-
Nchi jirani na Kongo DR zatuhumiwa kukiuka makubaliano ya Addis Ababa
Nov 11, 2016 15:50Kamati ya Utekelezaji Makubaliano ya Addis Ababa imezituhumu nchi jirani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa zimekiuka makubaliano hayo kwa kuwapa hifadhi waasi wa zamani wa nchini humo.
-
Waasi wa FLEC wadai kuua askari 18 wa jeshi la Angola
Oct 01, 2016 07:58Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola (FLEC) wamedai kwamba wameua askari 18 wa nchi hiyo.
-
Vijiji vinne vyakombolewa kaskazini mashariki mwa Kongo DR
Sep 18, 2016 07:16Duru za kijeshi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimearifu kukombolewa vijiji vinne kaskazini mashariki mwa nchi hiyo vilivyokuwa vimetekwa na waasi.
-
Waasi wa Mai Mai waafiki kusitisha mashambulizi Kongo
Sep 11, 2016 04:33Duru za kuaminika nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo zimearifu kuwa baadhi ya waasi wa kundi la Mai-Mai wamekubali kusitisha mashambulizi ikatika eneo la Masisi mkoani Kivu ya Kaskazini.
-
Wanajeshi 12 wa Angola wauawa na waasi wa Cabinda
Sep 07, 2016 13:14Waasi wa kundi la FLEC linalopigania kujitenga eneo la Cabinda huko Angola wamedai kuwa wameua wanajeshi wa serikali wasiopungua 12 katika eneo tajiri kwa mafuta kusini mwa nchi hiyo.
-
Mapigano kati ya waasi na vikosi vya jeshi huko Walikale Kongo DR
Sep 06, 2016 07:46Watu wawili wameuawa kwenye mapigano kati ya waasi na vikosi vya jeshi la Kongo katika eneo la Walikale nchini humo.
-
Kongo yawatuhumu waasi sita kwa kuua raia
Aug 21, 2016 03:58Mahakama ya kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imewatuhumu wanachama sita wa kundi la waasi wa Uganda kwa kushiriki katika mauaji wiki iliyopita, ambapo makumi ya raia waliuliwa mashariki mwa Kongo.
-
Makumi ya waasi wa ADF wakamatwa mashariki mwa Kongo
Aug 19, 2016 16:04Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa makumi ya waasi wa Uganda wamekamatwa mashariki mwa Kongo.
-
Watu 5 wauawa katika mapigano Mali, askari 5 watoweka
Aug 10, 2016 03:38Kwa akali watu watano wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mapigano makali yaliyojiri kati kati ya Mali, huku duru za kiusalama zikiarifu kuwa askari watano wa serikali wametoweka baada ya kujiri mapigano hayo.
-
Makabiliano kati ya jeshi na wabeba silaha Nigeria yaua 19
Aug 07, 2016 13:13Watu 19 wameuawa katika makabiliano makali kati ya askari wa jeshi la serikali na kundi la wabeba silaha katika jimbo la Niger nchini Nigeria.