Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Kutozwa ushuru wa asilimia 25 na Marekani kwa nchi zinazonunua mafuta ya Venezuela

    Kutozwa ushuru wa asilimia 25 na Marekani kwa nchi zinazonunua mafuta ya Venezuela

    Mar 27, 2025 05:49

    Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kutoza ushuru wa asilimia 25 kwa biashara yoyote na nchi zinazonunua mafuta na gesi ya Venezuela. Ameelezea ushuru huu kama jibu la kutumwa Marekani wanachama wa genge la uhalifu la "Tren de Aragua".

  • EAC na SADC zatangaza jopo jipya la marais wastaafu wa kuongoza mchakato wa kuleta amani DRC

    EAC na SADC zatangaza jopo jipya la marais wastaafu wa kuongoza mchakato wa kuleta amani DRC

    Mar 25, 2025 11:46

    Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, SADC wamewateua marais wastaafu wengine kuongoza jitihada za kurejesha amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC.

  • Venezuela yapongeza misimamo ya Iran kuhusu uingiliaji wa Washington katika masuala ya ndani ya Caracas

    Venezuela yapongeza misimamo ya Iran kuhusu uingiliaji wa Washington katika masuala ya ndani ya Caracas

    Nov 25, 2024 03:33

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Venezuela amepongeza misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na uingiliaji kati wa serikali ya Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela.

  • Kiongozi Mkuu wa Kanisa UK ashinikizwa ajiuzulu kwa kunyamazia udhalilishaji wa kingono

    Kiongozi Mkuu wa Kanisa UK ashinikizwa ajiuzulu kwa kunyamazia udhalilishaji wa kingono

    Nov 12, 2024 07:08

    Mkuu wa Kanisa la Uingereza, ambaye ni kiongozi wa kiroho wa Kanisa la Kianglikana duniani anashinikizwa ajiuzulu baada ya uchunguzi kubaini kuwa alishindwa kuwajulisha polisi mara tu alipofahamu kuhusu unyanyasaji wa kimwili na udhalilishaji wa kingono uliofanywa na mfanyakazi wa kujitolea katika kambi za Kikristo za msimu wa joto.

  • Waziri wa Mawasiliano wa Iran afanya mazungumzo na Rais wa Venezuela

    Waziri wa Mawasiliano wa Iran afanya mazungumzo na Rais wa Venezuela

    Nov 05, 2024 07:15

    Katika siku ya kwanza ya ziara yake nchini Venezuela, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Iran amekutana na kuzungumza na Rais wa Venezuela.

  • Iran yalaani hatua ya Marekani ya kuiba ndege ya Rais wa Venezuela

    Iran yalaani hatua ya Marekani ya kuiba ndege ya Rais wa Venezuela

    Sep 06, 2024 03:02

    Msemaji Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hatua ya serikali ya Marekani kukamata ndege inayotumiwa na rais wa Venezuela.

  • UN yahimiza misaada zaidi kwa ajili ya Sudan, yasema iliyotolewa haijawapunguzia mateso raia

    UN yahimiza misaada zaidi kwa ajili ya Sudan, yasema iliyotolewa haijawapunguzia mateso raia

    Sep 01, 2024 10:13

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina Mohammed, ametoa wito wa kutolewa misaada zaidi kwa Sudan akisisitiza kwamba, juhudi zilizofanywa hadi sasa katika uga huo hazijatosha kupunguza mateso wanayopata raia wa nchi hiyo.

  • Mahakama Kuu ya Venezuela yathibitisha uhalali wa uchaguzi na ushindi wa Rais Maduro

    Mahakama Kuu ya Venezuela yathibitisha uhalali wa uchaguzi na ushindi wa Rais Maduro

    Aug 24, 2024 02:33

    Mahakama Kuu ya Haki ya Venezuela imethibitisha kuwa Nicolas Maduro alishinda uchaguzi wa urais wa Julai 28.

  • Pezeshkian: Iran iko tayari kuendeleza ushirikiano wa pande zote na Venezuela

    Pezeshkian: Iran iko tayari kuendeleza ushirikiano wa pande zote na Venezuela

    Aug 06, 2024 07:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesiistiza kuwa Tehran iko tayari kupanua ushirikiano wa pande zote na Venezuela.

  • Rais Maduro: Venezuela daima itakuwa pamoja na wananchi wa Palestina

    Rais Maduro: Venezuela daima itakuwa pamoja na wananchi wa Palestina

    Aug 04, 2024 12:15

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amelaani mauaji ya halaiki ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, nchi hiyo ya Amerika ya latini daima itakuwa pamoja na Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS