-
Waziri wa Ulinzi wa Venezuela aonya askari wa US: Msiwe wapumbavu
Sep 15, 2025 11:20Waziri wa Ulinzi wa Venezuela, Vladimir Padrino López amelaani kitendo cha Marekani cha kupeleka vikosi vyake vya majini kwenye visiwa vya Caribbean kwa kisingizio kupambana na ulanguzi wa dawa za kulevya, akisisitiza kuwa lengo halisi la Washington ni kuangusha serikali halali ya Rais Nicolas Maduro.
-
Maduro aonya: Tutaingia kwenye ‘mapambano ya silaha’ ikiwa tutashambuliwa na US
Sep 06, 2025 11:38Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro ameonya kwamba nchi yake itagura kutoka kwenye siasa na kuingia kwenye "mapambano ya kutumia silaha" iwapo Marekani itaanzisha mashambulizi ya kijeshi dhidi ya taifa hilo.
-
Maduro: Tutaitangaza Venezuela 'jamhuri yenye silaha' ikiwa US itatushambulia
Sep 02, 2025 07:03Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro amesema kuongezeka uwepo wa majeshi ya Marekani katika eneo la Caribbean kunalenga kuipindua serikali yake, na kusisitiza kuwa yuko tayari "kutangaza jamhuri yenye silaha" ikiwa nchi hiyo itashambuliwa na wanajeshi hao wavamizi.
-
Kwa nini Rais wa Colombia ametahadharisha kuhusu njama za Marekani za kuigeuza Venezuela kuwa Syria nyingine?
Aug 23, 2025 03:58Rais wa Colombia ametahadharisha kuwa Marekani inaweza kuifanya Venezuela kuwa Syria nyingine.
-
Je, nchi za Amerika ya Kusini zimepokea vipi mpango wa Israel wa kukalia kwa mabavu Gaza?
Aug 16, 2025 02:17Nchi nyingi za Amerika ya Kusini zimekuwa na misimamo ya kukosoa waziwazi mpango wa utawala wa Kizayuni wa kuikalia kijeshi Gaza. Bila shaka, baadhi ya nchi, kama vile Argentina, zimechukua msimamo tofauti wa kuiunga mkono Tel Aviv.
-
Venezuela yalaani uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa kuukalia kwa mabavu Ukanda wa Gaza
Aug 09, 2025 13:30Serikali ya Venezuela imepinga vikali mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuukalia kwa mabavu Ukanda wa Gaza na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kuzidisha mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Palestina.
-
Araqchi: Vikosi vya ulinzi vya Iran viko tayari kukabiliana na uchokozi wowote wa utawala wa Kizayuni na waungaji mkono wake
Jul 03, 2025 07:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa vikosi vya ulinzi vya Iran viko tayari kabisa kukabiliana kwa nguvu zake zote na chokochoko za aina yoyote za utawala wa Kizayuni na pande zinazouunga mkono utawala huo.
-
Maduro: Nimeifuta WhatsApp kwa sababu inatumika katika ujasusi na mauaji
Jul 03, 2025 03:59Rais wa Venezuela Nicolas Maduro amesema katika mahojiano ya kipindi cha televisheni kwamba messenger ya WhatsApp imekuwa ikitumika kwa shughuli za kijasusi na mauaji ya Wapalestina, na kwamba kwa sababu hiyo amefuta messenger ya WhatsApp.
-
Kutozwa ushuru wa asilimia 25 na Marekani kwa nchi zinazonunua mafuta ya Venezuela
Mar 27, 2025 05:49Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kutoza ushuru wa asilimia 25 kwa biashara yoyote na nchi zinazonunua mafuta na gesi ya Venezuela. Ameelezea ushuru huu kama jibu la kutumwa Marekani wanachama wa genge la uhalifu la "Tren de Aragua".
-
EAC na SADC zatangaza jopo jipya la marais wastaafu wa kuongoza mchakato wa kuleta amani DRC
Mar 25, 2025 11:46Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, SADC wamewateua marais wastaafu wengine kuongoza jitihada za kurejesha amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC.