Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikosi vya ulinzi

  • Rais al-Assad wa Syria na mkewe wazitembelea familia za mashahidi wa vita

    Rais al-Assad wa Syria na mkewe wazitembelea familia za mashahidi wa vita

    Jul 22, 2018 03:26

    Rais Bashar al-Assad wa Syria pamoja na mke wake wametembelea familia za mashahidi na majeruhi wa vita wanaoishi katika kambi ya Abenau Nasr, katika kijiji cha al-Zainat cha mji wa Masyaf, magharibi mwa nchi hiyo.

  • Iran yajiimarisha kijeshi, yaahidi kutoa jibu kali kwa maadui

    Iran yajiimarisha kijeshi, yaahidi kutoa jibu kali kwa maadui

    Apr 11, 2018 07:27

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Amir Hatami amesema nchi hii inaendelea kuimarisha uwezo wake wa kujihami na kwamba iko tayari kutoa jibu kali kwa maadui iwapo watachukua hatua zozote za uhasama.

  • Iraq: Saudia ilikuwa inawaruhusu magaidi kuingai nchini mwetu kuchafua usalama

    Iraq: Saudia ilikuwa inawaruhusu magaidi kuingai nchini mwetu kuchafua usalama

    Feb 11, 2018 04:40

    Wizara ya Ulinzi ya Iraq imetoa taarifa ikisema kuwa, utawala wa Aal-Saud nchini Saudia kuanzia mwaka 2004 hadi 2016, ilipuuza suala la kuwazuia magaidi wa Kiwahabi na wakufurishaji kuingia katika ardhi ya Iraq na kuchafua usalama.

  • Mabadiliko makubwa katika safu ya uongozi wa vikosi vya ulinzi vya Niger

    Mabadiliko makubwa katika safu ya uongozi wa vikosi vya ulinzi vya Niger

    Jan 21, 2018 03:08

    Rais wa Niger amefanya mabadiliko makubwa katika safu ya uongozi wa vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo kwa shabaha ya kuimarisha vita dhidi ya ugaidi na kupambana na wanamgambo wenye misimamo ya kufurutu ada.

  • Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ataka kuongezewa muda vikosi vya nchi hiyo vilivyoko nje ya nchi

    Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ataka kuongezewa muda vikosi vya nchi hiyo vilivyoko nje ya nchi

    Dec 18, 2017 04:42

    Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ameomba kuongezewa muda wa mwaka mmoja vikosi vya nchi hiyo vilivyopo Afghanistan, Iraq na Mali.

  • Kiongozi Muadhamu: Kuimarishwa vikosi vya jeshi kunalinda taifa

    Kiongozi Muadhamu: Kuimarishwa vikosi vya jeshi kunalinda taifa

    Dec 03, 2017 15:30

    Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia uhasama usiokoma wa maadui dhidi ya taifa la Iran na Mfumo wa Kiislamu hapa nchini na kusema kuwa, kukabiliana na mahasimu hao kunahitajia kuimarishwa zaidi uwezo wa jeshi la taifa.

  • Kiongozi Muadhamu: Hujuma ya Marekani Syria ni kosa la kistratijia

    Kiongozi Muadhamu: Hujuma ya Marekani Syria ni kosa la kistratijia

    Apr 09, 2017 16:42

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria hujuma ya hivi karibuni ya Marekani nchini Syria na kusema: "Ni jambo linalotarajiwa kwa Marekani kutenda jinai na kukiuka mambo na kudhulumu na imewahi kuyafanya hayo katika maeneo mengine duniani."

  • Dehqan: Juhudi za Israel za kuunda muungano dhidi ya Iran zitafeli

    Dehqan: Juhudi za Israel za kuunda muungano dhidi ya Iran zitafeli

    Feb 22, 2017 04:06

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema juhudi za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuunda muungano dhidi ya Iran hazitafua dafu.

  • Iran yaapa kuendelea kuimarisha uwezo wake wa kujihami

    Iran yaapa kuendelea kuimarisha uwezo wake wa kujihami

    Jul 20, 2016 03:58

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Hossein Dehqan amesema Jamhuri ya Kiislamu imeazimia kuimarisha uwezo wake wa kujihami na kuzuia maadui.

  • Zaidi ya magaidi 80 wauawa Sinai, Misri

    Zaidi ya magaidi 80 wauawa Sinai, Misri

    May 26, 2016 04:27

    Jeshi la Misri limetangaza kuwa, limefanikiwa kuua magaidi wasiopungua 85 katika kipindi cha siku nne zilizopita kwenye maeneo ya Sheikh Zuweid na Rafah, katika rasi ya Sinai ya kaskazini mwa nchi hiyo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS