Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wafungwa

  • Wapinzani wanaozuiliwa Saudia waanza mgomo wa kula

    Wapinzani wanaozuiliwa Saudia waanza mgomo wa kula

    Feb 19, 2019 12:15

    Shirika la kutetea haki za wafungwa la Prisoners of Conscience limetangaza kuwa, idadi kubwa ya wapinzani wanaozuiliwa katika jela za kuogofya za Saudi Arabia wameanza mgomo wa kula, kulalamikia hali ngumu na mateso wanayopitia wakiwa kizuizini.

  • Watoto 30 wanaoshikiliwa na utawala wa Bahrain wadhuriwa na chakula kilichoharibika

    Watoto 30 wanaoshikiliwa na utawala wa Bahrain wadhuriwa na chakula kilichoharibika

    Oct 18, 2018 04:24

    Duru za habari nchini Bahrain zimeripoti kwamba utawala wa Aal-Khalifa umewapa chakula kilichoharibika watoto 30 unaowashikilia katika jela huku wasimamizi wake wakikataa kuwapeleka hospitali kwa ajili ya kuwapatia matibabu.

  • Israel yaazimia kuwabana zaidi wafungwa wa Kipalestina

    Israel yaazimia kuwabana zaidi wafungwa wa Kipalestina

    Oct 12, 2018 04:12

    Utawala wa Kizayuni wa Israel unatazamiwa kushadidisha mateso na kuwawekea mbinyo zaidi wafungwa wa Kipalestina unaowazuilia katika jela zake za kuogofya.

  • Wafungwa wazusha ghasia Sudan Kusini, waiba silaha

    Wafungwa wazusha ghasia Sudan Kusini, waiba silaha

    Oct 07, 2018 04:13

    Hali ya taharuki imetanda katika mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba, baada ya mamia ya wafungwa katika gereza moja kuvunja ghala la silaha na kukabiliana na walinzi.

  • 'Saudia inawashikilia wanaharakati 2,500 wa upinzani'

    'Saudia inawashikilia wanaharakati 2,500 wa upinzani'

    Sep 16, 2018 21:51

    Shirika la kutetea haki za wafungwa la Prisoners of Conscience limesema kuwa, watawala wa Saudi Arabia wanawazuilia wanaharakati zaidi ya 2,500 wa upinzani, wakiwemo wanazuoni wa Kiislamu na waandishi wa habari.

  • Sisitizo la Jumuiya ya al-Wifaq juu ya kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa, Bahrain

    Sisitizo la Jumuiya ya al-Wifaq juu ya kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa, Bahrain

    Aug 19, 2018 23:24

    Kuendelea siasa za utawala wa kidikteta wa Aal-Khalifa hususan katika kuwashikilia jela wanaharakati wa kisiasa na viongozi wa mwamko wa wananchi, kumeibua malalamiko makubwa miongoni mwa raia wa Bahrain.

  • Amnesty International yamjia juu Rais Magufuli kwa kuwadhalilisha wafungwa wa Tanzania

    Amnesty International yamjia juu Rais Magufuli kwa kuwadhalilisha wafungwa wa Tanzania

    Jul 17, 2018 03:01

    Shirikisha la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutaka wafungwa nchini humo kufanyishwa kazi usiku na mchana na kupigwa mijeledi wakiwa wavivu.

  • Ethiopia kuwasamehe mamia ya watu waliohukumiwa kwa makosa ya ugaidi

    Ethiopia kuwasamehe mamia ya watu waliohukumiwa kwa makosa ya ugaidi

    Jun 15, 2018 23:34

    Serikali ya Ethiopia imesema kuwa itawafutia mashtaka zaidi ya wafungwa 304 wakiwemo 289 wanaotumikia vifungo vya makosa ya ugaidi.

  • Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na muamala mbaya dhidi ya wafungwa nchini Libya

    Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na muamala mbaya dhidi ya wafungwa nchini Libya

    Apr 11, 2018 08:16

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makundi yanayobeba silaha nchini Libya yanawatesa na kuwaua wafungwa wanaoshikiliwa kwenye jela ambazo kidhahiri ziko chini ya udhibiti wa serikali ya nchi hiyo.

  • Sudan yawaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa

    Sudan yawaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa

    Feb 19, 2018 04:24

    Serikali ya Sudan imewaachilia huru wafungwa wote wa kisiasa kufuatia msamaha uliotolewa na Rais wa nchi hiyo Omar Hassan al-Bashir.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS