• Iran: Korea Kusini lazima itulipe deni letu

    Iran: Korea Kusini lazima itulipe deni letu

    Jan 07, 2022 03:34

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa na kiongozi wa ujumbe wa Iran katika mazungumzo ya Vienna amesema Korea Kusini haina chaguo jingine isipokuwa kutekeleza wajibu wake na kuilipa Jamhuri ya Kiislamu deni lake.

  • Iran: Inawezekana kufikia makubaliano mazuri katika mazungumzo ya Vienna

    Iran: Inawezekana kufikia makubaliano mazuri katika mazungumzo ya Vienna

    Dec 29, 2021 04:37

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza matumaini yake ya kufikiwa mapatano ya kuridhisha katika mazungumzo ya nyuklia ya Iran na kundi la 4+1 linaloundwa na mataifa ya Russia, China, Uingereza, Ufaransa pamoja Ujerumani yanayoendelea huko Vienna, Austria.

  • Mazungumzo ya Vienna: Njia pekee ya kunusuru mapatano ya JCPOA ni kuondoa vikwazo vyote

    Mazungumzo ya Vienna: Njia pekee ya kunusuru mapatano ya JCPOA ni kuondoa vikwazo vyote

    Apr 10, 2021 11:10

    Kikao cha Pili cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA kimemalizika huko Vienna na pande mbili ziimeafikiana kuendeleza mazungumzo hayo mahsusi kwa lengo la kuandaa faharasa ya hatua zinazopaswa kuchukuliwa kuodoa vikwazo na pia kujadili miradi ya nyuklia ya Iran kwa lengo la kuhuisha mapatano hayo.

  • Ulyanov: Mafanikio ya awali yamepatikana katika kikao cha Vienna

    Ulyanov: Mafanikio ya awali yamepatikana katika kikao cha Vienna

    Apr 10, 2021 02:36

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika taasisi za kimataifa zenye makao yake mjini Vienna amesema kuwa kumepatikana mafanikio ya awali katika kikao cha Kamisheni ya Pamoja ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA katika mji mkuu wa Austria.

  • Kikao cha pamoja cha JCPOA; matarajio ya kundi la 4+1 na matumaini ya Iran

    Kikao cha pamoja cha JCPOA; matarajio ya kundi la 4+1 na matumaini ya Iran

    Apr 08, 2021 08:07

    Kikao cha 18 cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA kilifanyika juzi Jumanne huko Vienna mji mkuu wa Austria kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa kundi la 4+1 na pia Iran. Nchi wanachama wa mapatano ya JCPOA baada ya majadiliano na kuchunguza mapatano hayo zimekubaliana kuendeleza mashauriano katika ngazi ya kitaalamu ili kuiondolea Iran vikwazo.

  • Iran yaonya kuhusu bidaa zisizo na msingi katika wakala wa IAEA

    Iran yaonya kuhusu bidaa zisizo na msingi katika wakala wa IAEA

    Mar 04, 2020 11:56

    Kazem Gharib Abadi, balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika asasi za kimataifa zenye makao yake mjini Vienna Austria amejibu ripoti mpya ya wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na kusema kuwa, Tehran imo mbioni kuzuia uanzishwaji wa bidaa zisizo na msingi na hatari katika wakala huo.

  • Salehi: Iran haitalegeza msimamo katika kulinda usalama wake

    Salehi: Iran haitalegeza msimamo katika kulinda usalama wake

    Feb 11, 2020 04:44

    Mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran amehutubu katika Kikao cha Kila Miaka Miwili cha Usalama wa Nyuklia mjini Vienna, Austria na kusema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitalegeza msimamo katika kulinda usalama wake.

  • Araqchi: Kikao cha kamisheni ya JCPOA kimekuwa na mafanikio

    Araqchi: Kikao cha kamisheni ya JCPOA kimekuwa na mafanikio

    Jul 29, 2019 04:22

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa kikao cha kamisheni ya pamoja ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kilichofanyika jana mjini Vienna kimemalizika kwa mafanikio japo hatuwezi kusema kuwa mambo yote yametatuliwa.

  • Kikao cha kamisheni ya pamoja ya JCPOA chaanza kufanyika Vienna, Austria

    Kikao cha kamisheni ya pamoja ya JCPOA chaanza kufanyika Vienna, Austria

    Jul 28, 2019 12:23

    Kikao cha kamisheni ya pamoja ya makubaliano ya nyuklia JCPOA cha Manaibu Mawaziri na Wakurugenzi wa Kisiasa wa Iran na kundi la 4+1 pamoja na mwakilishi wa Umoja wa Ulaya kimeanza leo huko Vienna mji mkuu wa Austria.

  • Tume ya pamoja ya JCPOA: Kuondolewa vikwazo, ni sehemu ya makubaliano na Iran

    Tume ya pamoja ya JCPOA: Kuondolewa vikwazo, ni sehemu ya makubaliano na Iran

    Mar 07, 2019 07:08

    Tume ya Pamoja ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA imetoa taarifa mwishoni mwa kikao cha 11 mjini Vienna, Austria ikisema kuwa kuondolewa vikwazo ambavyo vinaweza kuboresha uhusiano wa kibiashara na kiuchumi na nchi hii, ni sehemu ya uhai wa mapatano hayo.