Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Ethiopia yaachilia huru mamia ya wafungwa wakiwemo Waislamu

    Ethiopia yaachilia huru mamia ya wafungwa wakiwemo Waislamu

    Sep 12, 2016 03:34

    Ethiopia imetangaza kuwaachilia huru mamia ya wafungwa wakiwemo Waislamu ambao walikuwa wanashikiliwa kwa kupinga uingiliaji wa serikali katika mambo yao ya kidini.

  • Maafa ya Mina ni thibitisho watawala wa Aal Saud hawastahiki kusimamia Haram Mbili Takatifu

    Maafa ya Mina ni thibitisho watawala wa Aal Saud hawastahiki kusimamia Haram Mbili Takatifu

    Sep 12, 2016 03:28

    Khatibu wa Sala ya Idul Adhaa mjini Tehran amesema maafa ya Mina katika msimu wa Hija mwaka jana ni thibitisho kuwa utawala wa ukoo wa Aal Saud haustahiki kusimamia Maeneo Mawili Matakatifu ya Waislamu.

  • Rais Rouhani awatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za Idi

    Rais Rouhani awatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za Idi

    Sep 11, 2016 22:06

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu duniani salamu za kheri na fanaka kwa munasaba wa siku kuu ya Idul Adha.

  • Ayatullah Nouri Hamedani: Haram mbili tukufu ni milki ya Waislamu wote

    Ayatullah Nouri Hamedani: Haram mbili tukufu ni milki ya Waislamu wote

    Sep 09, 2016 03:30

    Ayatullah Hussein Nouri Hamedani, mmoja wa Marjaa Taqlidi aliyeko katika mji wa Qom amesema: Haram mbili tukufu za Makka na Madina zilizoko nchini Saudi Arabia ni milki ya Waislamu wote duniani.

  • Jamii ya Waislamu Ujerumani yalaani kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Jamii ya Waislamu Ujerumani yalaani kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Sep 08, 2016 09:51

    Jamii ya Waislamu nchini Ujerumani imelaani vikali mwenendo wa kuongezeka chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi hiyo ya bara Ulaya.

  • Kongamano kubwa la Waislamu lafanyika katika jimbo la Chicago, Marekani

    Kongamano kubwa la Waislamu lafanyika katika jimbo la Chicago, Marekani

    Sep 04, 2016 23:53

    Kongamano kubwa la 53 la Jamii ya Kiislamu ya Amerika ya Kaskazini (ISNA) linafanyika katika jimbo la Chicago nchini Marekani.

  • Video: Mwanamke wa kwanza Muislamu kuvaa sare katika jeshi la polisi la Marekani azungumza

    Video: Mwanamke wa kwanza Muislamu kuvaa sare katika jeshi la polisi la Marekani azungumza

    Aug 27, 2016 07:52

    Afisa wa kwanza wa kike wa polisi wa Marekani, ameanza kazi katika jeshi hilo kwa kuvaa sare ya Hijabu katika mji wa Dearborn kwenye jimbo la Michigan.

  • Wanaharakati London na Berlin walaani marufuku ya vazi la Kiislamu

    Wanaharakati London na Berlin walaani marufuku ya vazi la Kiislamu

    Aug 26, 2016 22:16

    Wanaharakati wanaopinga vitendo vya chuki dhidi ya dini ya Kiislamu wamefanya maandamano katika miji ya London na Berlin kulaani marufuku vazi la Kiislamu katika pwani za Ufaransa.

  • Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab

    Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab

    Aug 25, 2016 03:04

    Polisi ya Scotland Yard ya nchini Uingereza imepasisha vazi la staha ya mwanamke wa Kiislamu, Hijabu kama njia ya kuwavutia Waislamu kujiunga na jeshi hilo.

  • Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab

    Polisi ya Scotland, Uingereza, yapasisha vazi la Hijab

    Aug 24, 2016 23:49

    Polisi ya Scotland Yard ya nchini Uingereza imepasisha vazi la staha ya mwanamke wa Kiislamu, Hijabu kama njia ya kuwavutia Waislamu kujiunga na jeshi hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS