Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waasi

  • Nchi jirani na Kongo DR zatuhumiwa kukiuka makubaliano ya Addis Ababa

    Nchi jirani na Kongo DR zatuhumiwa kukiuka makubaliano ya Addis Ababa

    Nov 11, 2016 15:50

    Kamati ya Utekelezaji Makubaliano ya Addis Ababa imezituhumu nchi jirani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa zimekiuka makubaliano hayo kwa kuwapa hifadhi waasi wa zamani wa nchini humo.

  • Waasi wa FLEC wadai kuua askari 18 wa jeshi la Angola

    Waasi wa FLEC wadai kuua askari 18 wa jeshi la Angola

    Oct 01, 2016 07:58

    Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola (FLEC) wamedai kwamba wameua askari 18 wa nchi hiyo.

  • Vijiji vinne vyakombolewa kaskazini mashariki mwa Kongo DR

    Vijiji vinne vyakombolewa kaskazini mashariki mwa Kongo DR

    Sep 18, 2016 07:16

    Duru za kijeshi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimearifu kukombolewa vijiji vinne kaskazini mashariki mwa nchi hiyo vilivyokuwa vimetekwa na waasi.

  • Waasi wa Mai Mai waafiki kusitisha mashambulizi Kongo

    Waasi wa Mai Mai waafiki kusitisha mashambulizi Kongo

    Sep 11, 2016 04:33

    Duru za kuaminika nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo zimearifu kuwa baadhi ya waasi wa kundi la Mai-Mai wamekubali kusitisha mashambulizi ikatika eneo la Masisi mkoani Kivu ya Kaskazini.

  • Wanajeshi 12 wa Angola wauawa na waasi wa Cabinda

    Wanajeshi 12 wa Angola wauawa na waasi wa Cabinda

    Sep 07, 2016 13:14

    Waasi wa kundi la FLEC linalopigania kujitenga eneo la Cabinda huko Angola wamedai kuwa wameua wanajeshi wa serikali wasiopungua 12 katika eneo tajiri kwa mafuta kusini mwa nchi hiyo.

  • Mapigano kati ya waasi na vikosi vya jeshi huko Walikale Kongo DR

    Mapigano kati ya waasi na vikosi vya jeshi huko Walikale Kongo DR

    Sep 06, 2016 07:46

    Watu wawili wameuawa kwenye mapigano kati ya waasi na vikosi vya jeshi la Kongo katika eneo la Walikale nchini humo.

  • Kongo yawatuhumu waasi sita kwa kuua raia

    Kongo yawatuhumu waasi sita kwa kuua raia

    Aug 21, 2016 03:58

    Mahakama ya kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imewatuhumu wanachama sita wa kundi la waasi wa Uganda kwa kushiriki katika mauaji wiki iliyopita, ambapo makumi ya raia waliuliwa mashariki mwa Kongo.

  • Makumi ya waasi wa ADF wakamatwa mashariki mwa Kongo

    Makumi ya waasi wa ADF wakamatwa mashariki mwa Kongo

    Aug 19, 2016 16:04

    Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa makumi ya waasi wa Uganda wamekamatwa mashariki mwa Kongo.

  • Watu 5 wauawa katika mapigano Mali, askari 5 watoweka

    Watu 5 wauawa katika mapigano Mali, askari 5 watoweka

    Aug 10, 2016 03:38

    Kwa akali watu watano wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mapigano makali yaliyojiri kati kati ya Mali, huku duru za kiusalama zikiarifu kuwa askari watano wa serikali wametoweka baada ya kujiri mapigano hayo.

  • Makabiliano kati ya jeshi na wabeba silaha Nigeria yaua 19

    Makabiliano kati ya jeshi na wabeba silaha Nigeria yaua 19

    Aug 07, 2016 13:13

    Watu 19 wameuawa katika makabiliano makali kati ya askari wa jeshi la serikali na kundi la wabeba silaha katika jimbo la Niger nchini Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS