Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waasi

  • Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu

    Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu

    Jul 01, 2016 07:56

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kundi la waasi la ADF-Nalu, linaloendeleza harakati zake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndilo limehusika na mauaji ya hivi karibuni ya viongozi na wasomi wa Kiislamu nchini Uganda.

  • Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini

    Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini

    Jun 29, 2016 13:23

    Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la mapigano kati ya askari wa jeshi la serikali na waasi katika mji wa Wau nchini Sudan Kusini.

  • Waasi wa Uganda waendelea kufanya uhalifu CAR

    Waasi wa Uganda waendelea kufanya uhalifu CAR

    Jun 17, 2016 08:23

    Mkuu wa mkoa wa mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati ametangaza kuwa waasi wa kundi la Lord's Resistance Army (LRA) kutoka Uganda wameteka nyara watu 17 na kuwapeleka kusikojulikana.

  • Uganda kuondoa askari wake wanaowasaka waasi wa LRA, nchini CAR

    Uganda kuondoa askari wake wanaowasaka waasi wa LRA, nchini CAR

    Jun 11, 2016 04:18

    Uganda imesema karibuni hivi itawaondoa askari wake wanaoongoza katika operesheni ya kuwasaka waasi wa Lord's Resistance Army (LRA) katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Kuendelea hali tete Burundi licha ya makataa yaliyotolewa na Nkurunziza

    Kuendelea hali tete Burundi licha ya makataa yaliyotolewa na Nkurunziza

    Jun 03, 2016 14:46

    Hali imeendelea kuwa tete nchini Burundi licha ya Rais Pierre Nkurunzinza kutoa muda maalumu kwa kundi la wapinzani wa serikali, wa kuachana na upinzani wao.

  • Usalama warejea kikamilifu kaskazini mwa Uganda

    Usalama warejea kikamilifu kaskazini mwa Uganda

    May 28, 2016 16:02

    Kamanda mmoja wa jeshi la Uganda amesema kuwa, hali ya usalama imesharejea kaskazini mwa nchi hiyo, na ndio maana sheria ya hali ya hatari imeondolewa.

  • Waasi kadhaa watiwa mbaroni mashariki mwa DRC

    Waasi kadhaa watiwa mbaroni mashariki mwa DRC

    May 21, 2016 15:57

    Afisa mmoja mwandanamizi wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza habari ya kutiwa mbaroni waasi kadhaa wa kundi la Mai Mai, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la DRC laanzisha operesheni mpya dhidi ya waasi wa Uganda

    Jeshi la DRC laanzisha operesheni mpya dhidi ya waasi wa Uganda

    May 15, 2016 06:45

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeanzisha opereseheni mpya ya kijeshi dhidi ya waasi wa Uganda, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Rais Paul Kagame akanusha nchi yake kuwasaidia waasi wa Burundi

    Rais Paul Kagame akanusha nchi yake kuwasaidia waasi wa Burundi

    May 14, 2016 06:44

    Rais Paul Kagame wa Rwanda amekanusha nchi yake kuwasaidia waasi wa Burundi kama ilivyokuja katika ripoti ya siri iliyowasilishwa kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Machafuko mashariki mwa DRC kikwazo kwa misaada ya maelfu ya watu

    Machafuko mashariki mwa DRC kikwazo kwa misaada ya maelfu ya watu

    Apr 25, 2016 04:04

    Ofisi ya uratibu wa misaada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, hali mbaya na machafuko huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni kikwazo kikuu cha kuwafikishia misaada ya kibinadamu wahitaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS