Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • Serikali ya Tripoli yapinga kupelekwa Libya wahamiaji kutoka Marekani

    Serikali ya Tripoli yapinga kupelekwa Libya wahamiaji kutoka Marekani

    May 08, 2025 07:06

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imepinga vikali mpango wowote wa kupokea wahamiaji haramu waliofukuzwa kutoka Marekani.

  • Libya yawaachia huru wahamiaji 82 waliokuwa wametekwa na wahalifu

    Libya yawaachia huru wahamiaji 82 waliokuwa wametekwa na wahalifu

    Mar 26, 2025 11:10

    Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kuwaachilia huru wahamiaji 82 waliokuwa wakishikiliwa mateka na kundi la wahalifu likidai kikomboleo.

  • Maandamano ya Kwanza Dhidi ya Sera za Trump huko Washington

    Maandamano ya Kwanza Dhidi ya Sera za Trump huko Washington

    Jan 21, 2025 14:28

    Wakati ambapo Donald Trump, rais mteule wa Marekani, ameapishwa rasmi Jumatatu, tarehe 20 Januari, maandamano dhidi ya sera zake tayari yameanza. Katika muktadha huu, maelfu ya Wamarekani, wengi wao wakiwa wanawake, wamekusanyika katika mitaa ya Washington kuandamana dhidi ya sera za Trump.

  • Tanzania yaithibitishia WHO kuwa mgonjwa mmoja wa Marburg amegunduliwa nchini humo

    Tanzania yaithibitishia WHO kuwa mgonjwa mmoja wa Marburg amegunduliwa nchini humo

    Jan 21, 2025 09:37

    Mtu mmoja ambaye alikuwa akiugua ugonjwa wa Marburg amegunduliwa nchini Tanzania.

  • Binti mhajiri Msierra Leone wa miaka 11 aokolewa baada ya kusalia baharini kwa siku 3

    Binti mhajiri Msierra Leone wa miaka 11 aokolewa baada ya kusalia baharini kwa siku 3

    Dec 12, 2024 04:35

    Msichana mwenye umri wa miaka 11 kutoka Sierra Leone ameokolewa majani baada ya kusalia baharini kwa siku tatu. Binti huyo ndiyepeke yake ameenusurika katika ajali ya boti kwenye kisiwa cha Lampedusa nchini Italia.

  • Rais wa Senegal aapa kukabiliana na magendo ya binadamu

    Rais wa Senegal aapa kukabiliana na magendo ya binadamu

    Sep 13, 2024 03:05

    Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye amesema kuwa serikali yake itafanya kila liwezekanalo kukabiliana na safari hatarishi za wahamiaji baada ya mkasa wa karibuni kuua makumi ya watu.

  • Wizara: Watoto wanabakwa katika kambi za wahajiri Marekani

    Wizara: Watoto wanabakwa katika kambi za wahajiri Marekani

    Jul 20, 2024 06:10

    Imebainika kuwa, maelfu ya watoto wahajiri wamebakwa na kufanyiwa unyanyasaji na udhalilishaji wa kingono katika kambi na vituo vya 'kuwahifadhi' wahamiaji haramu nchini Marekani.

  • Wahajiri 40 wahofiwa kufa maji wakielekea Italia

    Wahajiri 40 wahofiwa kufa maji wakielekea Italia

    Jan 17, 2024 07:40

    Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha wakiwa katika safari ya baharini wakielekea Italia.

  • Kuendelea hitilafu katika Umoja wa Ulaya kuhusu wahamiaji

    Kuendelea hitilafu katika Umoja wa Ulaya kuhusu wahamiaji

    Oct 08, 2023 02:27

    Hitilafu kuhusu kadhia ya wahamiaji miongoni mwa nchi za Umoja wa Ulaya zingali zinaendelea licha ya makubaliano ya hivi karibuni kuhusu suala hilo.

  • IOM: Idadi ya wahamiaji wanawake wa Kiafrika kwenda nchi za Ghuba ya Uajemi yaongezeka

    IOM: Idadi ya wahamiaji wanawake wa Kiafrika kwenda nchi za Ghuba ya Uajemi yaongezeka

    Aug 30, 2023 02:27

    Idadi ya wahajiri wa kike kutoka nchi za eneo la Pembe ya Afrika kuelekea nchi za Ghuba ya Uajemi imeripotiwa kuongezeka kwa kasi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS