-
Sisitizo la Russia la kutatuliwa kisiasa hitilafu kati ya Uturuki na Syria
Oct 16, 2019 07:29Russia ikiwa moja ya nchi muhimu katika medani na matukio ya Syria imetangaza msimamo wake kuhusiana na mashambulio ya kijeshi ya Uturuki huko kaskazini mwa Syria.
-
Zarif ataka kusitishwa uvamizi wa kijeshi dhidi ya Syria
Oct 16, 2019 04:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kusitishwa uvamizi na mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Syria.
-
Trump na uvamizi wa Uturuki kaskazini mwa Syria; kutoka kubariki hadi vikwazo
Oct 15, 2019 23:26Licha ya kwamba awali rais wa Marekani alibariki uvamizi wa kijeshi wa Uturuki huko kaskazini mwa Syria lakini hivi sasa amegeuka kikamilifu na kutoa amri ya kuwekewa vikwazo Ankara.
-
Trump na misimamo ya undumakuwili kuhusu magaidi wa Daesh (ISIS)
Oct 15, 2019 04:40Licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kutoa onyo kuhusiana na kuibukka upya shughuli za kundi la kigaidi la Daesh (ISIS), kitendo cha kuondoa askari wa Kimarekani katika maeneo yanayoshambuliwa na Uturuki huko kaskazini mwa Syria, kimeandaa uwanja wa kufufuka upya kundi hilo la ukufurishaji ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Jenerali wa zamani wa Marekani: Trump ni muhusika wa mauaji kaskazini mwa Syria
Oct 15, 2019 01:15Kamanda wa zamani wa majeshi ya Marekani nchini Afghanistan amebainisha kwamba, Rais Donald Trump wa Marekani ni muhusika wa mgogoro na mauaji kaskazini mwa Syria.
-
Bunge la Iran lalaani mashambulizi ya Uturuki dhidi ya Syria
Oct 14, 2019 08:38Wawakilishi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wametoa taarifa wakilaani mashambulizi ya jeshi la Uturuki dhidi ya Syria na kusisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kutetea watu wanaodhulumiwa kote duniani.
-
Wakurdi wa Syria wamedai kuwauwa wanajeshi 75 wa Uturuki
Oct 13, 2019 08:34Wanamgambo wa Kikurdi kwa jina la Vikosi vya kidemokrasia vya Syria (QASD) leo vimedai kuwa, vimewaua wanajeshi 75 wa Uturuki na kuangamiza pia vifaru vyao 7 katika mapigano yaliyojiri katika mji wa Ra's al Ayn kaskazini mwa Syria.
-
Arab League: Operesheni ya Uturuki nchini Syria ni uvamizi wa kijeshi
Oct 13, 2019 04:25Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imesema operesheni inayofanywa na vikosi vya jeshi la Uturuki huko kaskazini mwa Syria ni uvamizi wa wazi wa kijeshi.
-
Wapalestina walaani mashambulizi ya Uturuki nchini Syria
Oct 12, 2019 01:23Harakati ya Kidemokrasia kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina sambamba na kutoa taarifa ya kulaani uvamizi wa kijeshi wa Uturuki dhidi ya ardhi ya Syria kwa kuutaja kuwa uliokiuka haki ya kujitawala na uhuru wa nchi hiyo ya Kiarabu, imesisitiza kuwa mashambulizi hayo ni uingiliaji wa wazi wa Ankara katika masuala ya ndani ya Syria.
-
Faisal Mekdad: Kama jeshi la Syria lingekuwepo maeneo ya Wakurdi, Uturuki isingewashambulia
Oct 12, 2019 01:22Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria sambamba na kumkosoa vikali Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki, amesema kuwa tangu mwanzoni mwa mzozo wa Syria, serikali ya Ankara imekuwa ikiwaunga mkono magaidi.