-
Trump ajikosha, asaka kura za Waislamu wa Marekani kwa udi na uvumba
May 23, 2016 02:57Donald Trump, anayewania kuteuliwa na chama chake cha Republican kugombea urais wa Marekani na ambaye ni maarufu kwa maneno ya chuki dhidi ya Waislamu, hivi sasa anaonekana kuhaha kutafuta kura za Waislamu.
-
Waislamu Uingereza waendesha kampeni maalumu za kuutambulisha Uislamu
May 21, 2016 23:52Jumuiya ya Waislamu wa Uingereza imeitisha kikao maalumu cha kujibu maswali ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu kuhusiana na Uislamu na utamaduni wa Kiislamu.
-
Mkutano wa kiusalama wafanyika katika msikiti mmoja nchini Rwanda
May 17, 2016 09:17Wakuu wa vyombo vya usalama na viongozi wa Kiislamu wa Rwanda wamefanya mkutano katika msikiti mmoja nchini humo kujadili mustakabali wa kiusalama.
-
Al Azhar kuasisi asasi ya kukurubisha madhehebu ya Kiislamu Misri
May 12, 2016 23:41Mhadhiri mmoja wa fikihi katika Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri ametangaza habari ya kuasisiwa taasisi maalumu ya kukurubisha madhehebu ya Kiislamu.
-
Mabasi ya London yana mabango ya 'Subhan Allah' katika Kampeni ya Mwezi wa Ramadhani
May 10, 2016 23:47Shirika moja la kutoa misaada nchini Uingereza limeanzisha kampeni ya matangazo yenye mabango ya 'Subhan Allah' kwa ajili ya kushajiisha watu watoe misaada katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
-
Serikali ya Myanmar na hali mbaya ya Waislamu wa Rohingya
May 04, 2016 03:23Katika hali ambayo matatizo ya Waislamu wa Rohingya katika kambi za wakimbizi yanaendelea kushuhudiwa, makundi yanayofungamana na Waislamu yametoa ripoti kuhusiana na matatizo mapya yanayowakabili Waislamu hao.
-
Ugaidi unaenea kutokana na hitilafu za kimadhehebu, kikaumu katika nchi za Kiislamu
May 02, 2016 23:28Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema, ugaidi unaenea Mashariki ya Kati kutokana na hitilafu za kikaumu na kimadhehebu katika nchi za Kiislamu.
-
Mji mmoja nchini Bulgaria wapiga marufuku vazi la Burqa
Apr 28, 2016 10:46Mji wa Pazardzhik nchini Bulgaria umepiga marufuku vazi la stara la burqa linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu.
-
Ireland yaweka sheria ya kuwawajibisha mawakili Waislamu kuapa kwa kutumia Qur'ani
Apr 24, 2016 23:35Jamii ya wanasheria nchini Ireland, imewawajibisha mawakili na washauri wa sheria Waislamu kutumia Qur'ani Tukufu wakati wa kula kiapo.
-
Mwito wa Umoja wa Mataifa kwa serikali ya Myanmar
Apr 22, 2016 00:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki moon amemtaka mjumbe maalumu wa umoja huo nchini Myanmar atafute njia za kutatua mgogoro wa Waislamu wa kabila la Rohingya na kuwaondolea masaibu yao, baada ya kufa maji - siku chache zilizopita - makumi ya Waislamu hao kutokana na mateso wanayofanyiwa na mabudha wenye chuki kali za kidini.