Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

waungaji mkono wa Daesh

  • Makumi ya wapiganaji wa ISIS wauawa katika mapigano na vikosi vya Puntland, Somalia

    Makumi ya wapiganaji wa ISIS wauawa katika mapigano na vikosi vya Puntland, Somalia

    Feb 13, 2025 06:50

    Makumi ya wanamgambo wa ISIS wameuawa katika makabiliano makali na vikosi vya usalama katika eneo linalojitawala la Puntland huko Somalia jana Jumatano, huku vikosi vya usalama vikipata hasara katika mapigano hayo yaliyoanza Jumanne iliyopita.

  • Al-Khazali: Marekani haitaki kuondoka Iraq, inatumia kisingizio cha kupambana na Daesh

    Al-Khazali: Marekani haitaki kuondoka Iraq, inatumia kisingizio cha kupambana na Daesh

    Nov 25, 2023 13:03

    Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Iraq amesema kuwa, vikosi vya majeshi ya Marekani havina nia ya kuondoka katika nchi hiyo ya Kiarabu na vinahalalisha uwepo wao kinyume cha sheria kwa kutumia kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh ambalo limekwishakufa na kutoweka.

  • Watu 17 wauawa katika mashambulizi ya kigaidi ya ISIS nchini Mali

    Watu 17 wauawa katika mashambulizi ya kigaidi ya ISIS nchini Mali

    Jun 30, 2023 03:23

    Raia wasiopungua 17 wameuawa katika mashambulizi mawili yaliyofanywa na wanachama wenye mfungamano na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) katika eneo la Gao, kaskazini mwa Mali.

  • Raia 53 wauawa katika shambulizi la 'magaidi wa ISIS' Syria

    Raia 53 wauawa katika shambulizi la 'magaidi wa ISIS' Syria

    Feb 18, 2023 09:58

    Kwa akali watu 53 wameuawa katika shambulio linaloaminika kufanywa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Homs, magharibi mwa Syria.

  • Libya yawahukumu kifo wanachama 17 wa ISIS

    Libya yawahukumu kifo wanachama 17 wa ISIS

    Dec 20, 2022 07:12

    Mahakama moja nchini Libya imewahukumu kifo wanachama 17 wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh).

  • Iran yawatia mbaroni wanachama wa ISIS waliotaka kushambulia maombolezo ya Muharram

    Iran yawatia mbaroni wanachama wa ISIS waliotaka kushambulia maombolezo ya Muharram

    Aug 05, 2022 01:15

    Wizara ya Intelijensia ya Iran imetangaza habari ya kutiwa mbaroni wanachama kumi wenye mfungamano na Wazayuni wa kundi la kigaidi na kitakfiri la ISIS (Daesh).

  • Wanamgambo 100 wa ISIS wauawa katika mashambulizi ya anga kaskazini mwa Nigeria

    Wanamgambo 100 wa ISIS wauawa katika mashambulizi ya anga kaskazini mwa Nigeria

    Dec 22, 2021 13:37

    Shirika la habari la Ufaransa limenukuu vyanzo vya kijeshi na vya ndani vikisema kuwa wapiganaji 100 wa kundi la kigaidi la ISIS waliuawa wiki iliyopita katika mashambulizi ya jeshi la Nigeria dhidi ya kambi za kundi hilo kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Mjumbe Maalumu wa Iran: Marekani inaunga mkono ISIS

    Mjumbe Maalumu wa Iran: Marekani inaunga mkono ISIS

    Nov 15, 2021 11:51

    Mjumbe Maalum wa Rais wa Iran katika masuala ya Afghanistan amesema Marekani ilipata pigo na kushindwa vibaya huko Afghanistan, na sasa inajaribu kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Jumuiya ya Kutetea Wahanga wa Ugaidi: Ugaidi unatumiwa kulinda maslahi ya madola ya kibeberu

    Jumuiya ya Kutetea Wahanga wa Ugaidi: Ugaidi unatumiwa kulinda maslahi ya madola ya kibeberu

    Oct 17, 2021 02:26

    Jumuiya ya Kutetea Wahanga wa Ugaidi yenye makao yake nchini Iran imetangaza kuwa, ugaidi umekuwa ukitumiwa kama fimbo na wenzo wa kulinda na kupanua maslahi ya madola ya kibeberu na wala hauna mfungamano na dini wala madhehebu yoyote ya dini.

  • Hofu ya Baraza la Usalama ya kuenea ugaidi barani Afrika

    Hofu ya Baraza la Usalama ya kuenea ugaidi barani Afrika

    Aug 21, 2021 02:28

    Nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimeleeza wasi wasi wao juu ya kuenea harakati za makundi ya kigaidi katika nchi za Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS