Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Rais wa Zimbabwe awasamehe wafungwa 3,000

    Rais wa Zimbabwe awasamehe wafungwa 3,000

    Mar 22, 2018 15:36

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye alichukua madaraka baada ya mtangulizi wake Robert Mugabe kulazimishwa kujiuzulu mwezi Novemba mwaka jana, amewasamehe wafungwa zaidi ya 3,000 kwa lengo la kupunguza msongamano mkubwa kwenye magereza ya nchi hiyo.

  •  Mnangagwa: Fedha za Wazimbabwe zilizokuwa zimefichwa nje ya nchi zimerejeshwa

    Mnangagwa: Fedha za Wazimbabwe zilizokuwa zimefichwa nje ya nchi zimerejeshwa

    Mar 19, 2018 15:31

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema leo kuwa chini ya nusu ya fedha zilizofichwa nje ya nchi na shakhsia na makampuni mbalimbali zimerejeshwa nchini baada ya kufikia ukomo muhula wa siku 90 zilizotolewa na ameonya kuwa wale wote ambao hawajawajibika watashtakiwa.

  • UN yaunga mkono kufanyika uchaguzi Julai nchini Zimbabwe

    UN yaunga mkono kufanyika uchaguzi Julai nchini Zimbabwe

    Mar 18, 2018 16:40

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa unaunga mkono mpango wa kufanyika uchaguzi wa rais nchini Zimbabwe mwezi Julai mwaka huu.

  • Rais Mnangagwa amjibu Mugabe; asema Zimbabwe imesonga mbele baada ya utawala wake

    Rais Mnangagwa amjibu Mugabe; asema Zimbabwe imesonga mbele baada ya utawala wake

    Mar 17, 2018 07:46

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema kuwa, nchi hiyo imeshapiga hatua baada ya kumwondoa madarakani kiongozi wa zamani wa nchi hiyo Robert Mugabe.

  • Mugabe: Sikudhani kuwa Mnangagwa atanigeuka

    Mugabe: Sikudhani kuwa Mnangagwa atanigeuka

    Mar 16, 2018 04:43

    Rais wa zamani wa Zimbabwe amesema kuwa hakufikiria kuwa rais wa sasa wa nchi hiyo, Emmerson Mnangagwa angemgeuka na kusimama dhidi yake na amelaani hatua ya Mnangagwa ya kumuondoa madarakani kwa njia ya mapinduzi.

  • Wasiwasi watanda Zimbabwe baada ya Mugabe kuonekana kuunga mkono mpinzani

    Wasiwasi watanda Zimbabwe baada ya Mugabe kuonekana kuunga mkono mpinzani

    Mar 09, 2018 07:12

    Wasiwasi umetanda katika chama tawala nchini Zimbabwe, ZANU-PF, baada ya rais wa zamani Robert Mugabe kuonekana hadharani akiwa ameandamana na jenerali mstaafu ambaye yuko katika kambi ya upizani na ambaye anapanga kuwania urais baadaye mwaka huu.

  • Mfuasi wa Mugabe aunda chama kipya cha siasa Zimbabwe kuchuana na rais Mnangagwa katika uchaguzi

    Mfuasi wa Mugabe aunda chama kipya cha siasa Zimbabwe kuchuana na rais Mnangagwa katika uchaguzi

    Mar 06, 2018 02:28

    Ambrose Mutinhiri, jenerali mstaafu wa jeshi la Zimbabwe na mfuasi wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Robert Mugabe ameunda chama kipya cha siasa kinachojulikana kama Harakati Mpya ya Kizalendo (NFP) kuchuana na rais Emmerson Mnangagwa katika uchaguzi mkuu ujao.

  • Maelfu ya Wazimbabwe wauaga mwili wa 'Jenerali wa Watu' Tsvangirai; maziko yake kufanyika leo

    Maelfu ya Wazimbabwe wauaga mwili wa 'Jenerali wa Watu' Tsvangirai; maziko yake kufanyika leo

    Feb 20, 2018 08:19

    Shughuli ya kutoa heshima na kuuaga mwili wa aliyekuwa kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe MDC Morgan Tsvangirai imefanyika kwenye viunga vya mji mkuu Harare.

  • Uingereza kuwatimua maelfu ya wahajiri wa Zimbabwe

    Uingereza kuwatimua maelfu ya wahajiri wa Zimbabwe

    Feb 17, 2018 02:40

    Serikali ya Uingereza imetangaza azma yake ya kuwafukuza nchini humo maelfu ya wahajiri haramu raia wa Zimbabwe.

  • Rais wa Zimbabwe amteua Jaji wa Mahakama Kuu kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi

    Rais wa Zimbabwe amteua Jaji wa Mahakama Kuu kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi

    Feb 01, 2018 02:39

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amemteua Jaji wa Mahakama Kuu Priscilla Chigumba kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi wakati nchi hiyo inajiandaa kwa uchaguzi mkuu muhimu ambao itibari yake inatazamiwa kuwa na umuhimu mkubwa katika kujenga tena uhusiano wake wa nje.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS