Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Wanazuoni Bahrain wakosoa ukandamizaji dhidi ya Mashia wanaomboleza

    Wanazuoni Bahrain wakosoa ukandamizaji dhidi ya Mashia wanaomboleza

    Oct 04, 2016 04:29

    Wanazuoni wakuu wa Kiislamu nchini Bahrain wamelaani ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na watawala wa Aal-Khalifa dhidi ya Waislamu wa madhehenu ya Shia hususan wakati huu wanapofanya marasimu mbali mbali ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS, mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW.

  • Maadui wazidi kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani

    Maadui wazidi kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani

    Oct 03, 2016 03:59

    Magenge yenye misimamo ya kuchupa mipaka ya nchini Ujerumani yameendelea kuonesha chuki zao dhidi ya Waislamu kwa kutupa kichwa cha nguruwe nje ya msikiti wa mji wa Potsdam, makao makuu ya mkoa wa Brandenburg, nchini Ujerumani.

  • Bulgaria yapiga marufuku vazi la burqa kote nchini

    Bulgaria yapiga marufuku vazi la burqa kote nchini

    Oct 01, 2016 04:31

    Sasa ni rasmi kuwa Bulgaria imejiunga na baadhi ya nchi za Magharibi zilizopiga marufuku vazi la burqa, baada ya bunge la nchi hiyo kupasisha sheria inayopiga marufuku vazi hilo linalovaliwa na wanawake Waislamu nchini kote.

  • Muwahhabi aliyebomoa turathi za Kiislamu Mali afungwa miaka tisa jela

    Muwahhabi aliyebomoa turathi za Kiislamu Mali afungwa miaka tisa jela

    Sep 27, 2016 23:09

    Muwahhabi mwenye misimamo mikali, Ahmed Al-Faqi Al-Mahdi amepatikana na hatia ya uhalifu wa kivita na kuhukumiwa miaka 9 jela katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Malaysia yataka kupatiwa ufumbuzi matatizo ya Waislamu wa Rohingya

    Malaysia yataka kupatiwa ufumbuzi matatizo ya Waislamu wa Rohingya

    Sep 25, 2016 00:45

    Ahmad Zahid Hamidi Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia ametaka kutekelezwa mpango kamili na jumuishi wa kuyapatia ufumbuzi matatizo yanayowakabili Waislamu wa Rohingya; ambao wamelazimika kuhama Myanmar na kuwa wakimbizi kutokana na mashinikizo ya Mabudha wenye misimamo mikali wa nchi hiyo.

  • Seneta nchini Australia akoloslewa kwa matamshi yake dhidi ya Waislamu

    Seneta nchini Australia akoloslewa kwa matamshi yake dhidi ya Waislamu

    Sep 17, 2016 23:18

    Seneta Pauline Hanson wa Australia amekosolewa kwa matamshi yake yaliyojaa chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.

  • Waislamu Afrika Kusini wavunjiwa heshima

    Waislamu Afrika Kusini wavunjiwa heshima

    Sep 16, 2016 09:56

    Wananchi wa mji wa Tshwane nchini Afrika Kusini wamebainisha hasira zao baada ya kupatikana maandishi ukutani yenye kuwavunjia heshima Waislamu.

  • Waislamu Nigeria waandamana wakitaka Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Waislamu Nigeria waandamana wakitaka Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Sep 15, 2016 11:27

    Waislamu nchini Nigeria kwa mara nyingine tena wameandamana wakitaka kuachiwa huru haraka iwezekanavyo Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Msikiti wateketezwa  moto na wenye chuki dhidi ya Uislamu Marekani

    Msikiti wateketezwa moto na wenye chuki dhidi ya Uislamu Marekani

    Sep 13, 2016 03:12

    Kituo cha Kiislamu katika jimbo la Florida Marekani kimeteketezwa moto na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu.

  • Viongozi wa Waislamu Kenya walaani wanawake magaidi waliokuwa wamevaa buibui

    Viongozi wa Waislamu Kenya walaani wanawake magaidi waliokuwa wamevaa buibui

    Sep 13, 2016 02:29

    Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamewakana na kuwalaani wanawake watatu waliotekeleza hujuma ya kigaidi dhidi ya kituo cha polisi mjini Mombasa siku ya Jumapili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS