Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waasi

  • Uganda yaahidi kuisaidia DRC kupambana na waasi wa ADF

    Uganda yaahidi kuisaidia DRC kupambana na waasi wa ADF

    Aug 05, 2016 04:52

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameahidi kuwa serikali yake itaisaidia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kukabiliana na kundi la waasi la ADF-Nalu ambalo limekuwa tishio la muda mrefu la nchi mbili hizo jirani.

  • Waasi wa FLEC wadai kuua askari 17 wa jeshi la Angola

    Waasi wa FLEC wadai kuua askari 17 wa jeshi la Angola

    Aug 02, 2016 07:57

    Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola FLEC wamedai kwamba wameua askari 17 wa nchi hiyo katika makabiliano makali yaliyojiri mwishoni mwa wiki iliyomalizika.

  • Waasi wa Uganda washambulia Beni mashariki mwa Kongo, waua watu kadhaa

    Waasi wa Uganda washambulia Beni mashariki mwa Kongo, waua watu kadhaa

    Jul 31, 2016 16:18

    Waasi wa Uganda wameshambulia eneo la Beni huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuua watu kadhaa na kuwajeruhi wengine.

  • Kuongezeka mgawanyiko wa kisiasa Sudan Kusini

    Kuongezeka mgawanyiko wa kisiasa Sudan Kusini

    Jul 25, 2016 11:18

    Mgawanyiko wa kisaisa umeshadidi huko Sudan Kusini kufuatia Riek Machar kiongozi wa waasi wa nchi hiyo kumfukuza Taban Deng Gai kwa upande mmoja; na matamshi ya kiwanagenzi ya Deng Gai na sisitizo lake la kusalia katika nafasi yake kwa upande wa pili.

  • Mapigano mengine yaibuka mashariki mwa Congo kati ya jeshi na waasi wa Mai-Mai

    Mapigano mengine yaibuka mashariki mwa Congo kati ya jeshi na waasi wa Mai-Mai

    Jul 23, 2016 04:14

    Mapigano mapya yameripotiwa kutokea kati ya waasi wa Mai-Mai na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • 39 wauawa na kujeruhiwa katika hujuma dhidi ya kambi ya jeshi Mali

    39 wauawa na kujeruhiwa katika hujuma dhidi ya kambi ya jeshi Mali

    Jul 20, 2016 07:31

    Askari 12 wa jeshi la Mali wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa na waasi mapema jana katikati mwa nchi hiyo ya Magharibi mwa Afrika.

  •  MONUSCO: Uganda na Congo zishirikiane kuwamaliza waasi

    MONUSCO: Uganda na Congo zishirikiane kuwamaliza waasi

    Jul 19, 2016 07:40

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (MONUSCO) umetoa wito wa kufanyika mashambulizi ya pamoja ya nchi za Uganda na Congo dhidi ya waasi The Allied Democratic Forces (ADF) wanaodhaniwa kufanya mauaji ya raia huko mashariki mwa Congo.

  • Kuanza utekelezaji wa mpango wa kuwapokonya silaha waasi DRC

    Kuanza utekelezaji wa mpango wa kuwapokonya silaha waasi DRC

    Jul 18, 2016 08:10

    Mpango wa kuwapokonya silaha waasi walioko katika mkoa wa Ituri huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umeanza kutekelezwa.

  • Waasi wa ADF waua watu 9 kaskazini mwa Kongo DR

    Waasi wa ADF waua watu 9 kaskazini mwa Kongo DR

    Jul 06, 2016 04:31

    Watu 9 wameuawa na kundi la waasi wa ADF-Nalu wa Uganda kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Silaha za waasi zanaswa kusini mashariki mwa Kongo DR

    Silaha za waasi zanaswa kusini mashariki mwa Kongo DR

    Jul 03, 2016 13:26

    Duru za kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasa ya Kongo zimearifu habari ya kukamatwa idadi kadhaa ya silaha zilizokuwa zikimilikiwa na waasi huko kusini mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS