' dhidi ya jinai za Israel Ghaza

    Bagheri Kani: Iran ni miongoni mwa 'wapaza sauti wakubwa zaidi' dhidi ya jinai za Israel Ghaza

    Jun 09, 2024 10:03

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ni mojawapo ya nchi ambazo zimepaza "sauti kubwa zaidi" dhidi ya jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel za mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Erdogan: Netanyahu, mwenye kiu ya damu sharti akomeshwe

    Erdogan: Netanyahu, mwenye kiu ya damu sharti akomeshwe

    Jun 03, 2024 11:27

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki kwa mara nyingine amemshambulia vikali kwa maneno Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu na kumtaja kama mtu mwenye kiu ya kumwaga na kufyonza damu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS