Mateso ya wakimbizi wa Burundi
Mar 01, 2016 07:33 UTC
Marais wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC wanatazamiwa kukutana mjini Arusha Tanzania Jumatano, Machi 2 kujadili mmambo mbalimbali ya kanda hiyo.
Mashirika mbalimbali ya kijamii yamesisitizia wajibu wa mkutano huo kulipa kipaumbele cha kwanza suala la mgogoro wa Burundi.
Hapa tumeorodhesha baadhi ya picha zinazoonesha mazingira magumu sana wanayoishi ndani yake wakimbizi wa Burundi wa ndani na nje ya nchi hiyo.
Tags