Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zarif

  • Iran yataka Wapalestina waungane kukabiliana na Utawala wa Kizayuni

    Iran yataka Wapalestina waungane kukabiliana na Utawala wa Kizayuni

    May 01, 2016 09:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesisitiza kuhusu ulazima wa kuwepo umoja miongoni mwa makundi yote ya Palestina.

  • Zarif: Hatuna cha kujadili kuhusu makombora ya Iran

    Zarif: Hatuna cha kujadili kuhusu makombora ya Iran

    Apr 10, 2016 03:21

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema katu Jamhuri ya Kiislamu haiwezi kufanya aina yoyote ya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Uturuki

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Uturuki

    Mar 19, 2016 04:09

    Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ameelekea Uturuki hii leo ambapo atafanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa serikali ya Ankara.

  • Mawaziri wa kigeni wa Iran na Russia wajadili kadhia ya Syria

    Mawaziri wa kigeni wa Iran na Russia wajadili kadhia ya Syria

    Mar 18, 2016 23:09

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamefanya mazumgumzo ya simu kuhusu usitishwaji vita nchini Russia.

  • Washauri wa kijeshi wa Iran wako Syria kwa ombi la nchi hiyo

    Washauri wa kijeshi wa Iran wako Syria kwa ombi la nchi hiyo

    Feb 17, 2016 03:50

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Mohammad Javad Zarif anasema washauri wa kijeshi wa Iran wako Syria kufuatia ombi la serikali ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Iran na Ubelgiji zataka kuimarishwa ushirikiano

    Iran na Ubelgiji zataka kuimarishwa ushirikiano

    Feb 16, 2016 11:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema anataraji kuwa uhusiano wa kiuchumi kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ubelgiji utaongezeka haraka katika kipindi hiki kipya.

  • Zarif: Usalama haupatikani kwa kuvuruga usalama wa wengine

    Zarif: Usalama haupatikani kwa kuvuruga usalama wa wengine

    Feb 07, 2016 10:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema usalama na maslahi hayapatikani mkabala wa kuvuruga usalama na kutozingatia maslahi ya wengine.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran mjini London

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran mjini London

    Feb 04, 2016 08:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif leo yuko mjini London, kufuatia mwaliko rasmi wa mwenzake wa Uingereza Phillip Hammond, kushiriki katika kikao cha kimataifa cha kuisaidia Syria na Mashariki ya Kati.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS