Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Ndugu watatu Waislamu wateremshwa kwenye ndege kwa kutuhumiwa kuwa wanachama wa Daesh

    Ndugu watatu Waislamu wateremshwa kwenye ndege kwa kutuhumiwa kuwa wanachama wa Daesh

    Aug 24, 2016 10:29

    Ndugu watatu Waislamu raia wa Uingereza wamefikwa na mkasa wa kuteremshwa kwenye ndege katika uwanja wa ndege wa London na kuhojiwa kwa muda wa saa nzima baada ya abiria wenzao kuwatuhumu kuwa ni wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Waziri Mkuu wa Ufaransa aunga mkono marufuku ya 'burqini'

    Waziri Mkuu wa Ufaransa aunga mkono marufuku ya 'burqini'

    Aug 17, 2016 23:09

    Waziri Mkuu wa Ufaransa ameunga mkono hatua ya mameya wa miji minne nchini humo kupiga marufuku vazi la stara la kuogelea linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu linalofahamika kama 'burqini'.

  • Utafiti: Uislamu ndiyo dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani

    Utafiti: Uislamu ndiyo dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani

    Aug 17, 2016 09:36

    Utafiti uliofanywa na kituo cha utafiti cha Pew Research Center cha Marekani umeonyesha kuwa, Uislamu utasalia kuwa dini yenye kukuwa kwa kasi zaidi duniani katika kipindi cha miongo kadhaa ijayo.

  • Imam na msaidizi wake wauawa kwa risasi New York, Marekani

    Imam na msaidizi wake wauawa kwa risasi New York, Marekani

    Aug 14, 2016 02:35

    Imam wa msikiti mmoja katika jimbo la New York nchini Marekani ameuawa kwa kufyatuliwa risasi katika mazingira ya kutatanisha.

  • Askari waliostaafu Marekani watishia kuwachinja Waislamu Texas

    Askari waliostaafu Marekani watishia kuwachinja Waislamu Texas

    Aug 09, 2016 09:17

    Wanajeshi waliostaafu katika jimbo la Texas nchini Marekani wametishia kuwakata vichwa kwa mapanga Waislamu watakaoenda kutekeleza ibada ya swala katika msikiti mmoja jimboni hapo.

  • Waislamu nchini Nigeria waandamana kutaka Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru

    Waislamu nchini Nigeria waandamana kutaka Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru

    Aug 08, 2016 10:12

    Waislamu nchini Nigeria wameendelea kufanya maandamano ya amani wakitaka kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo aliyewekwa kizuizini na vikosi vya usalama vya nchi hiyo.

  • Ripoti: Askari walioua Waislamu Nigeria washtakiwe

    Ripoti: Askari walioua Waislamu Nigeria washtakiwe

    Aug 02, 2016 03:00

    Jopo la uchunguzi lililotwika jukumu la kuchunguza mauaji ya Waislamu kaskazini mwa Nigeria limekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika liliuawa Waislamu zaidi ya 300 katika mji wa Zaria jimbo la Kaduna.

  • Waislamu wa Marekani; kitovu cha kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais

    Waislamu wa Marekani; kitovu cha kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais

    Aug 01, 2016 02:20

    Hotuba ya Khizr Khan, baba wa askari mmoja Mmarekani Muislamu aliyeuawa katika vita vya Iraq, kwa mara nyengine tena imeifanya hali na nafasi ya Waislamu kuwa kitovu cha kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Bahrain yaendeleza ubabe, yamkamata kiongozi mwingine wa Kiislamu

    Bahrain yaendeleza ubabe, yamkamata kiongozi mwingine wa Kiislamu

    Jul 30, 2016 03:40

    Licha ya makelele ya jamii ya kimataifa na watetezi wa haki za binadamu, utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain umemtia nguvuni kiongozi mwingine wa Kiislamu.

  • Waislamu Nigeria wapongeza kuondolewa marufuku ya hijabu

    Waislamu Nigeria wapongeza kuondolewa marufuku ya hijabu

    Jul 24, 2016 03:30

    Waislamu nchini Nigeria wamepongeza uamuzi wa Mahakama ya Rufaa mjini Lagos kufutulia mbali marufuku ya kuvaa hijabu katika shule za umma mjini hapo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS