-
Kutekelezwa vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia
Oct 28, 2017 23:38Serikali ya Marekani imechapisha orodha ya makampuni ya Russia iliyoyawekea vikwazo baada ya kuchapisha sheria mpya ya vikwazo dhidi ya Russia. Katika uwanja huo Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imechapisha orodha inayobainsha sheria hiyo ya vikwazo kuhusu Iran, Korea ya kaskazini na Russia na kutangaza kuyawekea vikwazo makampuni 39 ya kiulinzi na kiitelijinsia ya Russia.
-
Misri: Kuna ulazima wa kutekeleza matakwa yaliyowasilishwa kwa Qatar
Sep 19, 2017 03:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa nchi nne zilizoiwekea vikwazo Qatar ziko tayari kutatua mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Gholamali Khoshroo: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinakiuka makubaliano ya JCPOA
Sep 14, 2017 22:57Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesaema kuwa, vikwazo vya aina yoyote vinakiuka msingi wa diplomasia na mazungumzo na haviwezi kusaidia chochote katika kupeleka mambo mbele.
-
Baraza la Usalama UN lapasisha vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini
Sep 11, 2017 23:21Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa kauli moja vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini baada ya nchi hiyo kufanya jaribio lake la sita la bomu la nyuklia wiki iliyopita.
-
Korea Kaskazini: Tutaizidishia mateso na machungu Marekani, ikiendelea kutufuatilia
Sep 11, 2017 03:50Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Marekani itaendeleza njama zake ili kuongeza vikwazo dhidi yake katika Umoja wa Mataifa, basi Pyongyang itaizidishia Washington machungu na taabu.
-
New York Times: Marekani ndio itapata pigo kubwa ikiwa itajiondoa katika JCPOA
Sep 09, 2017 12:00Gazeti la New York Times sambamba na kuvitaja kuwa vichekesho visingizio vinavyotolewa na Marekani ili kutaka kujiondoa katika mkataba wa makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina ya Iran na kundi la 5+1 yanayofahamika kama JCPOA, limeionya Washington kuwa itapata hasara kubwa endapo itachukua hatua hiyo.
-
Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi Canada yasusia Israel
Sep 05, 2017 23:11Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi katika sekta binafsi nchini Canada imetangaza rasmi kujiunga na 'Harakati ya Ulimwengu ya Ususiaji wa Israel' maarufu kwa jina la BDS.
-
Somalia yakataa "rushwa" ya Saudia, yagoma kujiunga na nchi zinazoisusia Qatar
Aug 30, 2017 22:23Rais wa Somalia amekataa pendekezo la kupewa Euro milioni 68 lililotolewa na utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia mkabala wa kujiunga na muungano wa nchi zilizokata uhusiano wao na kuisusia Qatar.
-
Nchi za Ulaya zaendelea kupinga vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia
Aug 10, 2017 23:59Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Sigmar Gabriel amesema kuhusu vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia kwamba, hatua mpya za Marekani za kutaka kuibana zaidi Russia zinaweza kusababisha matatizo katika umoja wa nchi za Magharibi kuhusu mgogoro wa Ukraine.
-
Kutekelezwa vikwazo mpya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia
Aug 06, 2017 23:14Umoja wa Ulaya umeanza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Russia kuhusiana na mzozo wa peninsula ya Crimea.