Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Mashia Nigeria: Hujuma dhidi yetu ni mwangwi wa Uwahabi nchini

    Mashia Nigeria: Hujuma dhidi yetu ni mwangwi wa Uwahabi nchini

    Nov 04, 2016 12:20

    Waislamu wa madhehebu ya Shia huko Nigeria wamekosoa vikali ukandamizaji unaofanywa dhidi yao na vyombo vya usalama nchini humo na kusisitiza kuwa, dhulma hizo zimetokana na fikra za Kiwahabi.

  • Al Azhar yakosoa vikali wimbi la kutolewa fatwa bila ya sababu za maana

    Al Azhar yakosoa vikali wimbi la kutolewa fatwa bila ya sababu za maana

    Oct 30, 2016 00:24

    Mkuu wa Kitengo cha Utafiti wa Kiislamu cha Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al Azhar cha nchini Misri amesem akuwa, hivi sasa dini tukufu ya Kiislamu imekumbwa na mashambulizi ya kila upande ya maadui na yote hayo yanatokana upotoshaji wa watu unaofanywa na baadhi ya makundi yenye welewa potofu kuhusu Uislamu.

  • Bakwata: Watanzania kunufaika na bidhaa zenye nembo

    Bakwata: Watanzania kunufaika na bidhaa zenye nembo "Halal"

    Oct 25, 2016 04:40

    Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limesema kila Mtanzania karibuni hivi atanufaika na bidhaa zenye nembo ya Halal, ambapo wapo mbioni kuijumuisha nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwenye orodha ya nchi 33 ambazo zinatumia bidhaa halali za vyakula na vinywaji.

  • Ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki za kidini dhidi ya Waislamu nchini Marekani

    Ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki za kidini dhidi ya Waislamu nchini Marekani

    Oct 24, 2016 02:48

    Ripoti mpya iliyotolewa inaonyesha kuwa, uhalifu unaotokana na chuki dhidi ya Waislamu umeongezeka kwa kiwango kikubwa nchini Marekani.

  • Kuongezeka pakubwa mashambulizi dhidi ya Misikiti na Waislamu nchini Ujerumani

    Kuongezeka pakubwa mashambulizi dhidi ya Misikiti na Waislamu nchini Ujerumani

    Oct 23, 2016 11:38

    Ripoti mpya iliyotolewa hivi karibuni inaonyesha kuongezeka kwa kiasi kikubwa mashambulizi dhidi ya Waislamu na misikiti huko Ujerumani.

  • Uhalifu unaotokana na chuki dhidi ya Waislamu waongezeka kwa asilimia 90 nchini Marekani

    Uhalifu unaotokana na chuki dhidi ya Waislamu waongezeka kwa asilimia 90 nchini Marekani

    Oct 23, 2016 04:34

    Ripoti mpya iliyotolewa inaonyesha kuwa, uhalifu unaotokna na chuki dhidi ya Waislamu umeongezeka kwa takribani asilimia 90 nchini Marekani.

  • Harakati ya Kiislamu Nigeria kotini kupinga marufuku dhidi yake

    Harakati ya Kiislamu Nigeria kotini kupinga marufuku dhidi yake

    Oct 21, 2016 10:31

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeelekea mahakamani kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa serikali kupiga marufuku shughuli za harakati hiyo katika jimbo la Kaduna.

  • Serikali ya Myanmar yazuia misaada kufikishwa kwa Waislamu wa nchi hiyo

    Serikali ya Myanmar yazuia misaada kufikishwa kwa Waislamu wa nchi hiyo

    Oct 20, 2016 04:19

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa serikali ya Myanmar imezuia misaada ya chakula kufikishwa kwa Waislamu wa Kabila la Rohingya wanaoishi katika jimbo la Rakhine kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Kuendelea mateso dhidi ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar

    Kuendelea mateso dhidi ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar

    Oct 15, 2016 23:08

    Shambulio la hivi karibuni la watu wasiofahamika katika kituo cha ulinzi wa mpakani kati ya Myanmar na Bangladesh kimekuwa kisingizio tosha kwa jeshi na Mabudha wenye misimamo mikali huko Myanmar cha kuwashambulia tena Waislamu wa Rohingya katika mkoa wa Rakhine.

  • UN: Ushindi wa Trump katika uchaguzi wa rais Marekani ni hatari kubwa

    UN: Ushindi wa Trump katika uchaguzi wa rais Marekani ni hatari kubwa

    Oct 12, 2016 12:24

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, iwapo Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican atashinda katika uchaguzi ujao wa rais nchini Marekani, jambo hilo litakuwa hatari kubwa kwa dunia nzima.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS