Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanawake

  • Microsoft yalaaniwa kwa kumfuta kazi mhandisi aliyepinga mauaji ya kimbari Gaza

    Microsoft yalaaniwa kwa kumfuta kazi mhandisi aliyepinga mauaji ya kimbari Gaza

    Apr 10, 2025 07:46

    Shirika moja la kimataifa limelaani hatua ya kampuni ya Microsoft ya Marekani kumfuta kazi mhandisi wa programu mwenye asili ya Morocco, Ibtihal Aboussad, ambaye aliandamana hadharani kupinga uungwaji mkono wa kampuni hiyo kwa utawala katili wa Israel wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Microsoft.

  • Afrika yashuhudia kupungua vifo vya akina mama na watoto wachanga

    Afrika yashuhudia kupungua vifo vya akina mama na watoto wachanga

    Apr 10, 2025 02:55

    Viwango vya vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga barani Afrika vimepungua tangu mwaka 2000, Shirika la Afya Duniani (WHO) limebaini katika ripoti mpya.

  • Mwanamke anayechukia Waislamu apatikana na hatia ubadhirifu Ufaransa

    Mwanamke anayechukia Waislamu apatikana na hatia ubadhirifu Ufaransa

    Apr 01, 2025 02:40

    Mahakama moja nchini Ufaransa jana Jumatatu ilimpata na hatia ya ubadhirifu, Marine Le Pen, aliyekuwa mgombea urais wa Ufaransa kwa mihula miwili na kiongozi wa chama cha National Rally (RN) chenye chuki dhidi ya Waislamu. Hukumu hiyo itaathiri mustakabali wake wa kisiasa, hasa kugombea katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa wa 2027.

  • Namibia yawa nchi ya kwanza Afrika kuwa na Rais na Makamu wa Rais mwanamke

    Namibia yawa nchi ya kwanza Afrika kuwa na Rais na Makamu wa Rais mwanamke

    Mar 24, 2025 03:40

    Rais mpya wa Namibia Netumbo Nandi-Ndaitwah ametangaza Baraza lake la Mawaziri la kwanza na kumteua Lucia Witbooi kuwa Makamu wa Rais wa kwanza mwanamke wa taifa hilo.

  • Netumbo Nandi aapishwa kuwa Rais wa kwanza mwanamke wa Namibia

    Netumbo Nandi aapishwa kuwa Rais wa kwanza mwanamke wa Namibia

    Mar 21, 2025 14:42

    Netumbo Nandi Ndaitwah ameapishwa leo Ijumaa kuwa Rais wa kwanza mwanamke wa Namibia, baada ya kushinda uchaguzi mwaka jana.

  • Israel yashambulia upya Gaza, yaua mamia ya Watoto na wanawake

    Israel yashambulia upya Gaza, yaua mamia ya Watoto na wanawake

    Mar 18, 2025 07:44

    Jeshi la utawal katili wa Israel limeua Wapalestina wasiopungua 350, ambao wengi wao ni wanawake na watoto, katika maeneo yote ya Ukanda wa Gaza wakati wa ukiukwaji mkubwa wa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Tel Aviv na vikosi vya Muqawama vya Palestina vilivyoko Gaza. 

  • Wanawake wa Iran wanastawi kwa kasi licha ya vikwazo

    Wanawake wa Iran wanastawi kwa kasi licha ya vikwazo

    Mar 16, 2025 02:49

    Licha ya vikwazo, wanawake wa Iran wanaendelea kuwa na azma thabiti ya kujenga mustakabali wa haki zaidi.

  • Wanawake wa Palestina wanalishwa futari zilizooza kwenye jela za Israel

    Wanawake wa Palestina wanalishwa futari zilizooza kwenye jela za Israel

    Mar 11, 2025 11:35

    Mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa kidhulma katika jela za Israel ikiwemo ile jela ya Damon wanaishi katika mateso makubwa yasiyoelezeka hasa ndani ya mwezi huu mtukufu wa Ramadhani ikiwa ni pamoja na kulazimishwa kula vyakula vilivyooza wakati wa futari na kutangaziwa nyakati sizo za wakati wa daku na futari.

  • Siku ya Wanawake; Iran yataka Israel itimuliwe UN + Picha

    Siku ya Wanawake; Iran yataka Israel itimuliwe UN + Picha

    Mar 09, 2025 06:46

    Ofisi ya Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imetaka utawala wa Kizayuni utimuliwe kutoka kwenye umoja huo kutokana na jinai kubwa unazofanya dhidi ya wananchi wa kawaida wa Palestina hasa wanawake na watoto wadogo.

  • Mjumbe wa UN ataka kuimarishwa hadhi ya wanawake nchini Libya

    Mjumbe wa UN ataka kuimarishwa hadhi ya wanawake nchini Libya

    Mar 09, 2025 06:43

    Hanna Serwaa Tetteh, mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ambaye pia ni mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNSMIL ametoa mwito wa kuinuliwa hadhi ya wanawake nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS