Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waasi

  • Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wafanya mashambulio mashariki mwa DRC na kuua watu 7

    Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wafanya mashambulio mashariki mwa DRC na kuua watu 7

    Mar 05, 2018 04:02

    Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wamefanya tena mashambulio katika eneo moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuua watu saba.

  • Msemaji wa waasi wa Sudan Kusini ahukumiwa kifo

    Msemaji wa waasi wa Sudan Kusini ahukumiwa kifo

    Feb 13, 2018 08:10

    Msemaji wa waasi nchini Sudan Kusini, James Gatdet Dak amehukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia ya uhaini.

  • Waasi 148 wajisalimisha kwa serikali nchini Ethiopia

    Waasi 148 wajisalimisha kwa serikali nchini Ethiopia

    Jan 22, 2018 04:38

    Serikali ya Ethiopia imetangaza habari ya kujisalimisha waasi 148 kwa vikosi vya usalama vya nchi hiyo.

  • Congo Brazaville yasaini muafaka wa amani na kundi la waasi la 'Ninja'

    Congo Brazaville yasaini muafaka wa amani na kundi la waasi la 'Ninja'

    Dec 24, 2017 07:58

    Serikali ya Jamhuri ya Congo imesaini makubaliano ya amani na kundi la waasi la 'Ninja' na hivyo kutamatisha mgogoro wa karibu miaka 15 ambao umesababisha makumi ya watu kuuawa na makumi ya maelfu ya wengine kuwa wakimbizi.

  • Mbunge wa Kivu Kaskazini atahadharisha kuhusu vitisho vya waasi wa ADF-Nalu wa Uganda

    Mbunge wa Kivu Kaskazini atahadharisha kuhusu vitisho vya waasi wa ADF-Nalu wa Uganda

    Dec 11, 2017 08:08

    Juvenal Munubo, mwakilishi wa Kivu Kaskazini katika Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ametahadharisha kuhusiana na vitisho vya waasi wa ADF-Nalu wa Uganda wanaoendesha harakati zao mashariki mwa DRC.

  • Waasi wateka nyara na kuua makumi ya wasafiri Kongo DR

    Waasi wateka nyara na kuua makumi ya wasafiri Kongo DR

    Oct 08, 2017 14:25

    Makumi ya wasafiri wanahofiwa kuuawa baada ya kutekwa nyara na kundi moja la waasi kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Jeshi la Sudan Kusini lateka ngome kuu ya waasi ya Pagak

    Jeshi la Sudan Kusini lateka ngome kuu ya waasi ya Pagak

    Aug 07, 2017 16:33

    Jeshi la serikali ya Sudan Kusini limefanikiwa kutwaa ngome kikuu ya waasi katika eneo la Pagak lililoko karibu na mpaka wa nchi hiyo na Ethiopia.

  • Serikali ya Mali yaanza mazungumzo na waasi

    Serikali ya Mali yaanza mazungumzo na waasi

    Jun 25, 2017 03:44

    Serikali ya Mali imetangaza kuwa, mazungumzo ya amani kati yake na makundi ya waasi yaliyokwama mwaka 2015 yameanza tena .

  • Mahakama ya Kongo DR yaanza kuchunguza faili la mauaji ya wataalamu wa UN

    Mahakama ya Kongo DR yaanza kuchunguza faili la mauaji ya wataalamu wa UN

    Jun 06, 2017 08:08

    Mahakama moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeanza kuchunguza faili la mauaji ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa yaliyojiri katika mkoa wa Kasai nchini humo.

  • Sudan yaituhumu Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi

    Sudan yaituhumu Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi

    May 24, 2017 07:51

    Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir ameituhumu serikali ya Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi yanayoipiga vita serikali ya Khartoum.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS