Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbi

  • Wakimbizi wa kambi ya Dadaab Kenya waanza kurejeshwa makwao

    Wakimbizi wa kambi ya Dadaab Kenya waanza kurejeshwa makwao

    Jul 02, 2016 07:52

    Oparesheni ya kuwarejeshwa makwao wakimbizi waliokuwepo katika kambi ya Dadaab huko Kenya imeanza licha ya kuwepo juhudi za kimataifa za kutaka kuzuia zoezi hilo.

  • Wakimbizi wa kambi ya Dadaab waanza kurejeshwa makwao

    Wakimbizi wa kambi ya Dadaab waanza kurejeshwa makwao

    Jul 02, 2016 03:33

    Operesheni ya kuwarejesha makwao wakimbizi wanaoishi katika kambi ya Dadaab huko mashariki mwa Kenya imeanza kutekelezwa.

  • Waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni S/Kusini waongezeka

    Waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni S/Kusini waongezeka

    Jul 01, 2016 10:47

    Waziri wa Habari wa Sudan Kusini amesema kuwa, idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni nchini humo imeongezeka.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuongezeka wakimbizi duniani

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuongezeka wakimbizi duniani

    Jun 21, 2016 11:26

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limetoa ripoti mpya sambamba na kuadhimishwa Siku ya Wakimbizi Duniani na kutangaza kuwa hadi mwishoni mwa mwaka uliopita wa 2015 idadi ya wakimbizi ilikuwa zaidi ya watu milioni 65.

  • Serikali ya Kenya yaainisha muda wa kuondoka wakimbizi katika kambi ya Daadab

    Serikali ya Kenya yaainisha muda wa kuondoka wakimbizi katika kambi ya Daadab

    Jun 11, 2016 23:12

    Serikali ya Kenya imeainisha muhula wa kuondoka maelfu ya wakimbizi wanaoishi kwenye kambi ya Dadaab nchini humo.

  • Indhari ya Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR kuhusiana na hali ya Burundi

    Indhari ya Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR kuhusiana na hali ya Burundi

    May 03, 2016 08:00

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetoa ripoti na kutangaza kuwa, katika hali ambayo umepita mwaka mmoja tangu mgogoro wa Burundi ulipoibuka, hali ya mambo nchini humo ingali si shwari na kwamba, wananchi wa nchi hiyo wanaendelea kukimbilia katika nchi jirani.

  • Umoja wa Mataifa waitaka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kulitafutia ufumbuzi tatizo la wakimbizi

    Umoja wa Mataifa waitaka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kulitafutia ufumbuzi tatizo la wakimbizi

    Apr 27, 2016 23:26

    Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutafuta ufumbuzi wa kudumu kuhusiana na wakimbizi wa mashariki mwa nchi hiyo.

  • Mateso ya wakimbizi wa Burundi

    Mateso ya wakimbizi wa Burundi

    Mar 01, 2016 07:33

    Marais wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC wanatazamiwa kukutana mjini Arusha Tanzania Jumatano, Machi 2 kujadili mmambo mbalimbali ya kanda hiyo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS