Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waasi

  • Waasi wa Uganda washambulia kijiji kaskazini mwa Kongo DR, wateka nyara raia

    Waasi wa Uganda washambulia kijiji kaskazini mwa Kongo DR, wateka nyara raia

    Jan 21, 2017 04:37

    Waasi wa Uganda wameshambulia wakazi wa kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuteka nyara wakazi kadhaa wa kijiji hicho.

  • Waasi wa zamani wa Machi 23 waingia mashariki mwa Congo

    Waasi wa zamani wa Machi 23 waingia mashariki mwa Congo

    Jan 16, 2017 06:11

    Maafisa wa serikali ya Jamhuri ya Kidemkorasia ya Congo wamesema kuwa waasi wa zamani wa kundi la Machi 23 wameingia mashariki mwa nchi hiyo.

  • Congo DR yataka kufukuzwa waasi wa Rwanda, Sudan Kusini katika ardhi ya nchi hiyo

    Congo DR yataka kufukuzwa waasi wa Rwanda, Sudan Kusini katika ardhi ya nchi hiyo

    Jan 13, 2017 02:58

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeutaka Umoja wa Mataifa kutayarisha mazingira ya kuwaondoa waasi wa Rwanda na Sudan Kusini katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Askari waasi wa Côte d’Ivoire wamuachilia huru Waziri wa Ulinzi

    Askari waasi wa Côte d’Ivoire wamuachilia huru Waziri wa Ulinzi

    Jan 08, 2017 08:06

    Askari waasi wa Côte d’Ivoire wamemuachilia huru Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo leo asubuhi, baada ya kumshikilia kwa masaa machache katika makazi yake.

  • Kundi la Niger Delta latangaza rasmi vita na serikali ya Nigeria

    Kundi la Niger Delta latangaza rasmi vita na serikali ya Nigeria

    Jan 07, 2017 15:56

    Kundi la waasi wa Niger Delta kusini mwa Nigeria limetangaza vita na serikali ya nchi hiyo kufuatia kushindwa mazungumzo ya pande mbili.

  • Ahadi ya Rais wa Nigeria ya kurejesha amani na usalama wa nchi

    Ahadi ya Rais wa Nigeria ya kurejesha amani na usalama wa nchi

    Jan 02, 2017 07:06

    Katika hali ambayo, Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema katika ujumbe wake kwa mnasaba wa mwaka mpya wa 2017 kwamba, ameazimia kuchukua hatua za kurejesha usalama na uthabiti wa nchi hiyo na wa kieneo, kwa mara nyingine tena kundi la kigaidi la Boko Haram limetishia kutekeleza operesheni za kigaidi katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Upinzani Gambia: Jammeh atageuka na kuwa kiongozi wa waasi nchini

    Upinzani Gambia: Jammeh atageuka na kuwa kiongozi wa waasi nchini

    Dec 19, 2016 07:38

    Upinzani nchini Gambia umemtahadharisha Yahya Jammeh, rais wa nchi hiyo aliyekataa matokeo ya uchaguzi mkuu wa hivi karibuni kuwa yumkini akageuka na kuwa kiongozi wa waasi akiendelea kung'ang'ania madaraka.

  • Kamanda wa LRA ya Uganda kizimbani ICC; akanusha mashitaka

    Kamanda wa LRA ya Uganda kizimbani ICC; akanusha mashitaka

    Dec 06, 2016 15:46

    Kamanda wa zamani wa kundi la waasi wa kaskazini mwa Uganda wa Lord's Resistance Army (LRA) amekanusha mashtaka dhidi yake mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Wanamgambo Somalia wawachinja wazee wa vijiji wa Kisuni

    Wanamgambo Somalia wawachinja wazee wa vijiji wa Kisuni

    Nov 30, 2016 16:26

    Wazee wanane wa vijiji vya eneo la Galmudug nchini Somalia wameuawa kwa kukatwa vichwa na kundi moja la wanamgambo eti kwa kukataa kulipa kodi.

  • Watu 30 wauawa na waasi mashariki mwa Kongo DR

    Watu 30 wauawa na waasi mashariki mwa Kongo DR

    Nov 27, 2016 15:46

    Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mapigano kati ya makundi mawili ya waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS