Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ya nyuklia

  • Putin aonya juu ya hatari

    Putin aonya juu ya hatari "halisi" ya vita vya nyuklia baina ya Russia na Magharibi

    Mar 01, 2024 06:47

    Rais Vladmir Putin wa Russia ameziambia nchi za Magharibi kuwa, ziko hatarini kuzusha vita vya nyuklia iwapo zitatuma wanajeshi kupigana nchini Ukraine, akionya kwamba Moscow ina silaha za kushambulia maeneo ya Magharibi.

  • Rais Raisi: Ni haki ya taifa la Iran kunufaikia na matumizi ya amani ya nishati ya nyuklia

    Rais Raisi: Ni haki ya taifa la Iran kunufaikia na matumizi ya amani ya nishati ya nyuklia

    Feb 08, 2024 03:03

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza na mabalozi wa nchi mbalimbali waliopo hapa Tehran na kutilia mkazo wajibu wa kila taifa kufaidika na nishati ya nyuklia kwa matumizi ya amani na kwamba ni haki ya taifa la Iran pia kunufaika na nishati hiyo.

  • de Volkskrant: Uholanzi ilihusika katika hujuma ya virusi vya Stuxnet ya Marekani, Israel dhidi ya Iran

    de Volkskrant: Uholanzi ilihusika katika hujuma ya virusi vya Stuxnet ya Marekani, Israel dhidi ya Iran

    Jan 09, 2024 07:52

    Gazeti la de Volkskrant la Uholanzi limeripoti kuwa, raia mmoja wa nchi hiyo alihusika moja kwa moja katika operesheni ya Marekani na Wazayuni ya kuhujumu kituo cha nyuklia cha Natanz nchini Iran.

  • Eslami: Maadui wameshindwa kuzuia ustawi wa sekta ya nyuklia ya Iran kwa vikwazo

    Eslami: Maadui wameshindwa kuzuia ustawi wa sekta ya nyuklia ya Iran kwa vikwazo

    Dec 14, 2023 02:41

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema maadui wameshindwa kuzima ustawi wa mradi wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu wenye malengo ya amani kupitia vikwazo haramu.

  • Eslami: IAEA iache kuingiza siasa kwenye kesi ya Iran

    Eslami: IAEA iache kuingiza siasa kwenye kesi ya Iran

    Nov 23, 2023 03:07

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) ameutaka Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ujiepushe na tabia ya kuingiza siasa kwenye faili la nyuklia la Jamhuri ya Kiislamu.

  • Iran: Wakaguzi wa IAEA wametimuliwa kutokana na mienendo ya uhasama

    Iran: Wakaguzi wa IAEA wametimuliwa kutokana na mienendo ya uhasama

    Oct 04, 2023 13:20

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) waliofukuzwa hapa nchini wanatoka katika nchi tatu za Ulaya; na kwamba walitumuliwa kutokana na mienendo yao ya kiuhasama na misimamo ya kisiasa dhidi ya Tehran.

  • Qatar yataka vituo vya nyuklia vya Israel vikaguliwe na IAEA

    Qatar yataka vituo vya nyuklia vya Israel vikaguliwe na IAEA

    Oct 01, 2023 02:38

    Qatar imetaka vituo vya nyuklia vya utawala wa Israel viwe chini usimamizi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) huku utawala huo ukiendelea kupuuza kanuni za kimataifa za nyuklia.

  • Papa: Dunia ipo katika ncha ya kutumbukia kwenye vita vya nyuklia

    Papa: Dunia ipo katika ncha ya kutumbukia kwenye vita vya nyuklia

    Sep 20, 2023 07:17

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ameonya kuhusu uwezekano wa kutokea vita vya nyuklia duniani.

  • Eslami: Wamagharibi wameikubali Iran ya nyuklia

    Eslami: Wamagharibi wameikubali Iran ya nyuklia

    Mar 10, 2023 02:27

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema kuwa leo hii Wamagharibi wameikubali Iran kuwa nchi yenye nishati ya nyuklia na kusisitiza kuwa, chaguo pekee lililobakia kwa Magharibi ni kukabiliana na Iran kidiplomasia.

  • Iran kuanza kuuza bidhaa za nyuklia nje ya nchi

    Iran kuanza kuuza bidhaa za nyuklia nje ya nchi

    Feb 26, 2023 11:41

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) ametangaza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inajiandaa kuanza kusafirisha nje ya nchi bidhaa zake za nyuklia, zikiwemo za tiba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS