Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi wa Syria

  • Waziri Mkuu wa Slovakia: Ukraine haitaweza katu kujiunga na NATO, ni baidi pia kupata uanachama wa EU

    Waziri Mkuu wa Slovakia: Ukraine haitaweza katu kujiunga na NATO, ni baidi pia kupata uanachama wa EU

    Jan 27, 2025 02:36

    Waziri Mkuu wa Slovakia Robert Fico amesema, Ukraine haitaweza katu kujiunga na shirika la kijeshi la NATO, na ni baidi pia kuwa jitihada zake za kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya zitafanikiwa.

  • Putin na Merkel wataka wakimbizi wa Syria warejeshwe katika makazi yao

    Putin na Merkel wataka wakimbizi wa Syria warejeshwe katika makazi yao

    Nov 13, 2019 02:33

    Rais Vladimir Putin wa Russia na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel wamesisitiza udharura wa kurejeshwa wakimbizi wa Syria katika makazo na maeneo yao.

  • Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu nchini Yemen inasikitisha mno

    Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu nchini Yemen inasikitisha mno

    Apr 16, 2019 14:43

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi mkubwa ulionao kutokana na kutoridhisha kabisa hali ya kibinadamu nchini Yemen

  • Mamia ya wakimbizi wa Syria warejea makwao kwenye viunga vya Halab (Aleppo)

    Mamia ya wakimbizi wa Syria warejea makwao kwenye viunga vya Halab (Aleppo)

    Aug 21, 2018 07:32

    Makumi ya familia na mamia ya wakimbizi wa Syria wamevuka kivuko cha mpakani cha Abu Dhuhur na kurejea katika maeneo yao baada ya jeshi la nchi hiyo kuwafurusha magaidi katika maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Rais al-Assad wa Syria na mkewe wazitembelea familia za mashahidi wa vita

    Rais al-Assad wa Syria na mkewe wazitembelea familia za mashahidi wa vita

    Jul 22, 2018 03:26

    Rais Bashar al-Assad wa Syria pamoja na mke wake wametembelea familia za mashahidi na majeruhi wa vita wanaoishi katika kambi ya Abenau Nasr, katika kijiji cha al-Zainat cha mji wa Masyaf, magharibi mwa nchi hiyo.

  • Hizbullah: Marekani na EU zinazuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao

    Hizbullah: Marekani na EU zinazuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao

    Jul 08, 2017 07:55

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani na Umoja wa Ulaya zimekuwa zikizuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao.

  • Msalaba Mwekundu: Mashirika ya kimataifa hayawezi kudhamini mahitaji ya wakimbizi wa Syria

    Msalaba Mwekundu: Mashirika ya kimataifa hayawezi kudhamini mahitaji ya wakimbizi wa Syria

    Jun 01, 2017 07:31

    Shirika la Kimataifa la msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, mashirika ya kimataifa ya utoaji misaada hayana uwezo wa kudhamini mahitaji ya wakimbizi wa Syria.

  • Ndege za Marekani zashambulia kambi ya wakimbizi Syria, zaua watu kadhaa

    Ndege za Marekani zashambulia kambi ya wakimbizi Syria, zaua watu kadhaa

    Nov 25, 2016 04:54

    Raia kadhaa wa Syria waliokuwa wakiishi katika kambi ya wakimbizi eneo la Al-Raqqah, wamepoteza maisha yao katika shambulizi lililofanywa na ndege za kijeshi za Marekani dhidi yao.

  •  UNICEF: Hali ya wakimbizi watoto nchini Ujerumani inasikitisha

    UNICEF: Hali ya wakimbizi watoto nchini Ujerumani inasikitisha

    Jun 22, 2016 04:06

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limekosoa vikali hali mbaya inayowakabili wakimbizi watoto nchini Ujerumani na kusema kuwa hawapewi huduma zinazofaa za tiba wala elimu.

  • Trump: Wakimbizi wa Syria wanapanga shambulizi kama la Septemba 11

    Trump: Wakimbizi wa Syria wanapanga shambulizi kama la Septemba 11

    May 16, 2016 06:54

    Donald Trump, mgombea wa kiti cha urais wa chama cha Republican nchini Marekani kwa mara nyingine tena ametoa matamshi yanayodhihirisha misimamo yake ya chuki na ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na wageni. Trump amedai kuwa wakimbizi wa Syria nchini Marekani wanapanga njama ya kufanya shambulizi la kigaidi kama la Septemba 11.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS