Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Tehran yasema 'vita halisi vya kikanda' na Israel vinaendelea, yapuuza mazungumzo na Marekani

    Tehran yasema 'vita halisi vya kikanda' na Israel vinaendelea, yapuuza mazungumzo na Marekani

    Nov 04, 2025 11:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema kwamba eneo la Magharibi mwa Asia kwa sasa limo katika na "vita halisi" na utawala wa Israel, akisisitiza kwamba hali ya eneo hilo iimekwenda mbali zaidi ya vitisho tu.

  • Madai yasiyo na msingi ya Trump ya eti ushindi wa Marekani katika vita vyote; ni kujisahaulisha matukio ya Afghanistan na Iraq?

    Madai yasiyo na msingi ya Trump ya eti ushindi wa Marekani katika vita vyote; ni kujisahaulisha matukio ya Afghanistan na Iraq?

    Oct 31, 2025 03:13

    Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kwamba nchi hiyo itashinda kama itaingia vitani na nchi yoyote.

  • Je, upo uwezekano wa kutokea vita kati ya Uturuki na utawala wa Kizayuni?

    Je, upo uwezekano wa kutokea vita kati ya Uturuki na utawala wa Kizayuni?

    Sep 20, 2025 09:49

    Mashambulizi ya utawala wa Israel dhidi ya Qatar yamezidisha mivutano kati ya Uturuki na Israel na kuibua uwezekano wa kutokea makabiliano ya moja kwa moja kati ya Ankara na Tel Aviv.

  • Trump dhidi ya Modi: Ni nini matokeo ya kuanza rasmi vita vya ushuru vya Marekani dhidi ya India?

    Trump dhidi ya Modi: Ni nini matokeo ya kuanza rasmi vita vya ushuru vya Marekani dhidi ya India?

    Aug 28, 2025 10:46

    Marekani imeanza kutekeleza ushuru wa asilimia 50 kwa bidhaa zinazoingizwa nchini humo kutoka India.

  • Nchi zinazoibukia kiuchumi zimejibu vipi vita vya ushuru vya Trump?

    Nchi zinazoibukia kiuchumi zimejibu vipi vita vya ushuru vya Trump?

    Aug 09, 2025 11:29

    Mataifa matatu yanayoinukia kiuchumi, Brazil, India na Uchina, yamejibu vikali hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ya kupandisha ushuru wa forodha kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.

  • Vipi gharama za kijeshi zimeusukuma uchumi wa Israel katika ukingo wa shimo?

    Vipi gharama za kijeshi zimeusukuma uchumi wa Israel katika ukingo wa shimo?

    Aug 05, 2025 02:28

    Viashiria vya ukuaji wa uchumi wa utawala wa kizayuni wa Israel vinapungua, na inatarajiwa kwamba athari mbaya za vita vinavyoendelea vya Gaza na vita vya siku 12 dhidi ya Iran vitazidi kuwa na taathira hasi kwa mwenendo wa kiuchumi wa Israel katika nusu ya pili ya mwaka huu.

  • Kwa nini serikali ya Sudan inachukulia uundaji wa serikali hasimu kuwa tishio kubwa?

    Kwa nini serikali ya Sudan inachukulia uundaji wa serikali hasimu kuwa tishio kubwa?

    Jul 29, 2025 10:56

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Sudan imelaani vikali tangazo la kuundwa serikali hasimu na Vikosi vya Msaada wa Haraka vinavyoongozwa na "Mohammed Hamdan Dagalo", anayejulikana kwa jina la "Hemedti".

  • Indhari na hatua mpya kuhusu vita vya ushuru vya Trump

    Indhari na hatua mpya kuhusu vita vya ushuru vya Trump

    Apr 27, 2025 02:26

    Indhari na radiamali mpya zimetolewa ndani ya Marekani na kimataifa kutokana na kuendelea vita vya ushuru vya Rais Donald Trump na madai yake katika uwanja huo.

  • Sudan imeingia mwaka wa tatu wa vita; wachezaji wa kikanda wana nafasi gani?

    Sudan imeingia mwaka wa tatu wa vita; wachezaji wa kikanda wana nafasi gani?

    Apr 18, 2025 02:33

    Wakati vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan vikiingia katika mwaka wake wa tatu, mapigano, kuhama makazi na njaa vimeifanya nchi hiyo kuwa moja ya nchi zilizotumbukia kwenye mgogoro mkubwa zaidi duniani.

  • Kiwewe cha Trump kwa hatua za China: Juhudi za Beijing za kuunda muungano dhidi ya Washington

    Kiwewe cha Trump kwa hatua za China: Juhudi za Beijing za kuunda muungano dhidi ya Washington

    Apr 17, 2025 02:28

    Rais wa Marekani Donald Trump ameshindwa kuficha kiwewe chake kwa kusema kuwa ziara ya Rais Xi Jinping wa China nchini Vietnam inalenga kuiharibia jina Marekani, huku kukiwa na ongezeko la vita vya ushuru kati ya Washington na Beijing.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS