Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waasi

  • Watu 30 wauawa katika shambulio la wanamgambo nchini Nigeria

    Watu 30 wauawa katika shambulio la wanamgambo nchini Nigeria

    Aug 10, 2024 12:54

    Kwa akali watu 30 wameuawa katika jimbo la Benue nchini Nigeria baada ya kundi la wanamgambo kufanya mashambulio dhidi ya kijiji cha Ayati.

  • Waasi wa Kituareg watangaza kudhibiti kambi nyingine ya jeshi la Mali

    Waasi wa Kituareg watangaza kudhibiti kambi nyingine ya jeshi la Mali

    Oct 05, 2023 07:53

    Wapiganaji wa Kituareg huko kaskazini mwa Mali wametangaza kuwa wameteka kambi nyingine ya jeshi la nchi hiyo na kufanya idadi ya kambi walizotwaa katika wiki kadhaa zilizopita kufikia tano.

  • Kenya kupeleka vikosi maalumu pwani na kaskazini kukabiliana na ukosefu wa usalama

    Kenya kupeleka vikosi maalumu pwani na kaskazini kukabiliana na ukosefu wa usalama

    Sep 21, 2023 02:35

    Serikali ya Kenya inapanga kupeleka vikosi maalumu katika maeneo ya kaskazini na pwani ili kukabiliana na tishio la ugaidi kufuatia ongezeko la mashambulizi ya kigaidi katika maeneo hayo.

  • Makundi ya waasi yanajiondoa katika mazungumzo ya amani ya Chad huko Doha, Qatar

    Makundi ya waasi yanajiondoa katika mazungumzo ya amani ya Chad huko Doha, Qatar

    Jul 18, 2022 02:29

    Makundi kadhaa ya waasi wa Chad na vyama vya kisiasa vya upinzani vimejiondoa katika mazungumzo ya amani na serikali ya kijeshi ya taifa hilo la katikati mwa Afrika, vikiishutumu serikali kuwa inataka kuvuruga juhudi za amani.

  • Watu zaidi ya 100 wauawa katika shambulio la waasi Burkina Faso

    Watu zaidi ya 100 wauawa katika shambulio la waasi Burkina Faso

    Jun 14, 2022 08:04

    Serikali ya Burkina Faso imetangaza kuwa watu wasiopungua 50 wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha katika kijiji kimoja kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Zaidi ya watu 6,000 wakimbia makazi yao nchini Gambia kutokana na mzozo wa Casamance, Senegal

    Zaidi ya watu 6,000 wakimbia makazi yao nchini Gambia kutokana na mzozo wa Casamance, Senegal

    Mar 21, 2022 06:42

    Mamlaka ya Gambia imetangazai kwamba imehesabu zaidi ya watu 6,000 waliokimbia ghasia za wiki moja iliyopita kati ya jeshi na waasi wenye silaha katika eneo la Casamance kusini mwa nchi jirani ya Senegal.

  • DRC: Jeshi la Uganda ladai kutwaa moja ya kambi kuu za ADF + SAUTI

    DRC: Jeshi la Uganda ladai kutwaa moja ya kambi kuu za ADF + SAUTI

    Dec 29, 2021 12:13

    Jeshi la Uganda linasema limefanikiwa kudhibiti kambi kubwa ya waasi wa ADF, inayofahamika kama Kambi Ya Yua iliyokuwa inawahifadhi waasi zaidi ya 600 na familia zao, katika operesheni zao inazoshirikiana na wenzao wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wakazi wa Addis Ababa watakiwa kuulinda mji huo baada ya waasi wa Tigray kusonga mbele

    Wakazi wa Addis Ababa watakiwa kuulinda mji huo baada ya waasi wa Tigray kusonga mbele

    Nov 03, 2021 03:32

    Mamlaka za mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa zimetoa wito kwa wakaazi wa mji huo kujiandaa kutetea vitongoji vyao baada ya vikosi vya waasi kutoka eneo la Tigray, ambao wamekuwa wakipigana na serikali kuu kwa mwaka mmoja sasa, kuashiria kwamba huenda wakasonga mbele kuelekea kwenye mji huo.

  • 7 wauawa baada ya waasi kushambulia kambi za jeshi CAR

    7 wauawa baada ya waasi kushambulia kambi za jeshi CAR

    Jul 01, 2021 07:38

    Watu wasiopungua saba wameuawa katika msururu wa mashambulio ya genge moja la waasi mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Mazungumzo ya amani yaanza baina ya serikali ya Sudan na waasi wa SPLM huko Juba

    Mazungumzo ya amani yaanza baina ya serikali ya Sudan na waasi wa SPLM huko Juba

    May 27, 2021 02:21

    Mazungumzo ya amani baina ya serikali ya Sudan na Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Sudan tawi la Kaskazini (SPLM) yalianza jana katika mji wa Juba chini ya usimamizi wa Rais ya serikali ya Sudan Kusini, Salva Kiir Mayardit.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS