Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanawake

  • Wanawake wa Morocco wadai usawa katika kazi za nyumbani, wataka wanaume nao wavae

    Wanawake wa Morocco wadai usawa katika kazi za nyumbani, wataka wanaume nao wavae "aproni" za jikoni

    May 02, 2025 07:15

    Kama sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, makumi ya wanawake wa Morocco wamefanya maandamano kwenye mitaa ya Casablanca wakisisitiza umuhimu wa kazi za nyumbani zisizo na malipo na kudai usawa wa kijinsia katika kugawana kazi za nyumbani.

  • Jeshi la Msumbiji laokoa wanawake 280 na watoto kutoka mikononi mwa wanamgambo wa Naparama

    Jeshi la Msumbiji laokoa wanawake 280 na watoto kutoka mikononi mwa wanamgambo wa Naparama

    Apr 26, 2025 11:07

    Jeshi la Msumbiji limesema kuwa limefanikiwa kuokoa wanawake na watoto wasiopungua 280 waliokuwa wametekwa nyara na wanamgambo wa Naparama katika majimbo ya kaskazini na katikati mwa nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Afrika.

  • Wizi wa kipochi cha Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani wazua kizaazaa

    Wizi wa kipochi cha Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani wazua kizaazaa

    Apr 22, 2025 03:03

    Ahadi za Donald Trump za kupunguza wizi na uhalifu nchini Marekani si tu ni ahadi chapwa, lakini pia watu wake muhimu ndani ya baraza la mawaziri nao hawajasalimika na wizi na uhalifu.

  • Makumi ya wanawake, watoto wauawa na mabomu ya Wazayuni Gaza

    Makumi ya wanawake, watoto wauawa na mabomu ya Wazayuni Gaza

    Apr 16, 2025 14:51

    Mashambulizi makali ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel yameua shahidi zaidi ya Wapalestina 20, wakiwemo wanawake na watoto wadogo katika Ukanda wa Gaza.

  • Iran: Ufaransa itoe maelezo ya kukamatwa Muirani, mtetezi wa Palestina

    Iran: Ufaransa itoe maelezo ya kukamatwa Muirani, mtetezi wa Palestina

    Apr 15, 2025 03:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali kitendo cha Ufaransa cha kukataa kutoa maelezo ya kukamatwa Mahdieh Esfandiari, raia wa Iran anayeishi katika mji wa Lyon, kaskazini mwa magharibi mwa Ufaransa, zaidi ya mwezi mmoja baada kutiwa kwake mbaroni na vyombo vya usalama vya nchi hiyo ya Ulaya.

  • Wanawake na watoto, wahanga wakuu wa unyanyasaji wa kingono DRC

    Wanawake na watoto, wahanga wakuu wa unyanyasaji wa kingono DRC

    Apr 12, 2025 06:35

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limesema katika ripoti yake ya karibuni kabisa iliyotolewa jana Ijumaa kwamba, kwa wastani kila baada ya dakika 30 mtoto mmoja alibakwa wakati wa mapigano makali ya Januari na Februari huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

  • UN: Mashambulio 36 ya Israel Ghaza kati ya Machi 18 hadi Aprili 9 yameua wanawake na watoto tu

    UN: Mashambulio 36 ya Israel Ghaza kati ya Machi 18 hadi Aprili 9 yameua wanawake na watoto tu

    Apr 12, 2025 03:08

    Umoja wa Mataifa umesema wanawake na watoto wa Kipalestina ndio pekee waliouawa katika mashambulizi yapatayo 36 ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza tangu katikati ya mwezi Machi na kuonya kwamba mashambulizi ya kijeshi ya Israel yanahatarisha "kuendelea kuwepo Wapalestina kama jamii".

  • Microsoft yalaaniwa kwa kumfuta kazi mhandisi aliyepinga mauaji ya kimbari Gaza

    Microsoft yalaaniwa kwa kumfuta kazi mhandisi aliyepinga mauaji ya kimbari Gaza

    Apr 10, 2025 07:46

    Shirika moja la kimataifa limelaani hatua ya kampuni ya Microsoft ya Marekani kumfuta kazi mhandisi wa programu mwenye asili ya Morocco, Ibtihal Aboussad, ambaye aliandamana hadharani kupinga uungwaji mkono wa kampuni hiyo kwa utawala katili wa Israel wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Microsoft.

  • Afrika yashuhudia kupungua vifo vya akina mama na watoto wachanga

    Afrika yashuhudia kupungua vifo vya akina mama na watoto wachanga

    Apr 10, 2025 02:55

    Viwango vya vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga barani Afrika vimepungua tangu mwaka 2000, Shirika la Afya Duniani (WHO) limebaini katika ripoti mpya.

  • Mwanamke anayechukia Waislamu apatikana na hatia ubadhirifu Ufaransa

    Mwanamke anayechukia Waislamu apatikana na hatia ubadhirifu Ufaransa

    Apr 01, 2025 02:40

    Mahakama moja nchini Ufaransa jana Jumatatu ilimpata na hatia ya ubadhirifu, Marine Le Pen, aliyekuwa mgombea urais wa Ufaransa kwa mihula miwili na kiongozi wa chama cha National Rally (RN) chenye chuki dhidi ya Waislamu. Hukumu hiyo itaathiri mustakabali wake wa kisiasa, hasa kugombea katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa wa 2027.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS