Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waasi

  • AU yataka msaada wa kimataifa kukabiliana na waasi wa Kikristo wa LRA

    AU yataka msaada wa kimataifa kukabiliana na waasi wa Kikristo wa LRA

    May 21, 2017 03:33

    Umoja wa Afrika umetoa wito wa msaada wa kijeshi wa kimataifa kukabiliana na waasi wa Kikrsito wa LRA kutoka Uganda walio katika misitu ya Jamhuri ya Afrika ya Kati wakiongozwa na Joseph Kony.

  • Kuendelea vurugu na mivutano nchini Ivory Coast

    Kuendelea vurugu na mivutano nchini Ivory Coast

    May 16, 2017 12:51

    Sambamba na kuendelea mapigano na vitisho vya wanajeshi waasi katika miji kadhaa nchini Ivory Coast, shughuli za benki, shule na vituo vya biashara zimesitishwa katika miji kadhaa ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Wimbi la mauaji laendelea Sudan Kusini, 14 wauawa

    Wimbi la mauaji laendelea Sudan Kusini, 14 wauawa

    Apr 16, 2017 07:14

    Kwa akali watu 14 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mapigano mapya baina ya wanajeshi wa serikali na waasi katika mji wa Raga nchini Sudan Kusini.

  • Watu 16 wauwa katika mapigano nchini Sudan Kusini

    Watu 16 wauwa katika mapigano nchini Sudan Kusini

    Apr 11, 2017 16:35

    Kwa akali watu 16 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mapigano baina ya wanajeshi wa serikali na waasi nchini Sudan Kusini.

  • Sudan Kusini: Marekani inachochea machafuko kwa kuwafadhili waasi nchini mwetu

    Sudan Kusini: Marekani inachochea machafuko kwa kuwafadhili waasi nchini mwetu

    Mar 16, 2017 14:34

    Serikali ya Juba imeituhumu Marekani kuwa inachochea machafuko na mapigano nchini humo, kwa kuyaunga mkono na kuyafadhili magenge ya waasi.

  • Serikali ya Sudan Kusini yataka Machar atambuliwe kama gaidi

    Serikali ya Sudan Kusini yataka Machar atambuliwe kama gaidi

    Mar 14, 2017 14:57

    Serikali ya Sudan Kusini imezitaka nchi za eneo kumtambua Riek Machar, aliyekuwa makamu wa rais wa nchi hiyo kama gaidi, baada ya askari watiifu kwa kiongozi huyo kuwateka nyara wafanyakazi wawili wa kigeni, na kuitisha kikomboleo ili wawaachie huru.

  • Waasi Sudan wawaachia huru wafungwa 127

    Waasi Sudan wawaachia huru wafungwa 127

    Mar 06, 2017 04:00

    Waasi wanaopigana dhidi ya serikali katika maeneo ya kusini mwa Sudan wamewaachia huru mateka 127 huku jeshi la nchi hiyo likikaribisha hatua hiyo.

  • Waziri ajiuzulu Sudan Kusini, ajiunga na kundi la waasi

    Waziri ajiuzulu Sudan Kusini, ajiunga na kundi la waasi

    Feb 17, 2017 14:35

    Waziri wa Leba wa Sudan Kusini ametangaza kujiuzulu na kusema kuwa sasa ataunga mkono harakati zinazofanywa na waasi wanaomuunga mkono Riek Machar, Makamu wa Rais wa zamani wa nchi hiyo.

  • UN: 100 wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi DRC

    UN: 100 wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi DRC

    Feb 14, 2017 14:39

    Umoja wa Mataifa umesema jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeua makumi ya watu katika makabiliano na kundi la waasi kati ya Februari 9 na 13.

  • Wasiwasi watanda mji mkuu wa Côte d’Ivoire kutokana na tishio la askari waasi

    Wasiwasi watanda mji mkuu wa Côte d’Ivoire kutokana na tishio la askari waasi

    Jan 28, 2017 13:57

    Uasi wa askari katika mji mkuu wa Côte d’Ivoire, Yamoussoukro umewafanya wakazi wa mji huo kupatwa na wasi wasi mkubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS