-
Sudan yaituhumu Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi
May 24, 2017 03:21Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir ameituhumu serikali ya Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi yanayoipiga vita serikali ya Khartoum.
-
AU yataka msaada wa kimataifa kukabiliana na waasi wa Kikristo wa LRA
May 20, 2017 23:03Umoja wa Afrika umetoa wito wa msaada wa kijeshi wa kimataifa kukabiliana na waasi wa Kikrsito wa LRA kutoka Uganda walio katika misitu ya Jamhuri ya Afrika ya Kati wakiongozwa na Joseph Kony.
-
Kuendelea vurugu na mivutano nchini Ivory Coast
May 16, 2017 08:21Sambamba na kuendelea mapigano na vitisho vya wanajeshi waasi katika miji kadhaa nchini Ivory Coast, shughuli za benki, shule na vituo vya biashara zimesitishwa katika miji kadhaa ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Wimbi la mauaji laendelea Sudan Kusini, 14 wauawa
Apr 16, 2017 02:44Kwa akali watu 14 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mapigano mapya baina ya wanajeshi wa serikali na waasi katika mji wa Raga nchini Sudan Kusini.
-
Watu 16 wauwa katika mapigano nchini Sudan Kusini
Apr 11, 2017 12:05Kwa akali watu 16 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mapigano baina ya wanajeshi wa serikali na waasi nchini Sudan Kusini.
-
Sudan Kusini: Marekani inachochea machafuko kwa kuwafadhili waasi nchini mwetu
Mar 16, 2017 11:04Serikali ya Juba imeituhumu Marekani kuwa inachochea machafuko na mapigano nchini humo, kwa kuyaunga mkono na kuyafadhili magenge ya waasi.
-
Serikali ya Sudan Kusini yataka Machar atambuliwe kama gaidi
Mar 14, 2017 11:27Serikali ya Sudan Kusini imezitaka nchi za eneo kumtambua Riek Machar, aliyekuwa makamu wa rais wa nchi hiyo kama gaidi, baada ya askari watiifu kwa kiongozi huyo kuwateka nyara wafanyakazi wawili wa kigeni, na kuitisha kikomboleo ili wawaachie huru.
-
Waasi Sudan wawaachia huru wafungwa 127
Mar 06, 2017 00:30Waasi wanaopigana dhidi ya serikali katika maeneo ya kusini mwa Sudan wamewaachia huru mateka 127 huku jeshi la nchi hiyo likikaribisha hatua hiyo.
-
Waziri ajiuzulu Sudan Kusini, ajiunga na kundi la waasi
Feb 17, 2017 11:05Waziri wa Leba wa Sudan Kusini ametangaza kujiuzulu na kusema kuwa sasa ataunga mkono harakati zinazofanywa na waasi wanaomuunga mkono Riek Machar, Makamu wa Rais wa zamani wa nchi hiyo.
-
UN: 100 wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi DRC
Feb 14, 2017 11:09Umoja wa Mataifa umesema jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeua makumi ya watu katika makabiliano na kundi la waasi kati ya Februari 9 na 13.