-
Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran la kushiriki kwa wingi katika Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 30, 2016 08:59Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema kwa kushiriki kwa hamasa kubwa wananchi wa Iran na mataifa mengine ya Kiislamu katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds ni ujumbe wa nguvu kwa maadui wa Uislamu na kwa mabeberu wa dunia.
-
Waislamu Marekani wataka kudhaminiwa usalama
Jun 27, 2016 23:33Baraza la Uhusiano wa Uislamu na Marekani (CAIR) limeitaka serikali ya nchi hiyo kuzidisha usalama na kulinda misikiti ya vituo vya Kiislamu husuan katika jimbo la New York.
-
Waislamu wa Myanmar waendelea kufanyiwa jinai za kutisha
Jun 20, 2016 23:18Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kuendelea jinai za mabudha dhidi ya Waislamu wa Myanmar.
-
Jamhuri ya Afrika ya Kati yawalaani wanaotaka kufufua mauaji
Jun 20, 2016 10:03Serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imeyalaani makundi ya watu ambao wanafanya njama za kurejesha ukosefu wa amani na mauaji katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bangui.
-
Askari mwandamizi wa Marekani akamatwa kwa kujaribu kuua Waislamu
Jun 11, 2016 02:39Ofisa mwandamizi wa jeshi la Marekani anatazamiwa kupandishwa kizimbani karibuni hivi kwa madai ya kutishia kushambulia msikiti na kuua waumini wa Kiislamu katika jimbo la Carolina Kaskazini.
-
China yawazuia tena Waislamu wa Xinjiang kufunga Saum ya Ramadhani
Jun 07, 2016 23:29Serikali ya China, kwa mara nyingine, imewaamuru wanafunzi, wafanya kazi wa umma na hata wakaazi wa kawaida katika eneo lenye Waislamu wengi la Xinjiang kutofunga Saum ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
-
Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi wa Ramadhani
Jun 06, 2016 03:11Baadhi ya Waislamu kutoka pembe mbali mbali za dunia wameanza ibada ya funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Kulalamikiwa vitendo vya kibaguzi vya Uingereza dhidi ya Waislamu
May 27, 2016 23:18Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya nchini Uingereza imeulalamikia vikali uamuzi wa kibaguzi wa saerikali ya nchi hiyo wa kuunda timu ya kuchunguza namna ya utekelezaji wa sheria na kanuni za Kiislamu nchini humo.
-
Chama chenye misimamo mikali Ujerumani chavunja mazungumzo na Waislamu
May 24, 2016 11:51Chama cha mrengo wa kulia nchini Ujerumani cha AfD kimevunja mazungumzo yaliyotazamia kuupatia ufumbuzi mkwaruzano kati yao na wanaharakati Waislamu nchini humo.
-
Matatizo ya Waislamu wa Marekani hata baada ya kufariki kwao dunia
May 23, 2016 23:05Waislamu wa Marekani hawakabiliwi na matatizo katika kipindi cha uhai wao tu bali hata wanapofariki dunia matatizo hayo bado huwaandama.