Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran la kushiriki kwa wingi katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran la kushiriki kwa wingi katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jun 30, 2016 08:59

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema kwa kushiriki kwa hamasa kubwa wananchi wa Iran na mataifa mengine ya Kiislamu katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds ni ujumbe wa nguvu kwa maadui wa Uislamu na kwa mabeberu wa dunia.

  • Waislamu Marekani wataka kudhaminiwa usalama

    Waislamu Marekani wataka kudhaminiwa usalama

    Jun 27, 2016 23:33

    Baraza la Uhusiano wa Uislamu na Marekani (CAIR) limeitaka serikali ya nchi hiyo kuzidisha usalama na kulinda misikiti ya vituo vya Kiislamu husuan katika jimbo la New York.

  • Waislamu wa Myanmar waendelea kufanyiwa jinai za kutisha

    Waislamu wa Myanmar waendelea kufanyiwa jinai za kutisha

    Jun 20, 2016 23:18

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kuendelea jinai za mabudha dhidi ya Waislamu wa Myanmar.

  • Jamhuri ya Afrika ya Kati yawalaani wanaotaka kufufua mauaji

    Jamhuri ya Afrika ya Kati yawalaani wanaotaka kufufua mauaji

    Jun 20, 2016 10:03

    Serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imeyalaani makundi ya watu ambao wanafanya njama za kurejesha ukosefu wa amani na mauaji katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bangui.

  • Askari mwandamizi wa Marekani akamatwa kwa kujaribu kuua Waislamu

    Askari mwandamizi wa Marekani akamatwa kwa kujaribu kuua Waislamu

    Jun 11, 2016 02:39

    Ofisa mwandamizi wa jeshi la Marekani anatazamiwa kupandishwa kizimbani karibuni hivi kwa madai ya kutishia kushambulia msikiti na kuua waumini wa Kiislamu katika jimbo la Carolina Kaskazini.

  • China yawazuia tena Waislamu wa Xinjiang kufunga Saum ya Ramadhani

    China yawazuia tena Waislamu wa Xinjiang kufunga Saum ya Ramadhani

    Jun 07, 2016 23:29

    Serikali ya China, kwa mara nyingine, imewaamuru wanafunzi, wafanya kazi wa umma na hata wakaazi wa kawaida katika eneo lenye Waislamu wengi la Xinjiang kutofunga Saum ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

  • Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi wa Ramadhani

    Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi wa Ramadhani

    Jun 06, 2016 03:11

    Baadhi ya Waislamu kutoka pembe mbali mbali za dunia wameanza ibada ya funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Kulalamikiwa vitendo vya kibaguzi vya Uingereza dhidi ya Waislamu

    Kulalamikiwa vitendo vya kibaguzi vya Uingereza dhidi ya Waislamu

    May 27, 2016 23:18

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya nchini Uingereza imeulalamikia vikali uamuzi wa kibaguzi wa saerikali ya nchi hiyo wa kuunda timu ya kuchunguza namna ya utekelezaji wa sheria na kanuni za Kiislamu nchini humo.

  • Chama chenye misimamo mikali Ujerumani chavunja mazungumzo na Waislamu

    Chama chenye misimamo mikali Ujerumani chavunja mazungumzo na Waislamu

    May 24, 2016 11:51

    Chama cha mrengo wa kulia nchini Ujerumani cha AfD kimevunja mazungumzo yaliyotazamia kuupatia ufumbuzi mkwaruzano kati yao na wanaharakati Waislamu nchini humo.

  • Matatizo ya Waislamu wa Marekani hata baada ya kufariki kwao dunia

    Matatizo ya Waislamu wa Marekani hata baada ya kufariki kwao dunia

    May 23, 2016 23:05

    Waislamu wa Marekani hawakabiliwi na matatizo katika kipindi cha uhai wao tu bali hata wanapofariki dunia matatizo hayo bado huwaandama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS