-
"Vitisho vya nyuklia vya Israel vitabadilisha mlingano wa usalama katika eneo"
May 26, 2024 22:50Katibu wa Baraza la Kistratajia la Mahusiano ya Kigeni la Iran amesema vitisho vinavyotolewa na maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel vya kutumia silaha za nyuklia huenda vikawalazimisha wengine kuangalia upya sera zao za nyuklia katika eneo la Asia Magharibi.
-
Iran: Tutaangalia upya sera ya nyuklia iwapo uwepo wetu utatishiwa
May 09, 2024 22:40Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Mahusiano ya Kigeni la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu italazimika kuangalia upya kanuni yake ya nyuklia iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utatishia uwepo na usalama wa taifa hili.
-
Grossi asisitiza tena kutokuwepo shughuli za kijeshi za nyuklia nchini Iran
Apr 16, 2024 22:58Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA amesisitiza kuwa, hakuna nyaraka zozote zinazothibitisha utengenezaji wa silaha za nyuklia nchini Iran na kuwa, mivutano ya hivi sasa haijavuruga mchakato wa ufuatiliaji wa wakala huo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran.
-
Kutolewa pendekezo la kuanzisha klabu ya nyuklia ya BRICS kwa kuishirikisha Iran
Mar 27, 2024 08:51Mkutano wa 13 wa kimataifa wa Atomexpo 2024 huko Sirius, Russia umetoa pendekezo la kuasisi klabu ya nyuklia ya nchi wanachama wa kundi la BRICS kwa kuishirikisha Iran.
-
Msemaji wa AEOI: Iran inahitaji vituo 20 vya nyuklia
Mar 23, 2024 04:15Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema Jamhuri ya Kiislamu inapasa kuwa na vituo kati ya 15 na 20 vya nyuklia ili kujidhaminia mahitaji yake ya nishati.
-
Putin aonya juu ya hatari "halisi" ya vita vya nyuklia baina ya Russia na Magharibi
Mar 01, 2024 03:17Rais Vladmir Putin wa Russia ameziambia nchi za Magharibi kuwa, ziko hatarini kuzusha vita vya nyuklia iwapo zitatuma wanajeshi kupigana nchini Ukraine, akionya kwamba Moscow ina silaha za kushambulia maeneo ya Magharibi.
-
Rais Raisi: Ni haki ya taifa la Iran kunufaikia na matumizi ya amani ya nishati ya nyuklia
Feb 07, 2024 23:33Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza na mabalozi wa nchi mbalimbali waliopo hapa Tehran na kutilia mkazo wajibu wa kila taifa kufaidika na nishati ya nyuklia kwa matumizi ya amani na kwamba ni haki ya taifa la Iran pia kunufaika na nishati hiyo.
-
de Volkskrant: Uholanzi ilihusika katika hujuma ya virusi vya Stuxnet ya Marekani, Israel dhidi ya Iran
Jan 09, 2024 04:22Gazeti la de Volkskrant la Uholanzi limeripoti kuwa, raia mmoja wa nchi hiyo alihusika moja kwa moja katika operesheni ya Marekani na Wazayuni ya kuhujumu kituo cha nyuklia cha Natanz nchini Iran.
-
Eslami: Maadui wameshindwa kuzuia ustawi wa sekta ya nyuklia ya Iran kwa vikwazo
Dec 13, 2023 23:11Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema maadui wameshindwa kuzima ustawi wa mradi wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu wenye malengo ya amani kupitia vikwazo haramu.
-
Eslami: IAEA iache kuingiza siasa kwenye kesi ya Iran
Nov 22, 2023 23:37Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) ameutaka Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ujiepushe na tabia ya kuingiza siasa kwenye faili la nyuklia la Jamhuri ya Kiislamu.