Pars Today
Msemaji Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hatua ya serikali ya Marekani kukamata ndege inayotumiwa na rais wa Venezuela.
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina Mohammed, ametoa wito wa kutolewa misaada zaidi kwa Sudan akisisitiza kwamba, juhudi zilizofanywa hadi sasa katika uga huo hazijatosha kupunguza mateso wanayopata raia wa nchi hiyo.
Mahakama Kuu ya Haki ya Venezuela imethibitisha kuwa Nicolas Maduro alishinda uchaguzi wa urais wa Julai 28.
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesiistiza kuwa Tehran iko tayari kupanua ushirikiano wa pande zote na Venezuela.
Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amelaani mauaji ya halaiki ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, nchi hiyo ya Amerika ya latini daima itakuwa pamoja na Palestina.
Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema kuwa, Marekani na Uzayuni wa kimataifa wako nyuma ya pazia la kujaribu kufanya mapinduzi nchini Venezuela.
Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema taifa hilo katu halitaruhusu vita vya wenyewe kwa wenyewe viripuke nchini humo, huku akizikosoa vikali nchi za Magharibi kwa kuchochea vurugu na ghasia zinazoendelea kushuhudiwa nchini humo baada ya uchaguzi wa rais.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameutaja uchaguzi wa rais uliofanyika nchini Venezuela uliokuwa na hamasa kubwa kuwa ni dhihirisho la kuimarika mfumo wa demokrasia
Nicolás Maduro ameshinda uchaguzi wa rais wa Venezuela na kuchaguliwa kwa muhula wa tatu kuwa rais wa nchi hiyo.
Rais Gustavo Petro wa Colombia alisema siku ya Jumatano tarehe Mosi Mei katika hotuba yake kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kuwa kuanzia Alhamisi amekata kikamilifu uhusiano wa nchi hiyo na utawala wa Kizayuni kwa sababu ya jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo huko Ukanda wa Gaza.