Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Indhari na hatua mpya kuhusu vita vya ushuru vya Trump

    Indhari na hatua mpya kuhusu vita vya ushuru vya Trump

    Apr 27, 2025 02:26

    Indhari na radiamali mpya zimetolewa ndani ya Marekani na kimataifa kutokana na kuendelea vita vya ushuru vya Rais Donald Trump na madai yake katika uwanja huo.

  • Sudan imeingia mwaka wa tatu wa vita; wachezaji wa kikanda wana nafasi gani?

    Sudan imeingia mwaka wa tatu wa vita; wachezaji wa kikanda wana nafasi gani?

    Apr 18, 2025 02:33

    Wakati vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan vikiingia katika mwaka wake wa tatu, mapigano, kuhama makazi na njaa vimeifanya nchi hiyo kuwa moja ya nchi zilizotumbukia kwenye mgogoro mkubwa zaidi duniani.

  • Kiwewe cha Trump kwa hatua za China: Juhudi za Beijing za kuunda muungano dhidi ya Washington

    Kiwewe cha Trump kwa hatua za China: Juhudi za Beijing za kuunda muungano dhidi ya Washington

    Apr 17, 2025 02:28

    Rais wa Marekani Donald Trump ameshindwa kuficha kiwewe chake kwa kusema kuwa ziara ya Rais Xi Jinping wa China nchini Vietnam inalenga kuiharibia jina Marekani, huku kukiwa na ongezeko la vita vya ushuru kati ya Washington na Beijing.

  • Vita vya ushuru kati ya Marekani na China: Beijing kukabiliana na ubabe wa Washington

    Vita vya ushuru kati ya Marekani na China: Beijing kukabiliana na ubabe wa Washington

    Apr 13, 2025 02:18

    Rais Xi Jin Ping wa China amesisitiza katika mazungumzo na Pedro Sanchez, Waziri Mku wa Uhispania ulazima wa kuimarisha ushirikiano kati ya China na Umoja wa Ulaya ili kukabiliana na hatua za upande moja za Marekani.

  • UN yaonya tena: Sudan Kusini inakaribia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe

    UN yaonya tena: Sudan Kusini inakaribia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe

    Mar 26, 2025 02:41

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa Sudan Kusini iko kwenye ukingo wa vita vya wenyewe kwa wenyewe huku ghasia kati ya pande zinazohasimiana zikiongezeka.

  • Kwa nini Marekani inataka kuwekeza katika sekta ya madini nchini Kongo DR?

    Kwa nini Marekani inataka kuwekeza katika sekta ya madini nchini Kongo DR?

    Mar 12, 2025 12:32

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Marekani zinapanga kushirikiana katika mapatano ya kiuchumi na kisiasa.

  • Mahakama ya Kijeshi ya DRC yatoa hati ya kukamatwa Corneille Nangaa

    Mahakama ya Kijeshi ya DRC yatoa hati ya kukamatwa Corneille Nangaa

    Feb 06, 2025 11:17

    Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Corneille Nangaa, mkuu wa makundi ya waasi wa mashariki mwa nchi hiyo, ikimtuhumu kwa kushindwa kuzuia vitendo vya utesaji chini ya mamlaka yake.

  • Makumi ya wafanyakazi wa UNRWA wameuawa katika vita vya Gaza

    Makumi ya wafanyakazi wa UNRWA wameuawa katika vita vya Gaza

    Dec 31, 2024 12:43

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina UNRWA limetangaza kuwa, wafanyakazi 258 wa shirika hilo wameuawa katika Ukanda wa Gaza tangu kuanza kwa vita hivyo mwaka jana (2023).

  • Sisitizo la Trump la kuanza duru mpya ya vita vya ushuru katika kipindi cha pili cha urais

    Sisitizo la Trump la kuanza duru mpya ya vita vya ushuru katika kipindi cha pili cha urais

    Nov 28, 2024 02:51

    Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa katika siku yake ya kwanza akiwa Ikulu ya White House, atatoa agizo la kutozwa ushuru mpya bidhaa zote zinazoagizwa kutoka Mexico, Canada na China.

  • Baqaei: Mashinikizo haramu ya Marekani dhidi ya watu wa Iran yameendelea hadi leo

    Baqaei: Mashinikizo haramu ya Marekani dhidi ya watu wa Iran yameendelea hadi leo

    Nov 03, 2024 12:53

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani sera na mienendo ya kindumakuwili ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS