-
Kutozwa ushuru wa asilimia 25 na Marekani kwa nchi zinazonunua mafuta ya Venezuela
Mar 27, 2025 05:49Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kutoza ushuru wa asilimia 25 kwa biashara yoyote na nchi zinazonunua mafuta na gesi ya Venezuela. Ameelezea ushuru huu kama jibu la kutumwa Marekani wanachama wa genge la uhalifu la "Tren de Aragua".
-
EAC na SADC zatangaza jopo jipya la marais wastaafu wa kuongoza mchakato wa kuleta amani DRC
Mar 25, 2025 11:46Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, SADC wamewateua marais wastaafu wengine kuongoza jitihada za kurejesha amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC.
-
Venezuela yapongeza misimamo ya Iran kuhusu uingiliaji wa Washington katika masuala ya ndani ya Caracas
Nov 25, 2024 03:33Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Venezuela amepongeza misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na uingiliaji kati wa serikali ya Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela.
-
Kiongozi Mkuu wa Kanisa UK ashinikizwa ajiuzulu kwa kunyamazia udhalilishaji wa kingono
Nov 12, 2024 07:08Mkuu wa Kanisa la Uingereza, ambaye ni kiongozi wa kiroho wa Kanisa la Kianglikana duniani anashinikizwa ajiuzulu baada ya uchunguzi kubaini kuwa alishindwa kuwajulisha polisi mara tu alipofahamu kuhusu unyanyasaji wa kimwili na udhalilishaji wa kingono uliofanywa na mfanyakazi wa kujitolea katika kambi za Kikristo za msimu wa joto.
-
Waziri wa Mawasiliano wa Iran afanya mazungumzo na Rais wa Venezuela
Nov 05, 2024 07:15Katika siku ya kwanza ya ziara yake nchini Venezuela, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Iran amekutana na kuzungumza na Rais wa Venezuela.
-
Iran yalaani hatua ya Marekani ya kuiba ndege ya Rais wa Venezuela
Sep 06, 2024 03:02Msemaji Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hatua ya serikali ya Marekani kukamata ndege inayotumiwa na rais wa Venezuela.
-
UN yahimiza misaada zaidi kwa ajili ya Sudan, yasema iliyotolewa haijawapunguzia mateso raia
Sep 01, 2024 10:13Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina Mohammed, ametoa wito wa kutolewa misaada zaidi kwa Sudan akisisitiza kwamba, juhudi zilizofanywa hadi sasa katika uga huo hazijatosha kupunguza mateso wanayopata raia wa nchi hiyo.
-
Mahakama Kuu ya Venezuela yathibitisha uhalali wa uchaguzi na ushindi wa Rais Maduro
Aug 24, 2024 02:33Mahakama Kuu ya Haki ya Venezuela imethibitisha kuwa Nicolas Maduro alishinda uchaguzi wa urais wa Julai 28.
-
Pezeshkian: Iran iko tayari kuendeleza ushirikiano wa pande zote na Venezuela
Aug 06, 2024 07:40Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesiistiza kuwa Tehran iko tayari kupanua ushirikiano wa pande zote na Venezuela.
-
Rais Maduro: Venezuela daima itakuwa pamoja na wananchi wa Palestina
Aug 04, 2024 12:15Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amelaani mauaji ya halaiki ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, nchi hiyo ya Amerika ya latini daima itakuwa pamoja na Palestina.