Msemaji wa waasi nchini Sudan Kusini, James Gatdet Dak amehukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia ya uhaini.
Serikali ya Ethiopia imetangaza habari ya kujisalimisha waasi 148 kwa vikosi vya usalama vya nchi hiyo.
Serikali ya Jamhuri ya Congo imesaini makubaliano ya amani na kundi la waasi la 'Ninja' na hivyo kutamatisha mgogoro wa karibu miaka 15 ambao umesababisha makumi ya watu kuuawa na makumi ya maelfu ya wengine kuwa wakimbizi.
Juvenal Munubo, mwakilishi wa Kivu Kaskazini katika Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ametahadharisha kuhusiana na vitisho vya waasi wa ADF-Nalu wa Uganda wanaoendesha harakati zao mashariki mwa DRC.
Makumi ya wasafiri wanahofiwa kuuawa baada ya kutekwa nyara na kundi moja la waasi kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Jeshi la serikali ya Sudan Kusini limefanikiwa kutwaa ngome kikuu ya waasi katika eneo la Pagak lililoko karibu na mpaka wa nchi hiyo na Ethiopia.
Serikali ya Mali imetangaza kuwa, mazungumzo ya amani kati yake na makundi ya waasi yaliyokwama mwaka 2015 yameanza tena .
Mahakama moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeanza kuchunguza faili la mauaji ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa yaliyojiri katika mkoa wa Kasai nchini humo.
Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir ameituhumu serikali ya Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi yanayoipiga vita serikali ya Khartoum.
Umoja wa Afrika umetoa wito wa msaada wa kijeshi wa kimataifa kukabiliana na waasi wa Kikrsito wa LRA kutoka Uganda walio katika misitu ya Jamhuri ya Afrika ya Kati wakiongozwa na Joseph Kony.