Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zarif

  • Safari ya Zarif Uturuki; fupi lakini ya mafanikio mengi

    Safari ya Zarif Uturuki; fupi lakini ya mafanikio mengi

    Aug 14, 2016 01:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Muhammad Javad Zarif, siku ya Ijumaa alifanya safari ya siku moja nchini Uturuki; safari fupi lakini iliyokuwa na mafanikio mengi. Katika safari yake hiyo Zarif alikutana na kufanya mazungumzo na waziri mwenzake wa Uturuki pamoja na Rais wa nchi hiyo.

  • Zarif: Ulimwengu wa Kiarabu unakabiliwa na changamoto chungu nzima

    Zarif: Ulimwengu wa Kiarabu unakabiliwa na changamoto chungu nzima

    Aug 13, 2016 03:38

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema ulimwengu wa Kiarabu haswa katika eneo la Mashariki ya Kati unakabiliwa na changamoto nyingi na kwamba Jamhuri ya Kiislamu sio miongoni mwa matatizo ya nchi za Kiarabu.

  • Zarif: Njama za Israel na Saudia za kuichafua Iran zimefeli

    Zarif: Njama za Israel na Saudia za kuichafua Iran zimefeli

    Jul 26, 2016 12:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinaendeleza mradi wa propaganda chafu za kuidhihirisha Iran kuwa ni tishio.

  • Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran aanza safari barani Afrika

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran aanza safari barani Afrika

    Jul 24, 2016 09:56

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo ameondoka hapa mjini Tehran na kuanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za magharibi mwa Afrika.

  • Zarif: Masunni na Mashia lazima waungane kuzima ugaidi

    Zarif: Masunni na Mashia lazima waungane kuzima ugaidi

    Jul 24, 2016 00:00

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya kigaidi ya hapo jana iliyosababisha vifo vya makumi ya watu nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa, wakati umefika kwa Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni waungane kwa shabaha ya kulikabili kwa pamoja jinamizi la ugaidi.

  • Iran yakosoa ripoti ya Ban kuhusu mapatano ya nyuklia

    Iran yakosoa ripoti ya Ban kuhusu mapatano ya nyuklia

    Jul 19, 2016 09:11

    Iran imesema ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Tehran inavyotekeleza mapatano ya nyuklia imejaa maelezo ambayo hayajakamilika.

  • Zarif: Iran haitopumzika hadi ugaidi utokomezwe duniani

    Zarif: Iran haitopumzika hadi ugaidi utokomezwe duniani

    Jul 04, 2016 02:44

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema katu haitapumzika hadi pale ugaidi na idiologia za kuchupa mipaka za magaidi zitakapotokomezwa kikamilifu.

  • Iran yaitaka Marekani ichukue hatua zaidi kutekeleza mapatano ya nyuklia

    Iran yaitaka Marekani ichukue hatua zaidi kutekeleza mapatano ya nyuklia

    Jun 14, 2016 22:24

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani inapaswa kuchukua hatua zaidi katika utekelezwaji wa mapatano ya nyuklia kwa kuziruhusu benki kufanya biashara na Iran baada ya kuondolewa vikwazo.

  • Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwa Magharibi kutekeleza ahadi zake kuhusiana na JCPOA

    Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwa Magharibi kutekeleza ahadi zake kuhusiana na JCPOA

    May 22, 2016 23:00

    Katika miezi na wiki za hivi karibuni, Tehran imekuwa mwenyeji wa jumbe za kisiasa na kiuchumi kutoka nchi mbalimbali za Ulaya, Asia na Afrika. Katika safari hizo yamesainiwa makubaliano kadhaa katika nyanja za kiuchumi na uwekezaji wa pamoja katika kipindi hiki cha baada ya kufikiwa makubaliano ya nyuklia yajulikanao kama JCPOA.

  • Ulaya, Marekani zitekeleze mapatano ya nyuklia ya Iran kivitendo

    Ulaya, Marekani zitekeleze mapatano ya nyuklia ya Iran kivitendo

    May 21, 2016 11:28

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran ametoa wito kwa nchi za Ulaya na Marekani kuchukua hatua za kivitendo kuondoa vikwazo vya kibenki na kiuchumi dhidi ya Iran kwa mujibu wa mapatano ya nyuklia mwaka jana kati ya Tehran na madola sita makubwa duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS