Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Venezuela: Tutatumia nguvu kali kukabiliana na vitisho vipya vya kijeshi vilivyotolewa na Trump

    Venezuela: Tutatumia nguvu kali kukabiliana na vitisho vipya vya kijeshi vilivyotolewa na Trump

    Mar 20, 2019 16:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela ametoa radiamali kali juu ya vitisho vipya vya kijeshi vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi yake na kusisitiza kwamba, Caracas inapinga vikali matamshi hayo hatari ya Trump.

  • Russia: Marekani isijaribu kuingilia kijeshi Venezuela, tutahakikisha tunalinda maslahi yetu

    Russia: Marekani isijaribu kuingilia kijeshi Venezuela, tutahakikisha tunalinda maslahi yetu

    Mar 20, 2019 16:13

    Serikali ya Russia imeionya vikali Marekani isijaribu kufanya uingiliaji wa aina yoyote wa kijeshi nchini Venezuela na kusisitiza kwamba Moscow italinda maslahi yake nchini humo.

  • Hatua mpya ya Rais Maduro kufanya mabadiliko katika serikali ya Venezuela

    Hatua mpya ya Rais Maduro kufanya mabadiliko katika serikali ya Venezuela

    Mar 19, 2019 08:09

    Wakati mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela ukiwa unaendelea hasa "Vita vya Umeme" na huku kinara wa upinzani Juan Guaido hakiwa ameshahidisha uchochezi wake baada ya kujitangaza kuwa rais kwa lengo la kuidhoofisha serikalii halali, Rais Nicholas Maduro ambeye ni rais halali wa nchi hiyuo imechukua hatua za kuleta uthabiti na kuimarisha serikali ya nchi hiyo.

  • Mamia ya Wamarekani waandamana mbele ya White House kumtetea Maduro

    Mamia ya Wamarekani waandamana mbele ya White House kumtetea Maduro

    Mar 17, 2019 17:05

    Mamia ya wananchi wa Marekani wamefanya maandamano mbele ya Ikulu ya Rais wa nchi hiyo, White House na kutangaza uungaji mkono wao kwa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro.

  • Cuba: Miamala ya Marekani dhidi ya Venezuela imetoka kwa Manazi

    Cuba: Miamala ya Marekani dhidi ya Venezuela imetoka kwa Manazi

    Mar 14, 2019 14:30

    Rais Miguel Díaz-Canel wa Cuba amekosoa vikali uingiliaji wa kivamizi wa Marekani nchini Venezuela na kusema kuwa, vitendo hivyo vimetoka kwa Manazi wa Ujerumani.

  • Russia yaionya Marekani isijaribu kuyawekea vikwazo mashirika yake nchini Venezuela

    Russia yaionya Marekani isijaribu kuyawekea vikwazo mashirika yake nchini Venezuela

    Mar 14, 2019 02:30

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetoa onyo kwa Marekani isijaribu kuyawekea vikwazo mashirika ya nchi hiyo yanayofanya kazi nchini Venezuela.

  • EU yaionya Marekani isithubutu kuivamia kijeshi Venezuela

    EU yaionya Marekani isithubutu kuivamia kijeshi Venezuela

    Mar 13, 2019 07:57

    Umoja wa Ulaya umeionya Marekani kuhusu hatari ya chokochoko zake za kutaka kuivamia kijeshi Venezuela.

  • Kuendelea hatua za mapinduzi za Marekani dhidi ya Venezuela

    Kuendelea hatua za mapinduzi za Marekani dhidi ya Venezuela

    Mar 10, 2019 07:33

    Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela ungali unaendelea na katika hatua ya hivi karibuni kabisa, Washington imetishia kuziwekea vikwazo benki ambazo zinashirikiana na serikali ya Caracas.

  • Kufichuliwa na Maduro lengo halisi la Marekani la kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela

    Kufichuliwa na Maduro lengo halisi la Marekani la kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela

    Mar 09, 2019 04:20

    Wakati mgogoro wa kisiasa ukiwa unaendelea nchini Venezuela sambamba na kuongezeka harakati za Juan Guaido, kiongozi wa wapinzani aliyejitangaza rais, za kushadidisha mgogoro huo, njama na hatua za serikali ya Marekani za kutaka kubadilisha hali ya mambo katika nchi hiyo ya Amerika ya Latini, nazo pia zimezidi kupamba moto.

  • Venezuela yamtimua balozi wa Ujerumani kwa hatua yake ya kumuunga mkono Juan Guaidó

    Venezuela yamtimua balozi wa Ujerumani kwa hatua yake ya kumuunga mkono Juan Guaidó

    Mar 07, 2019 04:08

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Venezuela imemtimua balozi wa Ujerumani nchini humo kutokana na hatua yake ya kumuunga mkono Juan Guaidó, mpinzani wa serikali aliyejitangaza kuwa rais, badala ya serikali halali ya Caracas.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS