-
Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu
Jul 01, 2016 07:56Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kundi la waasi la ADF-Nalu, linaloendeleza harakati zake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndilo limehusika na mauaji ya hivi karibuni ya viongozi na wasomi wa Kiislamu nchini Uganda.
-
Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini
Jun 29, 2016 13:23Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la mapigano kati ya askari wa jeshi la serikali na waasi katika mji wa Wau nchini Sudan Kusini.
-
Waasi wa Uganda waendelea kufanya uhalifu CAR
Jun 17, 2016 08:23Mkuu wa mkoa wa mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati ametangaza kuwa waasi wa kundi la Lord's Resistance Army (LRA) kutoka Uganda wameteka nyara watu 17 na kuwapeleka kusikojulikana.
-
Uganda kuondoa askari wake wanaowasaka waasi wa LRA, nchini CAR
Jun 11, 2016 04:18Uganda imesema karibuni hivi itawaondoa askari wake wanaoongoza katika operesheni ya kuwasaka waasi wa Lord's Resistance Army (LRA) katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Kuendelea hali tete Burundi licha ya makataa yaliyotolewa na Nkurunziza
Jun 03, 2016 14:46Hali imeendelea kuwa tete nchini Burundi licha ya Rais Pierre Nkurunzinza kutoa muda maalumu kwa kundi la wapinzani wa serikali, wa kuachana na upinzani wao.
-
Usalama warejea kikamilifu kaskazini mwa Uganda
May 28, 2016 16:02Kamanda mmoja wa jeshi la Uganda amesema kuwa, hali ya usalama imesharejea kaskazini mwa nchi hiyo, na ndio maana sheria ya hali ya hatari imeondolewa.
-
Waasi kadhaa watiwa mbaroni mashariki mwa DRC
May 21, 2016 15:57Afisa mmoja mwandanamizi wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza habari ya kutiwa mbaroni waasi kadhaa wa kundi la Mai Mai, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Jeshi la DRC laanzisha operesheni mpya dhidi ya waasi wa Uganda
May 15, 2016 06:45Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeanzisha opereseheni mpya ya kijeshi dhidi ya waasi wa Uganda, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Rais Paul Kagame akanusha nchi yake kuwasaidia waasi wa Burundi
May 14, 2016 06:44Rais Paul Kagame wa Rwanda amekanusha nchi yake kuwasaidia waasi wa Burundi kama ilivyokuja katika ripoti ya siri iliyowasilishwa kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Machafuko mashariki mwa DRC kikwazo kwa misaada ya maelfu ya watu
Apr 25, 2016 04:04Ofisi ya uratibu wa misaada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, hali mbaya na machafuko huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni kikwazo kikuu cha kuwafikishia misaada ya kibinadamu wahitaji.