Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zanzibar

  • Nchi za Afrika zakutana Zanzibar kujadili maji safi na taka

    Nchi za Afrika zakutana Zanzibar kujadili maji safi na taka

    Nov 15, 2022 04:21

    Nchi 42 za Afrika zinakutana Zanzibar nchini Tanzania kuanzia leo kujadili na kubadilishana uzoefu kuhusu udhibiti wa sekta ya maji safi na taka Afrika.

  • Rais wa Zanzibar apokea ripoti ya Kikosi Kazi iliyojadili maoni ya wananchi + SAUTI

    Rais wa Zanzibar apokea ripoti ya Kikosi Kazi iliyojadili maoni ya wananchi + SAUTI

    Nov 03, 2022 00:33

    Rais Hussein Ali Hassan Mwinyi wa Zanzibar amepokea ripoti ya Kikosi Kazi kilichoshughulikia uchambuzi wa maoni yaliyotolewa kwenye kongamano la siku mbili lililojadili hali ya kisiasa Zanzibar mwezi uliopita. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.

  • Uhusiano wa Zanzibar na Iran unazidi kuimarika + SAUTI

    Uhusiano wa Zanzibar na Iran unazidi kuimarika + SAUTI

    Oct 20, 2022 13:08

    Meya wa jiji la Zanzibar ameonana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jijini Dar es Salaam Tanzania na pande mbili zimehimiza mno kuendelezwa uhusiano wa damu na wa jadi baina yao. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar

  • Ziara ya Rais wa Zanzibar nchini Oman + SAUTI

    Ziara ya Rais wa Zanzibar nchini Oman + SAUTI

    Oct 15, 2022 14:11

    Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Hassan Mwinyi amemaliza ziara yake ya siku nne nchini Oman na amesema kuwa, ziara yake hiyo imekuwa na mafanikio makubwa. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit na maelezo zaidi...

  • Zanzibar: Tuna hamu ya kupanua uhusiano wetu na Iran

    Zanzibar: Tuna hamu ya kupanua uhusiano wetu na Iran

    Aug 26, 2022 02:59

    Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wa Zanzibar amesema anatumai kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitaimarisha na kupanua uhusiano wao wa pande mbili.

  • Zanzibar yazindua teknolojia mpya ya kupima corona kwa simu

    Zanzibar yazindua teknolojia mpya ya kupima corona kwa simu

    Feb 16, 2022 23:48

    Serikali ya Zanzibar jana Jumatano ilizindua rasmi teknolojia mpya inayoweza kutambua uwezekano wa maambukizi ya Covid-19 kwa muda mfupi kwa kutumia simu (EDE).

  • Watu 9 waaga dunia kwa kuzama baharini kisiwani Pemba, wengine hawajulikani waliko

    Watu 9 waaga dunia kwa kuzama baharini kisiwani Pemba, wengine hawajulikani waliko

    Jan 04, 2022 23:50

    Watu tisa wamefariki dunia na wengine kadhaa kuokolewa baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama Mkoa wa Kusini Pemba.

  • Makampuni ya watalii Zanzibar yatakiwa kuchunga hulka za Kizanzibari + Sauti

    Makampuni ya watalii Zanzibar yatakiwa kuchunga hulka za Kizanzibari + Sauti

    Sep 14, 2021 23:57

    Serikali ya Mapinduzi Zanzibar SMZ imesema kuwa, jukumu la kusimamia maadili na utamaduni wa Kizanzibari kwa wageni wanaotembelea visiwa hivyo linazihusu kampuni zinazoandaa misafara ya watalii wanaongia visiwani humo. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.

  • Rais wa Zanzibar ahutubia Baraza la Idul Adh'ha, Wete Pemba + Sauti

    Rais wa Zanzibar ahutubia Baraza la Idul Adh'ha, Wete Pemba + Sauti

    Jul 21, 2021 11:36

    Baraza la Idul Adh'ha mwaka huu visiwani Zanzibar, limefanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la mjini Wete, mkoa wa Kaskazini Pemba. Rais Hassan Ali Hassan Mwinyi amehutubia baraza hilo. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit ametutayarishia ripoti ifuatayo.

  • Waandishi Tanzania watakiwa kutumia vizuri kalamu zao kutatua migogoro + Sauti

    Waandishi Tanzania watakiwa kutumia vizuri kalamu zao kutatua migogoro + Sauti

    Jul 15, 2021 09:07

    Waandishi wa habari nchini Tanzania wametakiwa kutumia vizuri kalamu zao kwa ajili ya kuimarisha amani na kutatua migogoro katika jamii ikiwemo ya wakati wa uchaguzi. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS