Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Ghasia dhidi ya wahamiaji Afrika Kusini zatarajiwa leo

    Ghasia dhidi ya wahamiaji Afrika Kusini zatarajiwa leo

    Jun 30, 2026 03:42

    Afrika Kusini inakabiliwa na mtihani mkubwa wa kiusalama baada ya magenge ya wahalifu kuapa kuwatimu raia wa kigeni nchini humo kuanzia leo.

  • Afrika Kusini yaapa kukabiliana vikali na ukatili dhidi ya wahamiaji

    Afrika Kusini yaapa kukabiliana vikali na ukatili dhidi ya wahamiaji

    Jun 26, 2026 11:10

    Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ameapa kukabiliana na jaribio lolote la kuyumbisha taifa wakati wa maandamano yaliyopangwa kufanywa wiki ijayo dhidi ya wahamiaji, huku wimbi la chuki dhidi ya wageni lizidi kuongezeka nchini humo.

  • Serikali ya Afrika Kusini yasema imewarejesha nyumbani wageni 2,745 ndani ya wiki moja

    Serikali ya Afrika Kusini yasema imewarejesha nyumbani wageni 2,745 ndani ya wiki moja

    Jun 15, 2026 12:20

    Afrika Kusini imewarejesha nyumbani wageni 2,745 katika wiki moja baada ya Rais Cyril Ramaphosa kuapa kuchukua hatua kali dhidi ya uhamiaji haramu.

  • Kundi la kwanza la Waghana lawasili Accra baada ya kurejeshwa kutoka Afrika Kusini

    Kundi la kwanza la Waghana lawasili Accra baada ya kurejeshwa kutoka Afrika Kusini

    May 28, 2026 11:55

    Kundi la kwanza la karibu Waghana 300 waliorudishwa kutoka Afrika Kusini kutokana na hujuma za kupinga wahamiaji, liliwasili Accra jana Jumatano.

  • Ghana kuwarejesha nyumbani mamia ya raia walioko Afrika Kusini

    Ghana kuwarejesha nyumbani mamia ya raia walioko Afrika Kusini

    May 13, 2026 12:05

    Ghana imetangaza kwamba imeanzisha mchakato wa kuwahamisha takriban raia wake 300 kutoka Afrika Kusini kufuatia wimbi la maandamano dhidi ya wageni.

  • Katika mwaka 2025, wahamiaji wapatao elfu nane wamefariki au kutoweka duniani kote

    Katika mwaka 2025, wahamiaji wapatao elfu nane wamefariki au kutoweka duniani kote

    Feb 27, 2026 05:41

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa watu wasiopungua 7,667 walifariki au kutoweka katika njia za uhamiaji duniani kote katika mwaka uliopita wa 2025, na kuonya kwamba idadi halisi ya watu hao huenda ikawa kubwa zaidi huku likiitaja hasara hiyo ya upoteaji wa roho za watu inayoendelea kushuhudiwa kuwa "kufeli kimataifa."

  • Watu 53 wahofiwa kufa maji baada ya boti kuzama pwani ya Libya

    Watu 53 wahofiwa kufa maji baada ya boti kuzama pwani ya Libya

    Feb 09, 2026 07:47

    Watu wasiopungua 53 wakiwemo watoto wawili wadogo wameripotiwa kwamba, ama wamekufa maji au kutoweka, baada ya boti dhaifu ya plastiki iliyokuwa imebeba makumi ya wahajiri kuzama karibu na pwani ya Libya.

  • Wahamiaji 50 wahofiwa kufa maji katika ajali ya boti pwani ya Tunisia

    Wahamiaji 50 wahofiwa kufa maji katika ajali ya boti pwani ya Tunisia

    Jan 26, 2026 06:42

    Serikali ya Tunisia imesema kuwa, takriban wahamiaji 50 aghalabu yao kutoka Kusini mwa Jangwa la Sahara barani Afrika wanahofiwa kufariki dunia baada ya mashua yao kupinduka katika pwani ya Tunisia.

  • Serikali ya Tripoli yapinga kupelekwa Libya wahamiaji kutoka Marekani

    Serikali ya Tripoli yapinga kupelekwa Libya wahamiaji kutoka Marekani

    May 08, 2025 03:36

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imepinga vikali mpango wowote wa kupokea wahamiaji haramu waliofukuzwa kutoka Marekani.

  • Libya yawaachia huru wahamiaji 82 waliokuwa wametekwa na wahalifu

    Libya yawaachia huru wahamiaji 82 waliokuwa wametekwa na wahalifu

    Mar 26, 2025 07:40

    Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kuwaachilia huru wahamiaji 82 waliokuwa wakishikiliwa mateka na kundi la wahalifu likidai kikomboleo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS