-
Watu 53 wahofiwa kufa maji baada ya boti kuzama pwani ya Libya
Feb 09, 2026 11:17Watu wasiopungua 53 wakiwemo watoto wawili wadogo wameripotiwa kwamba, ama wamekufa maji au kutoweka, baada ya boti dhaifu ya plastiki iliyokuwa imebeba makumi ya wahajiri kuzama karibu na pwani ya Libya.
-
Wahamiaji 50 wahofiwa kufa maji katika ajali ya boti pwani ya Tunisia
Jan 26, 2026 10:12Serikali ya Tunisia imesema kuwa, takriban wahamiaji 50 aghalabu yao kutoka Kusini mwa Jangwa la Sahara barani Afrika wanahofiwa kufariki dunia baada ya mashua yao kupinduka katika pwani ya Tunisia.
-
Serikali ya Tripoli yapinga kupelekwa Libya wahamiaji kutoka Marekani
May 08, 2025 07:06Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya imepinga vikali mpango wowote wa kupokea wahamiaji haramu waliofukuzwa kutoka Marekani.
-
Libya yawaachia huru wahamiaji 82 waliokuwa wametekwa na wahalifu
Mar 26, 2025 11:10Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kuwaachilia huru wahamiaji 82 waliokuwa wakishikiliwa mateka na kundi la wahalifu likidai kikomboleo.
-
Maandamano ya Kwanza Dhidi ya Sera za Trump huko Washington
Jan 21, 2025 14:28Wakati ambapo Donald Trump, rais mteule wa Marekani, ameapishwa rasmi Jumatatu, tarehe 20 Januari, maandamano dhidi ya sera zake tayari yameanza. Katika muktadha huu, maelfu ya Wamarekani, wengi wao wakiwa wanawake, wamekusanyika katika mitaa ya Washington kuandamana dhidi ya sera za Trump.
-
Tanzania yaithibitishia WHO kuwa mgonjwa mmoja wa Marburg amegunduliwa nchini humo
Jan 21, 2025 09:37Mtu mmoja ambaye alikuwa akiugua ugonjwa wa Marburg amegunduliwa nchini Tanzania.
-
Binti mhajiri Msierra Leone wa miaka 11 aokolewa baada ya kusalia baharini kwa siku 3
Dec 12, 2024 04:35Msichana mwenye umri wa miaka 11 kutoka Sierra Leone ameokolewa majani baada ya kusalia baharini kwa siku tatu. Binti huyo ndiyepeke yake ameenusurika katika ajali ya boti kwenye kisiwa cha Lampedusa nchini Italia.
-
Rais wa Senegal aapa kukabiliana na magendo ya binadamu
Sep 13, 2024 03:05Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye amesema kuwa serikali yake itafanya kila liwezekanalo kukabiliana na safari hatarishi za wahamiaji baada ya mkasa wa karibuni kuua makumi ya watu.
-
Wizara: Watoto wanabakwa katika kambi za wahajiri Marekani
Jul 20, 2024 06:10Imebainika kuwa, maelfu ya watoto wahajiri wamebakwa na kufanyiwa unyanyasaji na udhalilishaji wa kingono katika kambi na vituo vya 'kuwahifadhi' wahamiaji haramu nchini Marekani.
-
Wahajiri 40 wahofiwa kufa maji wakielekea Italia
Jan 17, 2024 07:40Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha wakiwa katika safari ya baharini wakielekea Italia.