Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikosi vya kijeshi

  • Wanajeshi zaidi ya elfu 4 wa Uingereza watoroka jeshini

    Wanajeshi zaidi ya elfu 4 wa Uingereza watoroka jeshini

    Oct 19, 2024 03:04

    Bunge la Uingereza limetangaza kuwa zaidi ya wanajeshi 4,400 wamejiuzulu katika jeshi la nchi hiyo.

  • Kikao cha viongozi wa Ufaransa na kundi la nchi tano za Sahel

    Kikao cha viongozi wa Ufaransa na kundi la nchi tano za Sahel

    Jul 11, 2021 08:22

    Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ameonana na wakuu wa nchi tano za eneo la Sahel ya Afrika ambazo ni Chad, Mali, Burkina Faso, Mauritania na Niger. Ingawa kikao hicho kimefanyika kwa njia ya Intaneti, lakini Rais Mohammad Bazoum wa Niger yeye ameshiriki kikao hicho akiwa ziarani nchini Ufaransa.

  • Msimamo wa kukinzana wa Marekani kuhusu mgogoro wa nyuklia wa Korea

    Msimamo wa kukinzana wa Marekani kuhusu mgogoro wa nyuklia wa Korea

    Aug 28, 2020 10:12

    Takriban ni miongo 7 sasa ambapo Marekani ina wanajeshi wake katika Rasi ya Korea. Licha ya kufanyika mazungumzo mara kadhaa baina ya viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini kuhusu kupokonywa silaha za nyuklia Pyongyang lakini mgogoro wa Korea mbili bado uko vile vile. Si hayo tu lakini rais wa Marekani, Donald Trump hivi sasa anataka kupunguzwa idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo huko Korea Kusini, suala ambalo limezusha mzozo mpya.

  • Kutumwa askari wa Marekani nchini Saudia, hatua mpya ya kuzidisha mvutano katika eneo

    Kutumwa askari wa Marekani nchini Saudia, hatua mpya ya kuzidisha mvutano katika eneo

    Jul 21, 2019 11:52

    Hatua za kichochezi za serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani katika eneo, hususan ya kuongeza uwezo na harakati zake za kijeshi katika eneo la Ghuba ya Uajemi, imekabiliwa na radiamali kali na athirifu ya Iran.

  • Nchi za mashariki mwa Afrika zaunda kikosi cha pamoja cha kijeshi

    Nchi za mashariki mwa Afrika zaunda kikosi cha pamoja cha kijeshi

    Apr 13, 2017 07:20

    Nchi 10 za mashariki mwa Afrika zimeunda kikosi cha pamoja cha kijeshi kitakachofahamika kama East Africa Standby Force (EASF).

  • Barrow: Vikosi vya kieneo kusalia Gambia kwa miezi mitatu zaidi

    Barrow: Vikosi vya kieneo kusalia Gambia kwa miezi mitatu zaidi

    Feb 09, 2017 07:23

    Vikosi vya kieneo vya mgharibi mwa Afrika vilivyotumwa nchini Gambia kuhakikisha usalama katika mchakato wa kushika madaraka serikali mpya ya nchi hiyo, vitasalia nchini humo kwa muda wa miezi mitatu zaidi.

  • Burundi yaanza kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia

    Burundi yaanza kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia

    Jan 17, 2017 04:32

    Serikali ya Burundi imeanza kuwaondoa wanajeshi wake wanaohudumu katika Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom kutokana na mgogoro wa mshahara.

  • Ecowas: Ikibidi, tutatuma askari wa kieneo nchini Gambia Januari

    Ecowas: Ikibidi, tutatuma askari wa kieneo nchini Gambia Januari

    Dec 24, 2016 04:50

    Viongozi wa wawakilishi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wametishia kutuma vikosi vya kieneo nchini Gambia, iwapo Rais Yahya Jammeh atakaa kukabidhi madaraka wakati muda wake utakapiomalizika rasmi Januari 19 mwakani.

  • Watu wanane wauawa katika shambulizi msikitini Sudan

    Watu wanane wauawa katika shambulizi msikitini Sudan

    May 27, 2016 15:27

    Watu wanane wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio lililofanywa msikitini na watu waliokuwa na silaha katika mji wa al Junaynah mkoani Darfur Magharibi huko Sudan.

  • Obama kutuma askari zaidi nchini Syria eti kupambana na ugaidi

    Obama kutuma askari zaidi nchini Syria eti kupambana na ugaidi

    Apr 26, 2016 08:21

    Rais Barack Obama wa Marekani ametangaza kuwa serikali ya Washington karibuni hivi itatuma askari 250 wa nchi kavu kwenda Syria kwa kisingizio cha kupambana na makundi ya kigaidi.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS