Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wanawake

  • Mkutano kuhusu haki za wanawake waanza Tanzania

    Mkutano kuhusu haki za wanawake waanza Tanzania

    Oct 12, 2016 04:05

    Wanawake kutoka nchi kadhaa za Afrika wanakongamana mjini Moshi nchini Tanzania katika mkutano wa kujadili haki za mwanamke, hususan haki ya kumiliki ardhi na maliasili.

  • Waziri Mkuu wa Ufaransa aunga mkono marufuku ya 'burqini'

    Waziri Mkuu wa Ufaransa aunga mkono marufuku ya 'burqini'

    Aug 17, 2016 23:09

    Waziri Mkuu wa Ufaransa ameunga mkono hatua ya mameya wa miji minne nchini humo kupiga marufuku vazi la stara la kuogelea linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu linalofahamika kama 'burqini'.

  • Kongamano la wawekezaji wanawake wa Kenya na Rwanda-Kigali

    Kongamano la wawekezaji wanawake wa Kenya na Rwanda-Kigali

    Jul 25, 2016 03:30

    Rwanda ni mwenyeji wa kongamano la kwanza la ujasiriamali la kujadili changamoto wanazopitia wafanyabiashara wanawake katika kanda ya Afrika Mashariki.

  • Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe

    Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe

    Jul 17, 2016 03:15

    Mamia ya wanawake nchini Zimbabwe jana walifanya maandamano dhidi ya serikali ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo kwa kupiga masufuria; kitendo kinashoashiria namna nchi hiyo inavyokabiliwa na njaa na matatizo ya kiuchumi.

  • Iran, Afrika Kusini kushirikiana kuinua hadhi ya wanawake

    Iran, Afrika Kusini kushirikiana kuinua hadhi ya wanawake

    Apr 24, 2016 23:34

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayeshughulikia masuala ya wanawake Bi. Shahindokht Molaverdi amesema, Iran na Afrika Kusini zitashirikiana katika kuinua hadhi ya wanawake.

  • Sisitizo juu ya nafasi chanya ya wanawake katika kuleta uthabiti barani Afrika

    Sisitizo juu ya nafasi chanya ya wanawake katika kuleta uthabiti barani Afrika

    Mar 29, 2016 07:47

    Umoja wa Mataifa umesisitiza juu ya ushiriki zaidi wa wanawake barani Afrika katika masuala ya kijamii na kisiasa kwa shabaha ya kuleta amani na uthabiti barani humo.

  • Mwanadiplomasia wa UN akosoa idadi ndogo ya wanawake katika bunge la Liberia

    Mwanadiplomasia wa UN akosoa idadi ndogo ya wanawake katika bunge la Liberia

    Mar 02, 2016 10:41

    Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuwashughulikia wanawake (UN Women) amekosoa idadi ndogo ya wanawake katika bunge la Liberia na kusema ni muhali kwa sauti za wanawake kusikika vyema kutokana na uwakilishi wao mdogo bungeni.

  • Huffington Post: Idadi ya wanawake wakazi asili wa Canada waliouawa ni kubwa zaidi

    Huffington Post: Idadi ya wanawake wakazi asili wa Canada waliouawa ni kubwa zaidi

    Feb 19, 2016 00:09

    Gazeti la Marekani la The Huffington Post limeripoti kuwa idadi ya wanawake asilia wa Canada waliouawa au kutoweka ni kubwa zaidi ya takwimu zilizokadiriwa hapo awali.

  • Wanawake na watoto, wahanga wakuu wa migogoro ya Afrika

    Wanawake na watoto, wahanga wakuu wa migogoro ya Afrika

    Feb 13, 2016 11:52

    Wanawake na watoto wametajwa kuwa ndiyo wahanga wakuu wa migogoro inayozikumba nchi kadhaa za Afrika.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS