Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zarif

  • Taarifa ya Iran, Russia na Uturuki kuhusu mgogoro wa Syria

    Taarifa ya Iran, Russia na Uturuki kuhusu mgogoro wa Syria

    Dec 20, 2016 12:34

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran, Russia na Uturuki wametoa taarifa ya pamoja na kutangaza kuwa nchi hizo tatu zinaunga mkono utawala, uhuru na kulindwa mipaka yote ya Syria.

  • Zarif: Iran inafanya juhudi za kuimarisha muqawama wa taifa la Palestina

    Zarif: Iran inafanya juhudi za kuimarisha muqawama wa taifa la Palestina

    Dec 12, 2016 23:20

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili daima limekuwa likifanya juhudi za kuimarisha safu za muqawama, mapambano na mshikamano wa taifa la Palestina.

  • Zarif: Kipindi cha ubeberu wa Marekani Mashariki ya Kati kimepita

    Zarif: Kipindi cha ubeberu wa Marekani Mashariki ya Kati kimepita

    Dec 06, 2016 03:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, zama za ubeberu wa nchi za Magharibi hususan Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati, zimepita na kuyoyoma.

  • Zarif: Fidel Castro alisimama imara kukabiliana na ubeberu

    Zarif: Fidel Castro alisimama imara kukabiliana na ubeberu

    Nov 28, 2016 11:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javad Zarif amesema kuwa, hayati Fidel Castro kiongozi wa zamani wa Cuba aliyefariki dunia alikuwa akisisitiza kuimarishwa ushirikiano na mataifa mengine.

  • Iran yaomboleza kifo cha Fidel Castro

    Iran yaomboleza kifo cha Fidel Castro

    Nov 26, 2016 12:29

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ametuma salamu za rambirambi kwa taifa na serikali ya Cuba kufuatia kuaga dunia Fidel Castro, Kiongozi wa Mapinduzi ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini.

  • Dakta Zarif afanya mazungumzo na Kamishna Mkuu wa Baraza la Usalama na Amani la AU

    Dakta Zarif afanya mazungumzo na Kamishna Mkuu wa Baraza la Usalama na Amani la AU

    Nov 21, 2016 23:18

    Kamishna Mkuu wa Baraza la Usalama na Amani la Umoja wa Afrika Smail Chergui aliyeko safarini hapa mjini Tehran, jana alikutana na kufanya mazungumzo na Dakta Muhammad Javad Zarif Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Zarif asisitiza kukomeshwa mauaji ya raia katika nchi za Syria na Yemen

    Zarif asisitiza kukomeshwa mauaji ya raia katika nchi za Syria na Yemen

    Nov 08, 2016 23:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametaka kukomeshwa mara moja mauaji ya raia katika nchi za Syria na Yemen.

  • Zarif: Kadhia ya Palestina ndio suala kuu kwa Ulimwengu wa Kiislamu

    Zarif: Kadhia ya Palestina ndio suala kuu kwa Ulimwengu wa Kiislamu

    Nov 08, 2016 12:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif amesema kadhia ya Palestina ndio suala kuu kwa Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran afanya mazungumzo na Rais wa Bolivia

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran afanya mazungumzo na Rais wa Bolivia

    Aug 26, 2016 22:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Evo Morales wa Bolivia na kubadilishana mawazo juu ya masuala yanaoyuhusu pande mbili.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran afanya mazungumzo na Rais wa Equador

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran afanya mazungumzo na Rais wa Equador

    Aug 25, 2016 03:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Rafael Correa wa Equador katika mji mkuu wa nchi hiyo Quito.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS