-
Masuala ya kiutamaduni na wanawake; ajenda kuu ya mdahalo wa wagombea wa uchaguzi wa rais wa Iran
Jun 22, 2024 10:54Mdahalo wa tatu wa kisiasa kwa njia ya televisheni wa wagombea wa kiti cha urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umefanyika huku wagombea wakibainisha mipango yao ya sera za serikali kuhusu wanawake na uzalishaji wa kiutamaduni nchini.
-
Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke wa DR Congo aapishwa
Jun 12, 2024 11:23Bi Judith Suminwa Tuluka ameapishwa kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
-
Wanawake wa Iran washika nafasi ya pili kwa kutwaa medali nane katika Mashindano ya Kurash,Asia
Jun 09, 2024 08:00Wanawake wa Iran wameshinda medali nane na kuwa washindi wa pili wa Mashindano ya Kurash ya Bara Asia.
-
Mexico yapata Rais wa kwanza mwanamke; ni Sheinbaum
Jun 03, 2024 08:08Claudia Sheinbaum amechaguliwa kuwa rais wa kwanza mwanamke nchiini Mexico katika ushindi wa kihistoria.
-
Zohreh Elahian, mwanamke wa kwanza kujiandikisha kuwania urais Iran 2024
Jun 02, 2024 05:11Mbunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Zohreh Elahian amekuwa mwanamke wa kwanza kujiandikisha kugombea uchaguzi wa mapema wa duru ya 14 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu, kufuatia kufa shahidi Rais Ebrahim Raisi katika ajali ya helikopta.
-
Mafanikio ya uvumbuzi wa wanawake wa Iran katika nyanja mbalimbali
May 17, 2024 07:09Ingawa bado kuna pengo kubwa kati ya wavumbuzi wanawake na wanaume duniani lakini viashiria vilivyopo vinaonyesha kuwa juhudi zinazofanywa na wanawake wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kuziba pengo hilo zinaendelea kwa kasi kubwa.
-
Serikali ya Tanzania yatakiwa kubuni sheria maalumu ya ukatili dhidi ya wanawake
May 16, 2024 12:20Serikali ya Tanzania imetakiwa kubuni sheria maalumu ya kukabiliana na ukatili dhidi ya wanawake.
-
Raisi: Iran kamwe haitaruhusu kutengwa wanawake katika jamii
May 09, 2024 02:33Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu katu haitakubali sera ambazo zitapelekea kutengwa wanawake katika jamii.
-
Russia yaruhusu wanawake Waislamu wanaoomba uraia kutumia picha za vazi la Hijabu
May 01, 2024 10:52Serikali ya Russia imelegeza masharti ya kanuni zinazohusu maombi ya raia wa kigeni wanaoomba uraia, na itaruhusu mwanamke wa Kiislamu kutumia picha za paspoti zinazomuonesha akiwa amevaa vazi la staha la Kiislamu la Hijabu. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo.
-
UN: Israel imeua wanawake 10,000 Gaza
Apr 17, 2024 02:57Takriban wanawake 10,000 wameuawa huko Gaza tangu utawala haramu wa Israel uanzishe vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya eneo hilo Oktoba mwaka jana.